zackfinance
Member
- Apr 6, 2013
- 47
- 12
the dealer(JF GOLD MEMBER),
ZACK FINANCE ni micro finance company inatoa mikopo na kukusanya madeni pia tunatoa ushauri wa biashara! tupo BUNJU B, DAR ES SALAAM! email;zackfinancetz@gmail.com
Brela unasajiri jina na ndo linaanza, we umeanzaje kukata tin na leseni umetumia jina gani? na wamelikubali TRA? labda kama ni jina lako hapo sawa hata brela usiende km ni jina lako