Biashara ya kujiuza, Dada poa, Kaka poa na Ma-sugar Mamy: Nini kifanyike kupambana nayo?

Hii biashara ilikuwepo hata kabla hajaja masihi yaani zile enzi za Babylon,Roman , ottoman empire zilikuwepo.
Hakuna jipya duniani wewe haulewi
 
Chanzo cha hio biashara ni sisi wanaume wenyewe siku wateja wakikosekana watoa huduma nao watafunga makampuni yao
 
Bwana ni kweli kina mama majumbani ndio chanzo cha madada poa kupata wateja kama serikali ikiwafungia basi ifungie na akina amalishe maana mama akizingua unaenda kwa mama lishe unashona Fasta vivyo hivyo kwa dada poa wa ndani akizingua unazunguka mtaa Fasta mbona trafiki anakukamata ukitembea bila gurudumu la akiba?
 
Hahahahahaha
 

Pia wanasaidia mno madomo zege. Ni msaada mkubwa sana. Wasiache!
 
Mi mwenyewe nishasikia hizi story, hata ile picha ta last supper kwamba yesu alikua na wanafunzi wake eti pale mmoja alikuwepo dem wake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tutachomwa moto kwakweli!!!!
Sasa mmoja alikua demu wake kivipi wakati wanafunzi wa yesu wote walikua wanaume
 
Una uhakika na hizo conspiracy theory zako?
 
acha upuuzi aisee, hakuna hicho kitu kwenye historia..
 
frankly speaking hii biashara imeshamiri sana siku hizi...na jambo la kushangaza inafanyika wazi wazi bila kificho...

nadhani ni vyema serikali ikahalalisha ili ifanyike kwa namna inayofaa kuliko inavyofanyika sasa hivi...

wadau wa dini ni jukumu lao kuwajengea misingi bora waamini wao na kuzidisha elimu na kukazia maadili....

serikali haina dini...ila watawala wanadini...kila mtu atumie akili yake
 
KATIBA MPYA, ndiyo pekee itakayoikurupusha serikali iweze kutimiza wajibu wake ipasavyo.
 
Duuuuh! Kweli Elimu haina mwisho, tupe shule walau kidogo juu ya hayo mahusiano baina ya Yesu na Maria Magdalena
Kuna hadi Injili ya Maria Magdalena sema hakina "Bashiru" waliichomoa kwenye bible, hata kanisa aliachiwa huyu mama na sio Petro...damn it!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…