Biashara ya kutengeneza na kuuza, ndio itakayo timiza ndoto zako

Biashara ya kutengeneza na kuuza, ndio itakayo timiza ndoto zako

Uko sahihi ila ndani ya TZ kwa anayeanza kujitafuta namshauri aanze na uchuuzi. Huko mbeleni akiwa imara kifedha ndo aanze kutengeneza na kuuza. Pia kabla ya kutengeneza ajiulize kuhusu ujuzi wake, raw materials, na running costs zote. Kwa kifupi afanye feasibility study. Mimi mwaka 2018 nilitaka kushona Tshirts zangu niwe nauza nikakutana na kikwazo kikali cha raw materials. Yaani Fabrics tu zikawa bei ghali kiasi kwamba hadi umalize kushona Tshirt na kuweka bei tayari unakuwa huwezi kushindana sokoni na wale wanaoagiza China au India.
Natumia approach yako ila kwenye kuwaza hizo tshirts ulikosea mimi hata nisingejaribu hata kuziwaza. Hata uwe malaika, huwezi zalisha nguo Tanzania ukawa na competitive price dhidi ya anayeagiza China. Kuna factors nyingi za kiuchumi na kisiasa hukuanza kuziwaza.

Pia faida ya kuanza kuwa mchuuzi ni kuijua market vizuri. Ila sio uwe muuza nguo mfano, alafu hujui lolote kuhusu biashara nyingine.

Uwe unatafiti na kujitahidi kujua kila aina ya biashara na ujue trend na utabiri yajayo. Mfano unajua Magufuli kawa Rais na anapenda sera ya viwanda, na ana uchungu na taifa. Jua ukicheza kwenye vipaumbele vyake sijui sukari na uzalishaji nyama unakuwa safe. Akija Samia unajua ni sherehe na kufuja mali wewe wekeza kwenye hospitality na udalali wa kitaifa au kusafirisha rasilimali, kwa Samia ni rahisi kugawa rasilimali kuliko kuleta kitu kama "Make in Tanzania Initiative".
Then unajizatiti kwenye awamu hiyo ikulee kiasi ukija upepo mwingine haukuondoi kibiashara, unatafuta mazingira pendelevu kwanza ili ukae sawa.
 
Natumia approach yako ila kwenye kuwaza hizo tshirts ulikosea mimi hata nisingejaribu hata kuziwaza. Hata uwe malaika, huwezi zalisha nguo Tanzania ukawa na competitive price dhidi ya anayeagiza China. Kuna factors nyingi za kiuchumi na kisiasa hukuanza kuziwaza.

Pia faida ya kuanza kuwa mchuuzi ni kuijua market vizuri. Ila sio uwe muuza nguo mfano, alafu hujui lolote kuhusu biashara nyingine.

Uwe unatafiti na kujitahidi kujua kila aina ya biashara na ujue trend na utabiri yajayo. Mfano unajua Magufuli kawa Rais na anapenda sera ya viwanda, na ana uchungu na taifa. Jua ukicheza kwenye vipaumbele vyake sijui sukari na uzalishaji nyama unakuwa safe. Akija Samia unajua ni sherehe na kufuja mali wewe wekeza kwenye hospitality na udalali wa kitaifa au kusafirisha rasilimali, kwa Samia ni rahisi kugawa rasilimali kuliko kuleta kitu kama "Make in Tanzania Initiative".
Then unajizatiti kwenye awamu hiyo ikulee kiasi ukija upepo mwingine haukuondoi kibiashara, unatafuta mazingira pendelevu kwanza ili ukae sawa.
Kweli nilibugi mno kurukia hiyo biashara bila kufikiria vizuri na kutafiti. Maelezo yako ni mazuri ila kwa bahati mbaya umeshindwa kabisa kuficha upumbavu wako hapo nilipo-bold.
 
Back
Top Bottom