Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

Mimi shida yangu nataka Tv zangu zionekane Clear km za kariakoo nifanyaje au nitumie nini Tv zionekane vzr na rangi nzuri zinazong'ara km za kariakoo madukani
 
Mimi shida yangu nataka Tv zangu zionekane Clear km za kariakoo nifanyaje au nitumie nini Tv zionekane vzr na rangi nzuri zinazong'ara km za kariakoo madukani
nunua led au qhd 4k
 
mkuu hivi vitu vyote unavyosema ninavyo na nilianza huku kuikwepa dstv lakini nimerudi baada ya kuonekana FTA huwa mara nyingi signal ni low
na kama upo kibiashara kiukweli kuitegemea FTA naona utakuwa unaongopa maana wanarusha game wanazotaka wao hasa zikiwa nyingi maana ni chanel moja tu inayorusha sport 24HD
au kwako ni tofauti?
Mm mwenyewe nimeanza kuotumia mwezi wa12 chanell za mpira zipo nyingi sport24$sony.ila kiukweli ili udumu nayo mpaka uwe na ufundi kidogo make kila mara unatakiwa uwe uptodate inaweza kiamuka ukakuta haionyeshi au ukakuta wamebadili friqiency ila cha msingi ni kuwasiliana na mwenzako mwenye nayo
 
Mie niwahi kukutana na mganda yeye anatumia king'amuzi cha Abudhabi sport haviuzwi huku Africa ni special na authorised dealer Asia kama ilivyo DSTv out of africa kile kukipata ni ghali kidogo ila ukikipata unaenjoy sababu hutalipia na utaenjoy mipira sema tu itakua kwenye lugha yao kiarabu
yaahh ww ndo upo sahihi.pia hata bien sport ukikipata umeula sana.waulizeni watu wa television cable jinsi ya kuvipata sio kwenda kichwa kichwa mtaibiwa tuu DSTV kuwaibia ni ndoto kila siku wanachange fq acheni ujinga
 
Mm mwenyewe nimeanza kuotumia mwezi wa12 chanell za mpira zipo nyingi sport24$sony.ila kiukweli ili udumu nayo mpaka uwe na ufundi kidogo make kila mara unatakiwa uwe uptodate inaweza kiamuka ukakuta haionyeshi au ukakuta wamebadili friqiency ila cha msingi ni kuwasiliana na mwenzako mwenye nayo
hili la ufundi ni kweli mkuu maana unatakiwa ucheze na frequence ingawa risiva nyingi zinajibadili shida hii ya no signal ikianza ni wote hiyo
na kingine sport 24 inarusha epl na uefa tu lakin sony six na sony espn inarusha laliga tu mechi nyingi za FTA zinarushwa brasil hd Na hiyo TZ HAISHIKI
 
yaahh ww ndo upo sahihi.pia hata bien sport ukikipata umeula sana.waulizeni watu wa television cable jinsi ya kuvipata sio kwenda kichwa kichwa mtaibiwa tuu DSTV kuwaibia ni ndoto kila siku wanachange fq acheni ujinga
Bien sport naiona nayo inapiga mechi zote kama super sport vipi inapatikana wapi na kwa bei gani mkuu pia hii vipi malipo yake ya kila mwezi kama unacho?
 
nunua led au qhd 4k
Led kwa maana ya Tv?.Tv zangu ni Led ndio nipo kwenue maandalizi nategemea kufungua ofisi tar 1 mweza wa 2 ila nilikuwa na mtaalamu 1 wa IT wa DSTV ameniambia wenye haki ya kuonesha EPL ni Dstv kaniambia nikifanya ujanja ntafilisiwa alichonishauri km naweza kuwa na ndg South Africa aninunulie decoder ya huko anitumie malipo ni madogo sana shida ni namna ya kulipia kwa mwezi.kiufupi tukomae tu na hao hao Dstv.mkuu nielekeze duka kariakoo nikanunue hizo makitu Tv na picha ziwe na muonekano mzuri
 
Hakuna dish japo kuna zenye sehemu za kuweka dish kwa ajili ya free to air.Lakini hiyo ya Mobdro haina uhitaji wa dishi.Mbali na mpira kuna chanel nyingi sana humo.TV zote za UK kama ITV 1,2,3,4. BBC 1,2,3,4 zimo Skysport1,2,3,4 .Bein,Fox etc. baadae nitaweka picha
asante sana mkuu vipi bei yake ipoje?
 
Led kwa maana ya Tv?.Tv zangu ni Led ndio nipo kwenue maandalizi nategemea kufungua ofisi tar 1 mweza wa 2 ila nilikuwa na mtaalamu 1 wa IT wa DSTV ameniambia wenye haki ya kuonesha EPL ni Dstv kaniambia nikifanya ujanja ntafilisiwa alichonishauri km naweza kuwa na ndg South Africa aninunulie decoder ya huko anitumie malipo ni madogo sana shida ni namna ya kulipia kwa mwezi.kiufupi tukomae tu na hao hao Dstv.mkuu nielekeze duka kariakoo nikanunue hizo makitu Tv na picha ziwe na muonekano mzuri
mkuu hilo la muonekano kama Tv zako ni flat na zina support HDMI kainunulie wire wake ingawa mimi lile banda langu natumia vyote AV kwa hizi cable wire au hiyo HDMI na kote muonekano wake mzuri ni star x

pia hilo la DSTV na haki ya kuonyesha epl ni sawa lakini ni kwa nchi zilizopo chini ya jangwa la sahara tu wapo hawa bien sport
skysport wote wana haki ya kuonyesha kama Dstv alivyo hapo bado hawa FTA nao wana haki ingawa hawa shida ipo kwenye key zao na kutofautiana baina ya nchi na nchi
android tv box hapo wameondoa tatizo tuzidi kujiuliza zaidi ila Dstv ni maumivu mkuu kama ndo unategemea kuanza kuonyesha na walau sasa hivi wamepunguza kiasi
premium ilikuwa zaidi ya laki mbili sasa hivi laki na 80 kwa mwezi
 
Mi nilininua $63. zipo za $ 40 - $ 200
thanks mkuu ni almost laki na 30 hiyo
kumbe kuna jamaa anapiga yeye anauza laki mbili na 40

pia vipi mbona vipo katika bei yenye tofauti kubwa ivo ni ubora au kuonyesha kwake ni tofauti?
 
mkuu hilo la muonekano kama Tv zako ni flat na zina support HDMI kainunulie wire wake ingawa mimi lile banda langu natumia vyote AV kwa hizi cable wire au hiyo HDMI na kote muonekano wake mzuri ni star x

pia hilo la DSTV na haki ya kuonyesha epl ni sawa lakini ni kwa nchi zilizopo chini ya jangwa la sahara tu wapo hawa bien sport
skysport wote wana haki ya kuonyesha kama Dstv alivyo hapo bado hawa FTA nao wana haki ingawa hawa shida ipo kwenye key zao na kutofautiana baina ya nchi na nchi
android tv box hapo wameondoa tatizo tuzidi kujiuliza zaidi ila Dstv ni maumivu mkuu kama ndo unategemea kuanza kuonyesha na walau sasa hivi wamepunguza kiasi
premium ilikuwa zaidi ya laki mbili sasa hivi laki na 80 kwa mwezi
Nashukuru sana mkuu mimi nipo Dar ntakukaribisha wkt wa ufunguzi na kingine kwa uzoefu wako vp projector inapendwa maana nina eneo kubwa nataka niweke na nje eneo la wazi nina eneo kubwa sana au Tv ni bora
 
Nashukuru sana mkuu mimi nipo Dar ntakukaribisha wkt wa ufunguzi na kingine kwa uzoefu wako vp projector inapendwa maana nina eneo kubwa nataka niweke na nje eneo la wazi nina eneo kubwa sana au Tv ni bora
yeah ni nzuri mkuu lakini as ujuavyo projector ni usiku kikubwa na la msingi sana kwenye decoder mkuu unaplan kutumia zipi?
 
yeah ni nzuri mkuu lakini as ujuavyo projector ni usiku kikubwa na la msingi sana kwenye decoder mkuu unaplan kutumia zipi?
sina uzoefu mkuu nilikiwa nimeongea na watu wa Dstv vp kuna unafuu naweza kuupata nje ua Dstv?
 
sina uzoefu mkuu nilikiwa nimeongea na watu wa Dstv vp kuna unafuu naweza kuupata nje ua Dstv?
mimi natumia dstv na FTA lakini nimeona FTA kuna unafuu sana shida signal zake ila hapa napata info za android box tv hii nadhani ni suluhisho zaidi
unawekeza ili upate faida sio mgawane faida ndio yaliyopo kwenye dstv
 
mimi natumia dstv na FTA lakini nimeona FTA kuna unafuu sana shida signal zake ila hapa napata info za android box tv hii nadhani ni suluhisho zaidi
unawekeza ili upate faida sio mgawane faida ndio yaliyopo kwenye dstv
basi ukishafanikiwa hilo zoezi na ukawa na uhakika nalo utanijulisha kaka na mimi nijiunge huko kwako
 
Hakuna dish japo kuna zenye sehemu za kuweka dish kwa ajili ya free to air.Lakini hiyo ya Mobdro haina uhitaji wa dishi.Mbali na mpira kuna chanel nyingi sana humo.TV zote za UK kama ITV 1,2,3,4. BBC 1,2,3,4 zimo Skysport1,2,3,4 .Bein,Fox etc. baadae nitaweka picha
Mobdro ktk tv box huwa inahitaji net yenye speed kubwa km 1mb/s so ikipungua tu kinazingua na kuna wakati channels flani zinakuwa offline kwa uhakika zipo iptv premium acc kwa ajiri ya hizi box ambazo hata net yako iko km 200kb/s inapigakazi fresh km hii anewish iptv premium acc ya mwaka ni $40 unapata channels 1000+ bein sports zote ndani kwa mobdro sana sana utakuta bein sport 1-6 bac
 
Back
Top Bottom