Mkemia kay
Senior Member
- Jan 25, 2020
- 131
- 135
- Thread starter
-
- #101
Yeah ni kweli hii biashara ni tangu sodoma na gomora kama nilivoelezea kwenye chapisho languHiyo biashara ni kongwe zaidi, hata huyo Maria Magdalena ambaye Bible inasema alikuwa wa kwanza kumuona Yesu baada ya kufufuka alikuwa Changudoa kabla ya kukutana na Yesu. Na conspiracy theorists wanasema Yesu alikuwa anamtafuna na walifunga ndoa na kuzaa mtoto mmoja
unachokisema ni kweli kabisaNiliishigi nchi moja ambaye anatokea mchezaji mpira legend kwa miaka 2
Mambo kama haya yanafanyika yaani ni full liana
Kuna mahali fulani kuna jamaa waliweka wenyewe wanaita glory hole's,[emoji23][emoji23]
Wanawake wakienda huko hawaonani na mtu ila wanakutana na dushe tu,wanamaliza shida zao
Ova
hii sasa sio ya wahaya tu imekuwa ni kwa makabila yote TanzaniaHivi jamani wahaya wauza mbususu bado wapo? Anzi hizo huko ndiko nilikojifunzia kandanda, nilipelekwa na mwanangu wa kitaa enz hizo za ubalu balu za barehe, akaulizwa leo umekuja na mukaka wako.
Nam namPoint
KabisaWake zetu dada zetu mabinti zetu watakuwa huru kufanya hii biashara kwa uwazi kabisa kwamba ukiulizwa binti yako anafanya biashara gani utajivunia kwamba anauza mbususu some where?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
ni maoni tu mkuu na ww unaweza kuwa na maoni yakoUmeanza vizuri tu,ila mapendekezo yako ndiyo yameharibu
jibu dry kabisaUnaweza kuianza hapa mtandaoni...utapata wateja wengi
Serikali inaweza tengeneza pesa nyingi sana kama kubet ilivoPesa nyingi inapotea hii bishara tuangalie vizuri kwenye jicho la tatu
Weka uwazi ili tukusaidie mkuu janja janja zipo wapiStory ya Yesu ina janja janja nyingi sana ziliingizwa na Roman Empire kwa manufaa yao ya kiutawala
Nammimi
ni muislamu nnaefuatilia mambo, kwenye hili umemsingizia masihi mwana wa mariam..
KabisaNi kupoteza muda kupambana na hiyo biashara
Unaweza kuanzia kwenye simu yakoKwa kucheka huko inamaanisha unajua Location, em nambie ni wapi nianze kujiajiri leo leo
mhmmm mbona unafika mbaliuna maana bi majani nae anauza nyapu pande hizo?
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Natoa uhuru pande zote mbili kwa wanaoitaji uhalari wa hii biashara na wale wanaoona ni kinyume na maadiliHitimisho lako halijaeleweka wewe unaamini kipi.
Mara useme serikali isimamie iwe halali mala tena viongozi wa dini wasimame kidete isitishwe coz ina madhara mengi. Unaamini kipi mkuu??
Ni biashara anaifanya yupo nyumbani na sasa wengi wana vyumba vyao ukihitaji huduma unawafataKujiuza ni hulka ugumu wa maisha sio kigezo.
Wanaingiza pesa nyingi Sana kama shida ni mtaji ina maana miaka yote hio ashindwe kukusanya mtaji afanye biashara.
Pili ni ngumu kuthibiti sababu wengi ufanya kupitia mitandao pia
kwel kabisa na imeajiri vijana wengi wakiwa madalali kwa kuanzisha makundi ambayp yana huduma izoMzee haujatembelea huko kwenye mitandao ie Badoo, telegram etc. Hii ni biashara ina hela kwa sababu ina huduma na wateja so ikiharalishwa itakua ni big deal, itaongeza ajira kibao, ikiboreshwa itapunguza hatari kama magojwa au uharifu, itasisimua shunguli zingine za uchumi ie bar na usafirishaji, itasaidia kuboresha miundo mbinu nk.
Mkuu unafika mbali kuwa na mpaka kidogo kwenye baadhi ya mambo hasa yanayohusu imani za watuUnadhani wewe tu ndio una dem? Hata yesu alikua nae.... [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila binadamu [emoji119]
Zinapatikana ni weweFursa kabisa hiyo, mm natafuta location kama ipo
Wapo mbali mkuu Chattle au?mhmmm mbona unafika mbali
Dah mkuuJirani wewe achana na hizo ishu, hao wanaojiuza wanasaidia sana kuepuka kuchomaa au kutuma na ya kutolea.Nawashukuru sana malaya wa Tandika na Temeke, mlinisaidia sana mpaka leo nadunda.Na wale wa Dodoma asanteni sana bila kuwasahau wale wa Mwanza pale naniihi na wale wote tuliokutana na mkaniruhusu kupiga na kondomu.Asanteni sana