Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

Nishati.

Badala ya kununua generator nunua sola watt 100= Tshs 140000
Betry N 80 =240000

Hii itapunguza gharama za mafuta ya generator, kelele na harufu ya petroli kwa wateja.

Badala ya kununua matv yote hayo anaweza kununua Moja kwa kuanzia baadaye mchongo ukikubali anaweka projector tu
 
Nishati.
Badala ya kununua generator nunua sola watt 100= Tshs 140000
Betry N 80 =240000

Hii itapunguza gharama za mafuta ya generator, kelele na harufu ya petroli kwa wateja.

Badala ya kununua matv yote hayo anaweza kununua Moja kwa kuanzia baadaye mchongo ukikubali anaweka projector tu
Hallo hiyo inabidi uzime kwa ajili y ku recharge au mwendo mdundo nimeipenda hii na je inawasha laptop nikiweka inveta.
 
Kaka upo vzuri asante kwa kutupa nondo za kuongeza kipato zaidi
Kibanda umiza kinalipa sana.

Kuna ukumbi mmoja uko karibu na chuo cha uandishi wa habari kina capacity ya kuingiza watu 270 mechi za simba na Yanga huwa unajaa na kutema sababu ya kuwa kwenye location nzuri.

Tv zipo mbili na projector moja.
 
Nishati.
Badala ya kununua generator nunua sola watt 100= Tshs 140000
Betry N 80 =240000

Hii itapunguza gharama za mafuta ya generator, kelele na harufu ya petroli kwa wateja.

Badala ya kununua matv yote hayo anaweza kununua Moja kwa kuanzia baadaye mchongo ukikubali anaweka projector tu
Mobisol zile watt 200 wanavyokopesha na TV yao ile 42 huwa included kwenye iyo offer yao ya mkopo.
 
Hallo hiyo inabidi uzime kwa ajili y ku recharge au mwendo mdundo nimeipenda hii na je inawasha laptop nikiweka inveta
Sola panel unakuwa unaitoa kila siku inajaza betri unatafuta fundi anakutengenezea inakuwa standby tu umeme ukikata wa sola unaendelea kufanya kazi.
 
Nishati.
Badala ya kununua generator nunua sola watt 100= Tshs 140000
Betry N 80 =240000

Hii itapunguza gharama za mafuta ya generator, kelele na harufu ya petroli kwa wateja.

Badala ya kununua matv yote hayo anaweza kununua Moja kwa kuanzia baadaye mchongo ukikubali anaweka projector tu
Kipindi cha mvua vp hii mkuu haitasumbua.
 
Mobisol zile watt 200 wanavyokopesha na TV yao ile 42 huwa included kwenye iyo offer yao ya mkopo.
Ni njia nzuri pia lakini gharama itakuwa kubwa sana.

Kama sikosei ukikopeshwa na Mobisol kwa sola na tv ya specification hizo unalipia siyo chini ya million 5 kwa miaka hiyo mitano.

Wakati kununua sola ya aina hiyo kwa cash inaweza kuwa around 1m up to 1.5m
 
Sola panel unakuwa unaitoa kila siku inajaza betri unatafuta fundi anakutengenezea inakuwa standby tu umeme ukikata wa sola unaendelea kufanya kazi.
Nieleweshe mkuu unaijaza vp hii.
 
Biashara yakuonyesha mpira inalipa kama itakuwa karibu na maeneo haya.
1 chuo
2 shule za boarding
3 vituo vya magari hasa dalala na parking za magari makubwa.
4 Mijini sehemu yoyote yenye kusanyiko kubwa la vijana.

Vijijini watu wanafuatilia ligi ya Tanzania tu na mechi za mashindano kama AFCON EURO na World cup.

Kama anataka kuweka vijijini simshauri kupeleka supersport labda ajiridhishe hapo anapopeleka anauhakika walau wa watu hamsini kila mechi wanaweza ingia kuangalia EPL.

faida atakuwa anaipata kunapokuwa na mechi kubwa kubwa kwani zina mashabiki wengi maeneo mengi.

Siku ya simba na yanga anapandisha kiingilio kuwa 1000 watu wataingia wengi bila kujali kiingilio na atapata faida.
Hii kwel mkuu mm nmejionea huk wilayan watu wanapenda san ligi ya tanzania bara kuliko za ulaya labda iwe big mechi lakin za kibongo ata iwe friend mechi watu wanakuja kuangalia sema uzur huk tunachaji 1000 kwa hyo ata wakija watu 25 fresh tu.
Na hz mechi za kufuz champions league ya africa hela inapatikna coz naweza kupata watu zaid ya 55 kwa 1000 ndio mana naomba kila cku yanga na simba zifike hatua ya makundi nipige hela vzr
 
Unanunua sola Mono ambayo capacity yake kwenye mawingu inakuwa kubwa pia.
After all mvua haiwezi kunyesha siku zote.

Lakini pia tumeweka sola kama backup ya umeme ukikatika.
Yap mawazo mazuri nilichoona mimi kuna vijana wengi wamekulia mjini hawajui hali ikoje huko vijiji vingine.

Kuna kijiji mimi nina shamba langu watu wanalipa kuangalia chochote kwenye tv sababu hata umeme hamna wenye tv hawako kibiashara .

Na ikitokea mechi vijana wengi wenye pikipiki wote wanahama kijini wanafuata game. Kwa mfano mimi siangaliagi mecbi nyi ngine yeyote ila Barca wakicheza nitatoka tu. Nilishawai kuvunja mlango baada ya shemeji yenu kunifungia nisitoke usiku.

Hii kitu inalipa.
 
Hii kwel mkuu mm nmejionea huk wilayan watu wanapenda san ligi ya tanzania bara kuliko za ulaya labda iwe big mechi lakin za kibongo ata iwe friend mechi watu wanakuja kuangalia sema uzur huk tunachaji 1000 kwa hyo ata wakija watu 25 fresh tu.
Na hz mechi za kufuz champions league ya africa hela inapatikna coz naweza kupata watu zaid ya 55 kwa 1000 ndio mana naomba kila cku yanga na simba zifike hatua ya makundi nipige hela vzr
Kwa vijijini ligi ya Tanzania ndiyo inalipa na mechi za mashindano.

Lakini pia watu bado wanautaratibu wa kuangalia video hivyo siku hakuna mpira unaweka movies unachangisha kidogo kidogo.

Kuna michezo ya mbio za pikipiki na magari ukizitangaza pia zinaweza kuvutia sana nilijaribu kuziintroduce zilivutia wengi sana.
 
Yap mawazo mazuri nilichoona mimi kuna vijana wengi wamekulia mjini hawajui hali ikoje huko vijiji vingine.

Kuna kijiji mimi nina shamba langu watu wanalipa kuangalia chochote kwenye tv sababu hata umeme hamna wenye tv hawako kibiashara .

Na ikitokea mechi vijana wengi wenye pikipiki wote wanahama kijini wanafuata game. Kwa mfano mimi siangaliagi mecbi nyi ngine yeyote ila Barca wakicheza nitatoka tu. Nilishawai kuvunja mlango baada ya shemeji yenu kunifungia nisitoke usiku.

Hii kitu inalipa.
Hahahaha siku nyingine usivunje mlango Mkuu.
 
Kwa vijijini ligi ya Tanzania ndiyo inalipa na mechi za mashindano.

Lakini pia watu bado wanautaratibu wa kuangalia video hivyo siku hakuna mpira unaweka movies unachangisha kidogo kidogo.

Kuna michezo ya mbio za pikipiki na magari ukizitangaza pia zinaweza kuvutia sana nilijaribu kuziintroduce zilivutia wengi sana.
Ni kwel mkuu lakin hapa nilipo mm weng ni boda boda na wazee ndio weng czan kam nitawapat kweny movie.
 
Moja kati ya michezo pendwa sana kwa vijana na hata wazee na watoto kwa ujumla ni mchezo wa miguu, mpira (Football). Ligi nyingi sana zimeanza na zinatarajiwa kuanza ndani ya mwezi huu, huku tayari ligi pendwa ya EPL imeanza kutimua vumbi huku ligi ya Tanzania soon kuanza nayo.

Napenda kuanza biashara hii ya kuonyesha mpira hasa kwa ving'amuzi vya DSTV na AZAM ikiwa kuonyesha mechi za nje ya nchi na ndani hasa timu pendwa za watani wa jadi (Simba na Yanga).

Huu ndo uchambuzi wangu ambao nategemea kufanya makadirio kabla ya kuanza ujenzi na biashara kwa ujumla:

*Ujenzi wa Banda kwa kutumia Mabati pamoja na umeme hasa kutokana na sehemu niliyopo ni ya kijijini (sio sana) itanigharimu Tshs 900,000

*TV ya Kisasa (LED Inch 43) itanigharimu Tshs 900,000

*Manunuzi ya Ving'amuzi vyote viwili (AZAM - Tshs 135,000 & DSTV - Tshs 109,000)
Jumla = Tshs 244,000

*Vifurushi Vya Kujiunga Ndani husika (AZAM PLUS - Tshs 23,000 & DSTV Compact - Tshs 69,000)
Jumla = Tshs 92,000

*Kabati kwa ajili ya kuwekea/kuhifadhi TV itanigharimu Tshs 85,000

*Matumizi mengine ya dharura (Emergency) ndani ya ujenzi ni Tshs 200,000

Jumla Ya Mahitaji Na Gharama Kwa Ujumla Itanigharimu Kiasi Cha Tshs 2,421,000

Nakaribisha maoni na mapendekezo yenu yaweze kunisaidia mimi pamoja na wanajukwaa wengine wenye malengo kama yangu ya kuanzisha biashara hii.

Asanteni[emoji120]
Nunua projector mkuu moja ni 840000 epson eb s05 ata kam kuna mwanga inaonesha vzr tu inatanuka had inch 350 ni automatic unavyokaa mbali na ukuta ndio inazid kuwa kubwa
 
Back
Top Bottom