TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Habar wana JF
Hii biashara ya duka dah ni biashara nzuri but imejaa hofu kibao kwanza wenyewe kwa wenyewe mnarogana
Chengine jamii inatuchukulia sisi wenye maduka tuna Uhuru wa kipesa lakini si kweli uhalisia tuna mashaka sana.
Hii biashara ya duka haina future nzuri miaka nenda miaka rudi unakaa tu dukani mambo kibao mtaani yanakupita unabaki kusimuliwa tu
Kiukweli bora ufanye poultry
Naomba niweke kumbukumbu sawa nafanya biashara ya duka mwaka wa 3 sasa na inaenda vizuri ila na inanipa faida nzuri tu
Ila haina free time yaani no bataz muda wote upo shop
But my future naanza kukita mizizi kwenye poultry cuz ndio itanipa free time
Hii biashara ya duka dah ni biashara nzuri but imejaa hofu kibao kwanza wenyewe kwa wenyewe mnarogana
Chengine jamii inatuchukulia sisi wenye maduka tuna Uhuru wa kipesa lakini si kweli uhalisia tuna mashaka sana.
Hii biashara ya duka haina future nzuri miaka nenda miaka rudi unakaa tu dukani mambo kibao mtaani yanakupita unabaki kusimuliwa tu
Kiukweli bora ufanye poultry
Naomba niweke kumbukumbu sawa nafanya biashara ya duka mwaka wa 3 sasa na inaenda vizuri ila na inanipa faida nzuri tu
Ila haina free time yaani no bataz muda wote upo shop
But my future naanza kukita mizizi kwenye poultry cuz ndio itanipa free time