Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

JF huwa tunakawaida ya kushirikishana kile tunachokifahamu

Mfano kwa swala zima la kuangalia TV live kupitia simu yako, kuna Hizi application.
- KODI
- MOBDRO
- Swift Stream
- Live NET ( Download MX player kwanza)
- Sport Tv live
- app-release - Hii toka terrariumtv.com
- Na kwa TV channel za nyumbani tumia hii M3U (- Download attachment) , Kwa PC utatumia VLC na kwa simu utatumia MX player au Perfect Player

Ukiwa na hizo APP katika simu na ukaunga simuyako au Tv Box - Haito tokea ukakumbuka kama kuna Tv channel zingine
- Mfano ukiwa addicted na KODI na umeiwekea addon kwa kadri ya mahitaji yako, Hakuna TV channel DUNIA utakayoshindwa kuipata
View attachment 462423
JIFUNZE ZAIDI KWENYE HII THREAD
Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)
Mkuu zamani ktk kodi zamani tulikuwa tunapata super sport ktk zemtv addon siku hizi hamna je zinaparikana addon gani
 
Mkuu Mwl.RCT unatumia internet provider yupi kustream? Nimejaribu hawa jamaa karibu wote (walio na unlimited internet yaani Smart/Smile/Halotel) ila naona kama vile baada ya mwezi hivi wanapunguza speed wakigundua unanyonya bandwidth kubwa. Sasa najiuliza hivi ni mimi au na nyie mmewahi kukumbwa na hili?
 
Mimi nimefungua banda langu juzi siku ya game ya liverpool vs man utd,,kiukweli si mbaya na njia pekee ya kuwa na matangszo ya uhakika ni dstv,hasa ukijiunga na huduma ya extra view,mechi mbili,kifurushi kimoja decorder mbili,,,hapo unalazimika kulipia jumla ya sh 149000...
 
Mkuu Mwl.RCT unatumia internet provider yupi kustream? Nimejaribu hawa jamaa karibu wote (walio na unlimited internet yaani Smart/Smile/Halotel) ila naona kama vile baada ya mwezi hivi wanapunguza speed wakigundua unanyonya bandwidth kubwa. Sasa najiuliza hivi ni mimi au na nyie mmewahi kukumbwa na hili?
Mitandao miwili
- voda &
- TTCL
Inakidhi mahitaji yangu.
 
Pamoja na ushuru au
Karibu
upload_2017-1-23_18-46-36.png

Hii ni order ya mdau mmoja imeondoka leo
 
Gharama ya ufundi na vifaa nitakufanyia 410k,maongezi yapo.Napatikana maeneo ya Banana
Nipo mbeya, nawezaje pata huduma?
Kwanini ulipie pesa nyingi kwaajili ya kuangalia ligi pendwa duniani?

Misimu ya ligi za soka ndio inaendelea

Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1 pamoja na mashindano makubwa duniani kama UEFA, FA, Capital One, International Champion,Super Cup na Olympic

Pia utaweza kuangalia mashindano mengine ya tennis, golf, mbio za magari, ngumi nk

Huhitaji kulipia kwa mwezi hata thumuni ya pesa yako, gharama itahitajika mwanzoni tu kwaajili ya vifaa na ufundi

Mahitaji;
-Dish kubwa (ft 6 au ft 8)
-Satellite receiver(yenye mfumo wa pv)
-C band LNB
-LNB cable(wire)
-Diseqc switch

Vifaa hivi vyote vinapatikana kwangu pamoja na ufundi

Pia utapata channel zinaonyesha movies,series, mieleka, wanyama, utafiti na sayansi

Mfumo huu una stability 90% reliability 90%, usihofu kukatiwa matangazo au utapeli

Mawasiliano(Call or text/whatsapp)
-0686811173
-0764453848
 
Naweza kukupa huduma hapo Mbeya tuwasiliane 0717 54 57 62
Ninazo android box bora zaid,satellite receivers bora zaid.
Nainjoy home na bandani.

0767791405 (call or whatsapp)
MWANZA
 

Attachments

  • 1485244751941.jpg
    1485244751941.jpg
    38.6 KB · Views: 124
  • 1485245033335.jpg
    1485245033335.jpg
    31.3 KB · Views: 104
  • 1485245107972.jpg
    1485245107972.jpg
    37.4 KB · Views: 114
  • 1485245330663.jpg
    1485245330663.jpg
    31.3 KB · Views: 107
  • 1485245348374.jpg
    1485245348374.jpg
    51.3 KB · Views: 112
  • 1485245447216.jpg
    1485245447216.jpg
    23.3 KB · Views: 124
Wale wa madish sport 24 imegoma siku ya tatu hii au wapo wengine inapiga?
 
Kwa wenye mabanda bei za vifurushi ni kubwa sana hasa Dstv ili upate ligi ya uingereza epl hapa inakulazimu ununue kifurushi kuanzia hiki cha dstv compact plus 122500(laki moja na ishirini na mbili mia tano) hapo una kimoja kama una Tv mbili inakubidi uwe na decoder mbili na zote uzilipie ile huduma ya kuunganisha tv mbili kwa decoder moja na ionyeshe mechi tofauti wanadai ilitolewa anaejua mautundu tusaidiane.

Binafsi baada ya kuona hizo gharama hiyo ya kifurushi bado hujalipa kodi na umeme na kibaya eneo nilipoweka hii biashara haijachangamka kivile NILIFANYA HILI KUJIPUNGUZIA GHARAMA.

Nikanunua sattellite dish lile kubwa na receiver ili nipate chanell za bure kweli sport 24 Hd inarusha karibu mechi zote inanisaidia japo hapa karibuni imesumbua sana hii sport 24 Hd signal zilikuwa chini sana now ipo vizuri ila changamoto yake kuu NIONAVYO HII INAFAA KWA MATUMIZI YA NYUMBANI SIO KIBIASHARA.


SOLUTION NYINGINE KUNA HAWA WANAWEKA channell za mpira katika azam au star times hawa sijawajaribu kama yupo anaezitumia tusaidiane.

ILA NI BIASHARA NZURI UKIWA NA LOCATION NZURI INGAWA MAUMIVU VIFURUSHI wageni karibuni katika hii bussiness leteni na maswali.

Mliopo humu na mna mabanda ya mpira tushaurine tufanye nini tuendeshe kifaida zaidi.

Je, Bien Sport au super Sport hizo zinazowekwa kwenye decoder zinadumu kwa muda gani?
Mkuu nilikuwa na idea ya kuanzisha banda na mimi...vipi unaweza kunipa mchanganuo wako wa biashara hii kama hutojali?
 
Mkuu nilikuwa na idea ya kuanzisha banda na mimi...vipi unaweza kunipa mchanganuo wako wa biashara hii kama hutojali?
Mkuu Mimi hii ni moja wapo ya biashara zangu
Ingawa kwa sasa natumia dish mbili tu

Dstv natumia extra view malipo laki moja na nusu
Na kingine hizi za ndani decoder ya Azam

TV ninazo flat mbili na projector moja
Na jenerator plus sabufa mbili basi

Bei star x mbili nilinunua laki Tisa kila moja 450000
Sabyfa mbili

Moja 200000
Nyingine 90000
Ving'amuzi Azam 145000+ ufundi 30000+malipo ya mwezi 15000

Dstv nilinunua 80000 + ufundi 30000
Kifurushi 150000 kwa mwezi

Ila kabla ya Dstv nilikuwa natumia receiver ya alphabox hii nilinunua 250000 pamoja na Vifaa + ufundi
Dish 200000
Basi
Na banda laki saba tu kulijenga


ILa usiogope anza na ulivyo navyo
 
Natumia halotel lakini hii aplication ya Mobdro inakatakata wakati inaonyesha games.
Nifanyeje ili iwe vizuri..( natumia simu)
 
Habari wana jamiiforums natafuta mtu wa kushirikiana katika kuonyesha mpira kupitia dstv.Mimi nina vifaa vyote kinachokosekana ni sehemu ya kuonyeshea na vifaa vingine (labda viti).Hivyo basi kama una sehemu nzuri tunaweza kuongea tukaingia mkataba kwa pamoja.Nipo Dar es salaam

mawasiliano; 0765696086 (watsaap)
 
Back
Top Bottom