Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

Ulivyoanda unga umenishtua kidogo ila sasa nmemuelewa
 
Aaaah mbele kidogo mkuu
Mh mbele ya wapi? Kwenye viwanda vingi maeneo ya mlandiz ndo hapo napokutajia kuna viwanda km v3 vya wachina na vingne km v3 hv vinajengwa!

Seriously unajenga kiwanda sehemu ambayo huijui specifically hata kwa jina? I doubt
 
Mh mbele ya wapi? Kwenye viwanda vingi maeneo ya mlandiz ndo hapo napokutajia kuna viwanda km v3 vya wachina na vingne km v3 hv vinajengwa!

Seriously unajenga kiwanda sehemu ambayo huijui specifically hata kwa jina? I doubt
Inawezakana ikawa ndo apo, ila sababu za kiusalama nikashidwa kuanisha location yote apa, ila walio serious wanakuja pm na wanakuja kuangalia wapate uhalisia na mengineyo Mkuu. Najua nifanyacho
 
[emoji120] [emoji120]
 
Mkuu hii kitu ulifikia hatua gani? L
 
TBS kwa wajasiriamali wadogo , sample yako ikipimwa n.a. ikiwa poa basi inakuwa certified bure mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…