Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Ninampango wa kuanzisha biashara ya mchele dar naomba kujua n mahali gan kunaeza kua na mzunguko mkubwa,garama na mtaji pia
inategemea unataka kuifanya kwa kutoa wapi huo mchele!!kuna biashara ya jumla au rejareja!!wewe upo wapi tuanzie hapo kwanza
 
Mh! Soko la mchele itategemea serikali haitazuia kusafirisha

Maana hii nchi kuna watu na vitambi vyao kazi yao ni kutoa matamko tu
 
Blaza uko Mbeya? Ughonile? Ila ni wehu sana kuwekeza pesa kiasi cha kufikia kununua gunia 500 bila kujua soko liko wapi,ni wehu kwakweli
Ndugu angu unaweza kunita mwehu but mm npo kuomba ushauri na information about hii issue maana kujifunza is a process nitajifunza hadi siku ya kufa sio kwsmba I have nothing about this issue but nafaka kuongeza maarifa zaidi
 
inategemea unataka kuifanya kwa kutoa wapi huo mchele!!kuna biashara ya jumla au rejareja!!wewe upo wapi tuanzie hapo kwanza
Nampango wa kuutoa sehem yoyote ambayo itakua karib mfano moro....
Na pia mostly malengo yang n kufanya mauzo ya jumla meanwhile rejareja, na kwa jumla nauliza capital gan yawzakua nzr kuanzia.
 
Kilichonivutia kufanya biashara ya mchele n kua n zao ambalo linatumika sana kwa matumiz ya watanzania

basi tafuta kilinge mtaani au sokoni uanze kufanya unachokitaka

ila kama Ni kusafirisha huo mtaji bado ni mdogo

*umewahi Fanya hiyo biashara ya mchele au ya aina yeyote ile? sehemu gani?

*Huo mtaji umeupataje?
 
Aiseee

Hongera ila kwa miaka hii miwili biashara ya mpunga na mchele sio nzuri sana ukilinganisha miaka ya nyuma, kila kona ya nchi mpunga na mchele upo kwa wingi na mipaka nadhani bado haijafunguliwa ili kuwauzia majirani.

Zaidi biashara iko slow sana labda miezi ya january na february 19
 
basi tafuta kilinge mtaani au sokoni uanze kufanya unachokitaka

ila kama Ni kusafirisha huo mtaji bado ni mdogo

*umewahi Fanya hiyo biashara ya mchele au ya aina yeyote ile.? sehemu gani.?

*Huo mtaji umeupataje.?
Sawa....naomba uniambie mtaj gan mzr wawezakua mzur wa kuanzia
 
basi tafuta kilinge mtaani au sokoni uanze kufanya unachokitaka

ila kama Ni kusafirisha huo mtaji bado ni mdogo

*umewahi Fanya hiyo biashara ya mchele au ya aina yeyote ile.? sehemu gani.?

*Huo mtaji umeupataje.?
Ndo mara ya kwanza naaanza hii biashara
 
Kama utachukulia hukhuk dar sawa ila kwa kutoa morogoro huo mtaji unaweza uskulipe vizur may be kama una mentor amabaye atakushauli

Mm naongea hiv kwa uzoefu wangu
 
Kama utachukulia hukhuk dar sawa ila kwa kutoa morogoro huo mtaji unaweza uskulipe vizur may be kama una mentor amabaye atakushauli

Mm naongea hiv kwa uzoefu wangu
Kwa io mtaj gan unaeza kua mzr wa kuanzia
 
Aiseee

Hongera ila kwa miaka hii miwili biashara ya mpunga na mchele sio nzuri sana ukilinganisha miaka ya nyuma, kila kona ya nchi mpunga na mchele upo kwa wingi na mipaka nadhani bado haijafunguliwa ili kuwauzia majirani.

Zaidi biashara iko slow sana labda miezi ya january na february 19
Asante sana mkuu nashukuru
 
Kwa io mtaj gan unaeza kua mzr wa kuanzia
Inategemea kwanza fremu utakod kwa sh ngapi lkn pia gharama ya kusafirisha mchele kutoka morogoro ina range kwenye8000-11000 kulingana na eneo huska sasa ukichukua mchele kule unaanzia 1100/= kwa sasa ila bei inabadilika mda wowote kulingana na mahitaji.

Then mchele upakwe mafuta kupakia kweny gar n tsh 700/= na kushusha pia hivoo
Sasa angalia hizo gharama then unaweza kupiga mtaji uwe tsh ngap.

Naogopa kukwambia fedha taslimu

Ww angalia mwenyewe
 
Nampango wa kuutoa sehem yoyote ambayo itakua karib mfano moro....
Na pia mostly malengo yang n kufanya mauzo ya jumla meanwhile rejareja....na kwa jumla nauliza capital gan yawzakua nzr kuanzia

Ok! Capital inategemea na unapoutoa kwani gharama inakuwa kwenye usafiri na hutoza kwa kilo kulingana na umbali,kwani kuna baadhi ya maeneo lazima uwe na mtaji mkubwa kwani itakupasa ukodi gari zima hata kama mzigo wako ni mdogo!!ila kwa maeneo kama kahama ina kuwa rahisi hata kama una mtaji wa tani moja/mbili unaweza fanya kwani magari mengi yanatoka Congo, Rwanda na burundi hurudi tupu hivyo ni rahisi kuchukua hata kiasi hicho kwenye milioni tatu unaweza anzia, kwa jumla huwa utaratibu ni kuwa kwanza unatafuta sehemu ya kushushia (ghala) mnakubaliana kwa dsm ziko nyingi mfano kuna Tandika na Mbagala, ukimshushia mzigo wewe unapanga bei kulingana na ubora wa mchele wako na gharama ulizotumia hadi kuufikisha sokoni kwa kila kilo,pia inategemea na hali ya soko ya wakati huo, japo aweza kukushauri labda bei hiyo unayotaka ipo juu sana kulingana na mchele alionao hapo wa watu wengine.yeye gharama zake ni tsh.57@ kilo, ukiweka wapimaji pia (sijui kwa sasa kama bado ni bei hiyo) ila hadi mwezi wa nne mwaka huu store nyingi walikuwa wanachaji hivyo.una muachia mzigo akimaliza unakuja chukua pesa yako baada ya yeye kuchukua chake ina maana kila gunia la kilo mia yeye ana kata 5700!

Kifupi ndio hivyo, biashara zote za nafaka zinavyofanyika.
 
Ndugu angu unaweza kunita mwehu but mm npo kuomba ushauri na information about hii issue maana kujifunza is a process nitajifunza hadi siku ya kufa sio kwsmba I have nothing about this issue but nafaka kuongeza maarifa zaidi
Anza kuuza mpunga wako mwezi wa sikukuu ya Christmas's na mwaka Mpya hadi February 2019. Baada ya hapo being hurudi kuwa chini sana.
 
Inategemea kwanza fremu utakod kwa sh ngapi lkn pia gharama ya kusafirisha mchele kutoka morogoro ina range kwenye8000-11000 kulingana na eneo huska sasa ukichukua mchele kule unaanzia 1100/= kwa sasa ila bei inabadilika mda wowote kulingana na mahitaji.

Then mchele upakwe mafuta kupakia kweny gar n tsh 700/= na kushusha pia hivoo
Sasa angalia hizo gharama then unaweza kupiga mtaji uwe tsh ngap.
Naogopa kukwambia fedha taslimu. Ww angalia mwenyewe
1100 ukinunua kwa dalali,900 ndo bei ukiwa mashineni na kununua toka kwa mkulima mwenyewe
 
1100 ukinunua kwa dalali,900 ndo bei ukiwa mashineni na kununua toka kwa mkulima mwenyewe
Hapana mkuu mm nimetoka morogoro sehemu inaitwa mtimbira pale nimenunulia hiyo bei japo hata 900/= ipo nimetoka mwez wa nane labda sahz kama imeshukaa
Niliingia kweny magodown na kununua kwa wakulima wakiwa wanatoka huko mashamban
 
Hapana mkuu mm nimetoka morogoro sehemu inaitwa mtimbira pale nimenunulia hiyo bei japo hata 900/= ipo nimetoka mwez wa nane labda sahz kama imeshukaa
Niliingia kweny magodown na kununua kwa wakulima wakiwa wanatoka huko mashamban
Niko mtimbira sasa hv,Jana nlibahatisha kwa iyo Bei km kilo 200 hv ila kwa madalali sasa hv 1300 super kwa kilo.
 
Jamani sealing machine zinauzwa bei gani?
 
Back
Top Bottom