Biashara ya Kutoa Mikopo (Microfinance): Hatua, Taratibu za Kufuata na Ushauri wa Uendeshaji

Biashara ya Kutoa Mikopo (Microfinance): Hatua, Taratibu za Kufuata na Ushauri wa Uendeshaji

Nenda wizara ya viwanda na biashara na tshs laki sita ndio wanatoa leseni, pia nenda na credit policy, tin, memorundum and article of associationm kwa ushauri mwingine wa kitaalamu tuwasiliane, we are business and accounting consultancy.
 
Nenda wizara ya viwanda na biashara na tshs laki sita ndio wanatoa leseni, pia nenda na credit policy, tin, memorundum and article of associationm kwa ushauri mwingine wa kitaalamu tuwasiliane, we are business and accounting consultancy.
Lengo ni kukopesha wafanyabiashara wadogo wadogo kabisa.. Naomba muongozo wako tafadhali.
 
mataji sio mil 200.
According to BANKING AND FINANCE ACT
Section 9(1)

Microfinance companies shall be incorporated as Companies shall be incorporated as Co's ltd shares with minimum core of (800 HUNDREAD MILLION SHILLINGS) And (200 HUNDREAD MILLION SHILLINGS) In case of UNIT microfinance co's.

Sasa sijui unieleweshe nimekosea wapi mkuu.
 
Ninafikiria kuanzisha micro finance kama ya SEDA, PRIDE na FINCA. Ninaomba kama kuna mtu yeyote anayejua mchakato wa kupata leseni anisaidie kunipa maelekezo.

Mchakato wa kampuni nimeshamaliza. Tatizo lilobaki ni leseni. Nimejaribu kutafuta website ya viwanda na biashara naona haipo hewani.

Naombeni muongozo.

ASANTENI
Nenda brela, andaa makadilio ya juu laki 5
 
  • Thanks
Reactions: mk4
Lab
According to BANKING AND FINANCE ACT
Section 9(1)

Microfinance companies shall be incorporated as Companies shall be incorporated as Co's ltd shares with minimum core of (800 HUNDREAD MILLION SHILLINGS) And (200 HUNDREAD MILLION SHILLINGS) In case of UNIT microfinance co's.

Sasa sijui unieleweshe nimekosea wapi mkuu.
Labda mie ndo nimekosea, Je Mikopo midogo midogo inatakiwa iitweje kama micro finance inataka 800mil?
 
Lab

Labda mie ndo nimekosea, Je Mikopo midogo midogo inatakiwa iitweje kama micro finance inataka 800mil?
Naomba niweke sawa. Kama ni kampuni ya Microfinance ambayo itatoa mikopo midogo midogo bila kuchukua amana (deposits) za wateja unatakiwa upate leseni kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara kama alivyoshauri Idofi hapo juu na hakuna mtaji unaotakiwa kisheria.

Just reasonable amount. Mfano wa kampuni hizi ni kama Pride, Millenium Microfinance, etc. zipo nyingi sana. Kama unataka kuchukua amana za wateja, hiyo itakuwa microfinance bank kama FINCA, EFC, Vision Fund na Hakika na mtaji wake kwa sasa ni bilioni tano na leseni inatolewa na Benki Kuu ya Tanzania. Kwa sasa kampuni kama hizi zipo nne tuu hapa Tanzania
 
Naomba niweke sawa. Kama ni kampuni ya Microfinance ambayo itatoa mikopo midogo midogo bila kuchukua amana (deposits) za wateja unatakiwa upate leseni kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara kama alivyoshauri Idofi hapo juu na hakuna mtaji unaotakiwa kisheria. Just reasonable amount. Mfano wa kampuni hizi ni kama Pride, Millenium Microfinance, etc. zipo nyingi sana. Kama unataka kuchukua amana za wateja, hiyo itakuwa microfinance bank kama FINCA, EFC, Vision Fund na Hakika na mtaji wake kwa sasa ni bilioni tano na leseni inatolewa na Benki Kuu ya Tanzania. Kwa sasa kampuni kama hizi zipo nne tuu hapa Tanzania
Asante kwa maelekezo mazuri, kwahiyo nimpaka niende Dar wizarani ama kuna utaratibu mwingine mf online?
 
Asante kwa maelekezo mazuri, kwahiyo nimpaka niende dar wizarani ama kuna utaratibu mwingine mf online?
Ndio inabidi uende Wizarani Dar ukiwa na hizo nyaraka zinazohitajika. Ni vema ukawapigia simu ili upate maelezo zaidi kabla ya kufunga safari
 
Mnajadili vitu viwili tofauti. Huyu sio kuwa anataka micro finance, no, huyu anahitaji kufanya biashara ya kukopesha mikopo midogo midogo tu, huyu haitaji (kwa nilivyomwelewa) mambo ya amana. So huyu anahitaji kufungua MICRO CREDIT.

Nyie mnamshauri mkibase andiko lako la MICRO FINANCE anbayo huhitaji leseni toka BOT na mtaji mkubwa kutegemea na eneo unaloomba kuoperate, i.e. nchi nzima au center moja. Ushauri, Tafuta hizi policy zipo online uone mahitaji yake.
 
Nenda wizara ya viwanda na biashara na tshs laki sita ndio wanatoa leseni, pia nenda na credit policy, tin, memorundum and article of associationm kwa ushauri mwingine wa kitaalamu tuwasiliane, we are business and accounting consultancy
Naweza kupata na wasiliana yako maana naitaji ushauri wako na Masada nataka nifunguwe microfinance.
 
Naomba niweke sawa. Kama ni kampuni ya Microfinance ambayo itatoa mikopo midogo midogo bila kuchukua amana (deposits) za wateja unatakiwa upate leseni kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara kama alivyoshauri Idofi hapo juu na hakuna mtaji unaotakiwa kisheria. Just reasonable amount. Mfano wa kampuni hizi ni kama Pride, Millenium Microfinance, etc. zipo nyingi sana. Kama unataka kuchukua amana za wateja, hiyo itakuwa microfinance bank kama FINCA, EFC, Vision Fund na Hakika na mtaji wake kwa sasa ni bilioni tano na leseni inatolewa na Benki Kuu ya Tanzania. Kwa sasa kampuni kama hizi zipo nne tuu hapa Tanzania
Sorry Mkuu, Hivi M-PESA, Tigo Pesa and the Likes ni Microfinance au Micro-Credits ?
 
Morning All,

Kwa wenye ufahamu namna ya kusajili microcredit Tanzania. mm nipo huku Mwanza tumekuwa tukiifanya hii biashara ya kukopesha kwa miaka mitatu sasa ila tunafanya bila vibali (informal). Mwenye ufahamu namna ya kuisajili atusaidie please.

Asanteni
 
Nenda Wizara ya Viwanda na Biashara then Brela wanahusika na TRA - Utakuwa umemaliza
 
Back
Top Bottom