Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Upo mkoa gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo darUpo mkoa gani
Canal + bei gani mkuuAcheni ukanjanja nunueni king'amuzi cha canal + elfu 45 tu unapata Epl, La liga , Uefa, Europa na french league 1 .
King'amuzi kipya cha Canal + ni 160k kinakuja na malipo ya mwezi mmoja bure hivyo ukinunua kwa mara ya kwanza hautalipia na utapata chanel zote za mpira yaani canal sport, 1,2,3 na 4.Canal + bei gani mkuu
Vinapatikana wapi hivi mkuu wana wakala hapa bongo ? Na kulipa malipo ya mwezi unalipajeKing'amuzi kipya cha Canal + ni 160k kinakuja na malipo ya mwezi mmoja bure hivyo ukinunua kwa mara ya kwanza hautalipia na utapata chanel zote za mpira yaani canal sport, 1,2,3 na 4.
Vinapatiakana Kigoma , Burundi na Rwanda na malipo ya mwezi kama unataka kutazama chaneli za mpira unatakiwa ulipie elfu 45000 kwa mwezi kuna jamaa yupo kigoma anaitwa Shankur ndie wakala pekee wa Canal + kwa hapa Tanzania , au kwa maelezo na habari zaidi tafuta ukurasa wa canal + east africa kama upo facebnok au tafuta uzi uliandikwa Sasa ni mwendo wa canal + jipatie dekoda yako kwa bei nafuu .Vinapatikana wapi hivi mkuu wana wakala hapa bongo ? Na kulipa malipo ya mwezi unalipaje
>> Sasa ni mwendo wa Canal + jipatie dekoda yako na vifurushi kwa bei nafuuau tafuta uzi uliandikwa Sasa ni mwendo wa canal + jipatie dekoda yako kwa bei nafuu .
mimi nakitaka kile kimashine cha kubetishia mkuu vipi nitaweza kupata abc zake kama unajua pliz maelezo au yeyote humuJiunge na group la whatsap la betting lenye members zaidi ya watu 130 upate mikeka ya uhakika na ushauri mzuri kuhusu mechi na company za betting. Kujiunga ni bure na ushauri na mikeka yote ni bure. Linki iyo hapo chini.<br /><br /><br /><br />Betting only
usiogope kuanzisha biashara mkuu itafuatana nawe Tv zako na decoder basi mengine ndani ya mchezo kama hapa tunavyojuzana kuzikwepa baadhi gharama maana dstv anaumiza huyoHiyo biashara naitamani sana niifanye, hivi kwa kuanzia capital nisikose sh ngapi kwa miundombinu ukiondoa pango ya banda?
Kiasi gani cha data kinagharimu kwa kutazama mechi moja..?Kwa nini hamtumii ANDROID TV BOX? kupitia Android TV Box utapata Mobdro. Ndani ya Mobdro mechi karibu zote zinapatikana.Internet yako tu ya 4G itahusika.Nunua Android TV Box,nunua 4G router.Kazi imeisha
Nakipataje na malipo yake VIP?Acheni ukanjanja nunueni king'amuzi cha canal + elfu 45 tu unapata Epl, La liga , Uefa, Europa na french league 1 .
Sijakuelewa vema kwenye Android TV box maana mm nanavyojua mobdro ni app? Mm ninayo lakini inasubua sana kwenye cm na ninatumia 4gKwa nini hamtumii ANDROID TV BOX? kupitia Android TV Box utapata Mobdro. Ndani ya Mobdro mechi karibu zote zinapatikana.Internet yako tu ya 4G itahusika.Nunua Android TV Box,nunua 4G router.Kazi imeisha
Unaagiza kutoka kigoma kwa Shankur utaletewa popote ulipo Tanzania, na kuhusu malipo ya mwezi kama unahitaji chanel za michezo utalipia elfu 45 kwa mwezi ,mwezi mmoja baada ya kununua ila utakaponunua kwa mara ya kwanza hautakiwi kulipia mpaka mwezi unaofuata, Shukrani.Nakipataje na malipo yake VIP?
Hiki King'amuz cha canal nakinunua wapiAcheni ukanjanja nunueni king'amuzi cha canal + elfu 45 tu unapata Epl, La liga , Uefa, Europa na french league 1 .
Vinapatikana kigoma kwa Tanzania weko oda yako kisha unatakiwa kulipia elfu 60 kama advance , ukishakipata utamalizia pesa yote ,karibu sanaHiki King'amuz cha canal nakinunua wapi