Mkuu mimi niko dar. Ni kweli kuwa kwa sasa kuwa watu wengi wanakula dona. Lakini kumbuka kuwa kama unatengeneza dona lazima uwe na oda kabisa na uwe makini na mahindi unayo nunua, mengine wanaweka dawa ku-prerve. Kwa hiyo wakati wa kutengeneza dona ni lazima uyaoshe Ni vigumu Kwa uzoefu wangu kutunza unga wa dona kwa muda mrefu.
Unavunda haraka kwa sababu mahindi wanakauka kwa kutumia joto la jua hivyo ku-control moisture content ni vigumu unless una unakausha hayo mahindi kwa njia ya kisasa zaidi. Pia swala la mizani uwe makini. Wakala wa vipimo huwa wana mizana ambayo weme-certify/recommend unaweza ukawaon wakakushauri. Kupunguza usumbufu na imani kwa wateja mimi nilinunua mzani mkubwa wa digital wenye capacity ya 100kg for about 1M. Pia kumbuka kutengeneza nembo yako.
Unavunda haraka kwa sababu mahindi wanakauka kwa kutumia joto la jua hivyo ku-control moisture content ni vigumu unless una unakausha hayo mahindi kwa njia ya kisasa zaidi. Pia swala la mizani uwe makini. Wakala wa vipimo huwa wana mizana ambayo weme-certify/recommend unaweza ukawaon wakakushauri. Kupunguza usumbufu na imani kwa wateja mimi nilinunua mzani mkubwa wa digital wenye capacity ya 100kg for about 1M. Pia kumbuka kutengeneza nembo yako.