Biashara ya duka stress tupu

Kweli biashara ya duka ina changamoto zake. Unakaa dukani mwaka mzima. Watu wanakuja kuulizia bei lakini hawanunui, wanakuambia nipe hiki rudisha kutwa nzima wewe kusema karibu karibu kwa mteja. Kwa kweli biashara hii na hasa sasa ina changamoto kubwa.
 
Write your reply... Ukweli haipingiki hiyo biashara haina uhuru yaani ukiiendekeza maisha yote utamaliza sehemu moja tu hapo dukani kuna duka moja hapa maeneo ya mtaani wanafungua saa 12 asubui hapo ni marathon hadi saa 5 usiku kesho tena sasa maisha gani hayo binafsi malengo yangu kuwekeza kwenye biadhara hata nne ambapo watu nimewaajiri arafu moja nakaa mwenyewe hivyo nikiingia kazini nafunga mapema tu naenda home kula movie na mtoto mkali.
 
Uza spea za gari au hata pikipiki hakik hutajuta kwani wateja wake ni mmoja mmoja na unahudumia huku umekaaa na INA faida sana..
 
Hahaha umeongea fact mkuu biashara ya duka inachosha asikwambie mtu
 
Bado unafanya biashara kikoloni sana, kwa kifupi huna maono makubwa.
Kwa dunia ya sasa huwezi kufika mbali endapo unaogopa kuibiwa, hutaki kuamini wengine wafanye badala yako na usipojifunza kuwa boss...msimamizi wa miradi yako (train yourself to be a boss)
tafuta mtu mwaminifu auze na wewe fanya miradi mingine
 
Bora poultry kuna Uhuru wa muda

Unaingia shamba saa 7 unawahudumia hadi mida ya saa 8 mchana unawatizama tena then unawez ukaendelea na mambo mengine kijana wa kaz au wife akaja kuwakagua tena in fact poultry hakuna stress

Labda kama unatafuta Uhuru tu. Lakini hakuna biashara isiyokuwa na stress. Kwenye poultry kideri kinaweza safisha Kuku 10000 kwa siku 2 haa usipokuwa na moyo mgumu lazima udate.
But hakuna lisilowezekana ukiwa na nia.Pia biashara ya duka kwa sasa ni outdated.
Uzalishaji, kutoa Huduma au uongezaji thamani vitu ndio biashara za dunia ya Leo so uko sahihi kwenye poultry.

Biashara ya duka kupata competition ni rahisi mno ndo maana mnasingizia uchawi kozi mtu yeyote anaweza fungua akiwa na pesa hakuna ubunifu wa kutisha unaohitajika hata uchawi hamna Bali mnagawana Wateja tu.
 
umeongea kwa hisia kama unajua kila kitu kinachoendelea kariakoo in and out..
 
Biashaa yyte ina changamoto zake
Ila kama una malengo na mikakati sahihi hutajutia kuwa dukan

Hakuna kitu kinachomfurahsha muuza duka kama akiona vitu vnazidi kujaa dukan

Na kama n lako kamwe hutachoka

Kijana bado akili ya maendleo haijakukaa kichwan

Bado hujakua
 
Mimi nnafanya biashara ya duka
Kwa sasa nna lengo la kujaza vitu dukani na kujipanga kimajukum zaidi(hapa namaansha wiki nzima nakuwa dukan...hakuna kupumzika)

Ila nkshakamilisha mipango hyo ntatenga siku....walau hat j4 au jmos(hapa ntaangalia siku ambayo haina wateja wengi) ya kupumzika na co kama sitafungua...bali ntachelewa kufungua(of coz hua inaniuma nkiacha hela ipotee....coz kuna huduma mtaa mzima nnayo mim pekee)
 
Kijana acha dhana potof
Kuwa mbunifu
Ongeza bidhaa zaidi
Ongeza huduma nyngnezo

Ila hayo yafanye kama duka n lako....kama n la boss toa mawazo ajiongeze....hlf pia jitahd uwe n biashara yako
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Movie+mtoto mkali sio?Dogo maliza chuo uje mtaani utajiona ni fala kwa mawazo haya nakwambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…