WAKU-GOOGLE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 950
- 628
Tv inchi 43 kwa laki 5 ni kampuni ipi?Kwenye TV naona umepiga hesabu Expensive Sana.
Inchi 43 inapatkana kwa laki 550,000 bei ya JUMLA.
Ukiwa na 1million na laki moja unapata TV mbili.
Kwenye bajeti yako ya awali ya 900,000 .
Ongezea laki mbili upate TV mbili kwa bei ya Jumla.
Jomba jamaa kakupa nondo kali yaani wale walio wahi dak kadhaa unawaonjesha vitu hivyo kidogo kabla au baada ya mechi watanasa tu. Fungua kichwa. Utajua Menu ipi watu wanataka kula.Ni kwel mkuu lakin hapa nilipo mm weng ni boda boda na wazee ndio weng czan kam nitawapat kweny movie
Kifaransa babaaa kifaransaa wateja . Tutaelewanana kweli vijijini hukuNikuuzie canal mkuu hutojuta bei ni 130 unalipia 45 jwa mwezi, ligi 5View attachment 1184976
Halafu unawalipa Tena miaka. Nunua tu yakoMobisol zile watt 200 wanavyokopesha na TV yao ile 42 huwa included kwenye iyo offer yao ya mkopo.
Vinginevyo ajiandae kuoga mvua ya matusi.Mawazo mazuri mkuu, generator liwe na mafuta ya kutosha tayari kwa ajili ya dharura. Asante kwa ushauri wako
hapa kwenye mvua ya matusi ajiandae na asiwe mkali hata kama akitukaniwa mama yake mzazi, utasikia ma***ya wa kike wewe, mara ****** ni hatari sanaVinginevyo ajiandae kuoga mvua ya matusi.
Ongeza TV nyingine ya pili, kingamuzi kingine na projector ili uweze kurusha mechi tatu tofauti.
Kitambulisho muhimu nalifahamu hilo, thanks kwa kunikumbusha pia.
Kuhusu TV ndugu ntaanza na moja mbeleni ntaongeza nyingine kadiri ya mapato yatakavyo kuwa.
Asante Tena.
Kama ni Mpira unahitaj 169,000 kila mwezi ulipie Dstv(Premium )..not 69,000
Kweli kabisa mkuu mimi nilienda zenji nkachukua tv mbili 43" kwa laki nne nne. Nkaleta bongo hapa plus all transportation cost 970k .Kwenye TV naona umepiga hesabu Expensive Sana.
Inchi 43 inapatkana kwa laki 550,000 bei ya JUMLA.
Ukiwa na 1million na laki moja unapata TV mbili.
Kwenye bajeti yako ya awali ya 900,000 .
Ongezea laki mbili upate TV mbili kwa bei ya Jumla.
Kama sehemu ulipo kuna ving'amzi vya Canal+ ni bora utumie hicho kwa ligi zote za nje kuliko kutumia dstv coz canal+ kwaMoja kati ya michezo pendwa sana kwa vijana na hata wazee na watoto kwa ujumla ni mchezo wa miguu, mpira (Football). Ligi nyingi sana zimeanza na zinatarajiwa kuanza ndani ya mwezi huu, huku tayari ligi pendwa ya EPL imeanza kutimua vumbi huku ligi ya Tanzania soon kuanza nayo.
Napenda kuanza biashara hii ya kuonyesha mpira hasa kwa ving'amuzi vya DSTV na AZAM ikiwa kuonyesha mechi za nje ya nchi na ndani hasa timu pendwa za watani wa jadi (Simba na Yanga).
Huu ndo uchambuzi wangu ambao nategemea kufanya makadirio kabla ya kuanza ujenzi na biashara kwa ujumla:
Ujenzi wa Banda kwa kutumia Mabati pamoja na umeme hasa kutokana na sehemu niliyopo ni ya kijijini (sio sana) itanigharimu Tshs 900,000
TV ya Kisasa (LED Inch 43) itanigharimu Tshs 900,000
Manunuzi ya Ving'amuzi vyote viwili (AZAM - Tshs 135,000 & DSTV - Tshs 109,000)
Jumla = Tshs 244,000
Vifurushi Vya Kujiunga Ndani husika (AZAM PLUS - Tshs 23,000 & DSTV Compact - Tshs 69,000)
Jumla = Tshs 92,000
Kabati kwa ajili ya kuwekea/kuhifadhi TV itanigharimu Tshs 85,000
Matumizi mengine ya dharura (Emergency) ndani ya ujenzi ni Tshs 200,000
Jumla Ya Mahitaji Na Gharama Kwa Ujumla Itanigharimu Kiasi Cha Tshs 2,421,000
Nakaribisha maoni na mapendekezo yenu yaweze kunisaidia mimi pamoja na wanajukwaa wengine wenye malengo kama yangu ya kuanzisha biashara hii.
Asanteni[emoji120]
Asante sana kaka kwa ushauri, japo nipo Arusha kwa sasa naona kama gharama ya TV na usafirishaji kwa ujumla itakuwa kubwa zaidi.Kweli kabisa mkuu mimi nilienda zenji nkachukua tv mbili 43" kwa laki nne nne. Nkaleta bongo hapa plus all transportation cost 970k .
Arusha unataka fungua sehemu gani,niko kwenye hii game takupa ushauri.Asante sana kaka kwa ushauri, japo nipo Arusha kwa sasa naona kama gharama ya TV na usafirishaji kwa ujumla itakuwa kubwa zaidi.
Star x kila siku zinatangazwa humu kwa 550,000 nami ndo ninayotumia muonekano wake nimzuri tuTv inchi 43 kwa laki 5 ni kampuni ipi?