Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Kwa mfano mahindi kuyanunua na kuyahifadhi kusubiria bei iwe nzuri alafu unayauza baadae,naomba muongozokwa aliyewahi ifanya
Aisei nimekutafuta sana mke wangu mkubwa masai dada mtafute mke mwenzio Mzigua90 ujitambulishe na umwambie akuheshimu eti na mpendane kama mapacha.
 
Bro kama una mtaji mzuri nenda sasa kusni msimu wa korosho umeanza kanunue korosho hutojutia hela yako amini nakwambia.
 
Ok bas imepanda coz mm kipind hicho ilikua super 1200/= japo hata 950/= ilikuwepo but haukuwa mchele mzur sana
Soko linayumba sana sasa hivi sana,watu wenye stock za mpunga sijui zitakuaje?
 
bro kama una mtaji mzuri nenda sasa kusni msimu wa korosho umeanza kanunue korosho hutojutia hela yako amini nakwambia
Toa maelezo kidogo hizo korosho unachukua sehemu gani? Unachukuliwa kwa bei gani kwa kilo, usafirishaji na ushuru ukoje? Na zinapelekwa kuuzwa wapi? Na kwa bei gani
 
Toa maelezo kidogo hizo korosho unachukua sehemu gani? Unachukuliwa kwa bei gani kwa kilo, usafirishaji na ushuru ukoje? Na zinapelekwa kuuzwa wapi? Na kwa bei gani


nicheck pm nikupe mchongo mzima
 
Nipo dar nina gunia 7 za maharage ya combat

Bei 1600/kilo karibu sana
 
Wadau nataka nifanye biashara ya kusafirisha mazao kutoka tanga kwenda dsm vip natoboaje apo
 
Be specific,, unataka wakusaidie nini hao wenye uzoefu?, unapatikana wapi? coz bei hutofautiana kulingana na sehemu
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 28, nina shahada ya kwanza kutoka chuo kikuu (SUA). Ni hivi tangu nilipomaliza chuo nimeangaika huku na kule kutafuta kazi sehemu mbalimbali pasipo na mafanikio yoyote yale, ila bado sijakata tamaa naendelea kutafuta pamoja na changamoto ninazopitia. Kutokana na muda unazidi kwenda na ajira bado ni ngumu nimepata wazo la kufanya biashara huku nikiendelea kutafuta ajira kuliko kukaa na kusubiria naona nitazidi kupoteza muda zaidi. Kwenye wazo langu hilo la biashara nina kiasi kidogo cha fedha cha Tsh.300,000/= kama mtaji na nimeamua kufanya biashara mojawapo kati ya hizi zifuatazo nafaka, mihogo jumla na rejareja, nazi, maharage n.k ili niweze kupata fedha za kijikimu maana muda unakwenda na hali ni mbaya kwangu.

Kwahiyo kutokana na mawazo hayo juu,pamoja na kiasi hicho kidogo cha mtaji nilichonacho bado nina changamoto zifuatazo, sina mahali pakufanyia biashara, pia sina uzoefu na hizo biashara kwa maana sijawahi kufanya biashara yoyote hapo kabla ni mawazo tu nimeyapata baada ya kuona hali ni ngumu, kwahiyo naombeni ushauri wenu jamani nifanyeje ili niweze kujikwamua kiuchumi pamoja na changamoto hizo. Mimi nipo DSM, kwa yoyote yule mwenye kutaka kunisaidia usisite kunitafuta pamoja na yote hayo mimi ni muaminifu na mnyenyekevu.

Ahsanteni sana na MUNGU atawabariki!
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 28, nina shahada ya kwanza kutoka chuo kikuu (SUA). Ni hivi tangu nilipomaliza chuo nimeangaika huku na kule kutafuta kazi sehemu mbalimbali pasipo na mafanikio yoyote yale, ila bado sijakata tamaa naendelea kutafuta pamoja na changamoto ninazopitia. Kutokana na muda unazidi kwenda na ajira bado ni ngumu nimepata wazo la kufanya biashara huku nikiendelea kutafuta ajira kuliko kukaa na kusubiria naona nitazidi kupoteza muda zaidi. Kwenye wazo langu hilo la biashara nina kiasi kidogo cha fedha cha Tsh.300,000/= kama mtaji na nimeamua kufanya biashara mojawapo kati ya hizi zifuatazo nafaka, mihogo jumla na rejareja, nazi, maharage n.k ili niweze kupata fedha za kijikimu maana muda unakwenda na hali ni mbaya kwangu.

Kwahiyo kutokana na mawazo hayo juu,pamoja na kiasi hicho kidogo cha mtaji nilichonacho bado nina changamoto zifuatazo, sina mahali pakufanyia biashara, pia sina uzoefu na hizo biashara kwa maana sijawahi kufanya biashara yoyote hapo kabla ni mawazo tu nimeyapata baada ya kuona hali ni ngumu, kwahiyo naombeni ushauri wenu jamani nifanyeje ili niweze kujikwamua kiuchumi pamoja na changamoto hizo. Mimi nipo DSM na namba zangu hizi 0758 106 501, kwa yoyote yule mwenye kutaka kunisaidia usisite kunitafuta pamoja na yote hayo mimi ni muaminifu na mnyenyekevu.

Ahsanteni sana na MUNGU atawabariki!
Hapa ndo ninapochokaga tu saa nyingine huwa nawaza nilipo maliza 4m 6 ningeanza mishe za kutafuta

Ngoja tusubir mawazo chanya ya watu

Tupo kwenye janga moja
 
Umesomea course gani hapo sua,unataka kufanya kazi wapi (location) au unapoishi kwa sasa, tuanzie hapo.
 
Ndugu yangu pole;

Uko sahihi kuumia na kushangaa nchi yetu inaenda wapi hasa kutokana na ukweli kwamba muda unaenda na huoni matumaini yoyote.

Mimi huwa naamini kwamba kila jambo lina sababu na kwamba ukiona mipango yako haiendi kama ulivotarajia usife moyo. Hatua uliyochukua ni nzuri kuleta mkasa wako hapa JF. Kwa umri wako nakushauri unitafute PM nikupe idea flani ili hakikisha una mtazamo chanya.Idea hii haitakuhitaji kutumia hio laki tatu yako lakini inaweza kukupa mwanga wa uelekeo wa maisha yako.
 
Back
Top Bottom