wewe endelea kujidanganya tu".... watu wanaendelea kufanya yao ..na maisha yanasonga""....K.koo watu wanabadilishana tu flem hali sio kama ilivyokua imebadilika sanaa hakuna wageni tena wanaokuja kununua bidhaa.
Wale waliokua wanaingiza kontena 4 kwa mwezi kipindi hichoo. basi kwa sasa akimaliza 1 ndani ya mwezi huyo anamali nzuri sana.
yaaani wawekeza ml.80 iliupate 500k per month ..huo ni zaidi ya uchiziYaani kama mtu unawekeza m 80 ukapate laki tano kwa mwezi utakuwa una matatizo ya ufikiri
Ila kama unawekeza hiyo hela kama aset sawa. Au mtu ane ogopa kuharibu hela
Ila mfanya biashara hawezi kukubali kuwekeza hela hiyo kwa hiyo faida
😅😅😅😅 mbavu zangu mieNunua mbunge au diwani wa cuf au chadema kisha unawauzia ccm.
Utapiga hela ndefu.
Imekaa poa sana hiii jamaa, hope nashawisika kuifataMkuu mi ninakushauri huo mtaji utenge katika mafungu kadhaa.
Tenga milioni 100, tafuta kiwanja/viwanja katika mji wa kiserikali au kibiashara (sio lazima uwe mji mkubwa sana) jenga apartment hata 2 kwa ajili ya kupangisha
Mil. 30, weka hardware maeneo ya miji inayojengeka kwa sasa
Mil. 30 wekeza kwenye biashara ya kununua na kuuza viwanja
Mil. 20 weka benki ya saving, kusubiri mchongo wowote (kumbuka kuna kipindi unaweza letewa mchongo wa maana kwa bei ya chini kwa kuwa muuzaji ana shida sana ya hela)
Mil. 20 iliyobaki iwepo kwa ajili ya back up endapo kuna shida itajitokeza kwenye business nyingine
Sikushauri uwekeze kwenye
1. Kilimo kama huna mzuka na kilimo na kama hujawahi kulima
2. Kwenye madini (kimbia kabisa)
3. Fixed account
Pamoja mkuu. Best luckImekaa poa sana hiii jamaa, hope nashawisika kuifata
Duuu kwa hiyo ukiwekeza Million 80 unapata faida laki 3 kwa mwezi sio .Prondo,mimi siyo mtaalamu wa mambo ya biashara lakini kwa mtaji wa milioni themanini na kuingiza laki tano kwa mwezi siyo mbaya. Ni biashara halali chache sana ambazo unaweza kupata faida ya zaidi nusu milioni kwa mwezi kwa mtaji wa milioni themanini.
daah nimekuwa mpole kwakuwa umeshajihami kwamba wewe sio mtaalamu wa biashara,80m kuingiza faida ya 5m ni wendawazimu,mkuu nahisi wewe ni mwalimu wa primary coz umetoa ushauri ukilinganisha na mshahara wako!Prondo,mimi siyo mtaalamu wa mambo ya biashara lakini kwa mtaji wa milioni themanini na kuingiza laki tano kwa mwezi siyo mbaya. Ni biashara halali chache sana ambazo unaweza kupata faida ya zaidi nusu milioni kwa mwezi kwa mtaji wa milioni themanini.
Milioni80mtaji kwa mwezi laki tano kwa mwaka milioni sitadaah nimekuwa mpole kwakuwa umeshajihami kwamba wewe sio mtaalamu wa biashara,80m kuingiza faida ya 5m ni wendawazimu,mkuu nahisi wewe ni mwalimu wa primary coz umetoa ushauri ukilinganisha na mshahara wako!
Hiyo milioni themanini baada ya miaka mitatu ni zaidi ya milioni miamoja ishirini +milioni kumi na nane ya kodi ya miaka mitatu na risk ni ndogo.Mtoa mada amesema ana milioni mia mbili na ameomba ushauri na mimi nimetoa ushauri wangu kwa kutolea mfano milioni themanini hasa sielewi kwa nini unaonyesha dharau sijui mshahara wangu utakuwa ka wa walimu.Naomba uniambie kwa milioni themani ya kibantu kwa miaka mitatu unaweza ukazalisha shilingi ngapi kwa biashara unayolipa kodi halali na mimi nijifunze kitu.daah nimekuwa mpole kwakuwa umeshajihami kwamba wewe sio mtaalamu wa biashara,80m kuingiza faida ya 5m ni wendawazimu,mkuu nahisi wewe ni mwalimu wa primary coz umetoa ushauri ukilinganisha na mshahara wako!
Yes, uko sahihi.. nilichanganya gram na kgUnamaanishaa nn hapa,,,,dhahabu hizo ni kilo si chini 300??
Inawezekana kabisa kupata 200m kwa mda aliopambanaa na ni dhahabu kg mbili na gram kadhaa waweza pata m 200 kutegemeana na bei ya soko
Wazi man, yani hio busines haina longolongo kabisa!hili wazo lina Afya mnooo" awamu hii uki invest kwenye kamali ".. unatusua
Mkuu unabishana na watu ambao mawazo yao sio saizi ya hiyo hela ndo mana wanaona Hata laki kwa mwezi ni sawa tuu.Kwa mwezi? Yaani niweke 80m nisubiri 500,000/- kwa mwezi? Hapana aisee bakini na uwekezaji wenu wa nyumba. Hata Uber inaishinda hio nyumba!
Mkuu sasa ukisoma mtu anasema 500,000/- kwa mwezi poa tu, unaweza kumwambia habari za 1m+ kwa siku? Nashukuru tunaongea same page.Mkuu unabishana na watu ambao mawazo yao sio saizi ya hiyo hela ndo mana wanaona Hata laki kwa mwezi ni sawa tuu.
Ila kiukweli kwa M 80 Hata kama sio faida basi isipungue mzunguka wa M 1 kwa siku ndo utaona faida ya kuwekeza kiasi hicho
Kuanza na kitu kipya na kuinvest yote 200m ni very risk!!Tafuta biashara yoyote uanze na mtaji mdogo kama 20m halafu kuwa nayo mpaka ufikie mtaji wa 200m. I did the same,ila kuanza na 200m kwa kitu kipya, sijui.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nunua mbunge au diwani wa cuf au chadema kisha unawauzia ccm.
Utapiga hela ndefu.
Bro aneshasema biasharaMkuu kabla sijakushauri napenda nijue
Unapenda biashara
Unapenda kilimo
Unapenda ufugaji
Baada ya jibu hapa ndio nitakushauri