Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anataka kuanzisha Microcredit siyo Micro Finance so hakuna haja ya benk kuu hapo.Wizara ya viwanda na biashara inatosha.Vibali vinatolewa na Benk kuu ya Tanzania baada ya wewe kusajili kampuni Brela.Tuwasiliane juu ya mchakato wa Benk kuu( maana kuna docs za kuasilisha) kama bado upo interested
Kuna tofauti gani kati ya microcredit na microfinance?Huyu anataka kuanzisha Microcredit siyo Micro Finance so hakuna haja ya benk kuu hapo.Wizara ya viwanda na biashara inatosha.
- Anyway mkuu nikuulize, Unaweza kunisaidia kuandika MEMARTS kwa gharama kiasi gani na Je, ninaweza kusajili kampuni mbili kwa mpigo kama Mkaruka group of companies Limited ?
MicroCredits wanatoa Mikopo tu kwa wateja wao kwahiyo ukiwa na kiasi chochote kinachowezekana unaanza Eg PLATINUM, lakini Micro Finance inahusika kutoa MIKOPO na pia inachukua pesa za watu kama AKIBA - AMANA- DEPOSITS, Hivyo ni lazima upate Kibali cha Bank kuu na hata mtaji wake ni kuanzia Bilioni eg FINCA.Kuna tofauti gani kati ya microcredit na microfinance?
Mrejesho mkuuHabari wana Jf,
Heshima kwenu wote na hongereni kwa michango na mawazo mazur ambayo mmekua mkitoa juu ya mada mbali mbali,
Mm nikijana nimemaliza degree ya biashara katiaka fedha (BCOM-FINANCE)
Nimekua na ndoto ya kuwa na micro finance institution toka nipo mwaka wa kwanza chuo, hvyo nikajipanga nimetafuta mtaji nimepata (japo sio mkubwa). Kinacho nisumbua kwa sasa ni uzoefu juu ya uendeshaji wa biashara hii, kwan elimu niliyo nayo ni ya natharia (theoretical).
Nimetafuta sehem ya kufanya kazi japo kujitolea kwenye microfinance institution ili nipate uzoefu ila sijafanikisha.
Naomben msaada wenu, kwa mtu mwenye uzoefu juu ya hii biashara anisaidie kujibu maswar yafuatayo:
1. Usajiri
2. Riba na ulipaji wake (kwa mwezi, mwaka au wiki)
3. Maswala ya kisheria (defaulters)
4. Makundi ya wateja wasumbufu na wasio wasumbufu wakat wa ulipaji
5. Software ambayo inatumika kuhfadhi hizi transaction.
6. Kipengere chochote cha muhim nilichokisahau!
Maana nataka nianze bila uzoefu wowote, nimechoka kutembea na bahasha kutafuta sehemnya kujitolea.
Asanten, naomba kuwasilisha.
Samahani hebu rekebisha izo r ziwe l.Habari wana Jf,
Heshima kwenu wote na hongereni kwa michango na mawazo mazur ambayo mmekua mkitoa juu ya mada mbali mbali,
Mm nikijana nimemaliza degree ya biashara katiaka fedha (BCOM-FINANCE)
Nimekua na ndoto ya kuwa na micro finance institution toka nipo mwaka wa kwanza chuo, hvyo nikajipanga nimetafuta mtaji nimepata (japo sio mkubwa). Kinacho nisumbua kwa sasa ni uzoefu juu ya uendeshaji wa biashara hii, kwan elimu niliyo nayo ni ya natharia (theoretical).
Nimetafuta sehem ya kufanya kazi japo kujitolea kwenye microfinance institution ili nipate uzoefu ila sijafanikisha.
Naomben msaada wenu, kwa mtu mwenye uzoefu juu ya hii biashara anisaidie kujibu maswar yafuatayo:
1. Usajiri
2. Riba na ulipaji wake (kwa mwezi, mwaka au wiki)
3. Maswala ya kisheria (defaulters)
4. Makundi ya wateja wasumbufu na wasio wasumbufu wakat wa ulipaji
5. Software ambayo inatumika kuhfadhi hizi transaction.
6. Kipengere chochote cha muhim nilichokisahau!
Maana nataka nianze bila uzoefu wowote, nimechoka kutembea na bahasha kutafuta sehemnya kujitolea.
Asanten, naomba kuwasilisha.
Hawa ndio wamejaa mtaani.Wengine wanachukua leseni halmashauri , sio lazima huko wizarani, na mtaji wa kusajili kampuni Brela unaanzia elfu ishirini.
Ni kweli kusajili kampuni kiwango cha chini cha mtaji ni sh 20,000. Lakini unaweza sajili kampuni kwa mtajo huo na usifanye biashara kikwazo kikubwa kikiwa mtaji.wengine wanachukua leseni halmashauri, sio lazima huko wizarani, na mtaji wa kusajili kampuni Brela unaanzia elfu ishirini.
Ndio maana utoaji leseni unaendana na kiwango cha mtaji wako ulionao. Mfano mimi mtaji wangu ni elfu ishirini nitaenda kuchukua leseni manispaa kwa sababu biashara yangu ni ndogo...wenye mitaji mikubwa hiyo milioni 500+ ndio wanaenda huko wizarani kuchukua leseni. Consultant nyie ndio kikwazo kikubwa cha watu kusajili kampuni, mkiombwa ushauri jinsi ya kufungua kampuni mnaorodhesha vitu vingi mara sijui Memorandum. Mara Tax Clearance, Mara Board of Directors mpaka watu wanakata tamaaa...Ina maana mimi na mke wangu tumeishia darasa la saba wote hatuwezi kufungua kampuni?Ni kweli kusajili kampuni kiwango cha chini cha mtaji ni sh 20,000. Lakini unaweza sajili kampuni kwa mtajo huo na usifanye biashara kikwazo kikubwa kikiwa mtaji. Nakupa mfano. Kampuni zenye kupata vibali CRB. Mfano kama civil engineering coy mtaji walau mil 500 ndiyo utapata kibali baada ya kukamilisha taratibu zote.
Hivyo kwa mtazamo wk iwapo wewe ina mtaji wa elfu 20,000 utaweza kupata leseni? Soma kipengele cha kupeleka bank statement
Suala la leseni Mkuu hebu pitia nakala ya leseni zilizo kundi A zinazotolewa wizarani na kundi B leseni ndogo hutolewa Manispaa
Yap....Tena wengine mitaji yao hata laki tano haifiki.Hawa ndio wamejaa mtaani
Mkuu LAKI si pesaNdio maana utoaji leseni unaendana na kiwango cha mtaji wako ulionao....Mfano mimi mtaji wangu ni elfu ishirini nitaenda kuchukua leseni manispaa kwa sababu biashara yangu ni ndogo...wenye mitaji mikubwa hiyo milioni 500+ ndio wanaenda huko wizarani kuchukua leseni.....Consultant nyie ndio kikwazo kikubwa cha watu kusajili kampuni......mkiombwa ushauri jinsi ya kufungua kampuni mnaorodhesha vitu vingi mara sijui Memorandum....mara Tax Clearance, Mara Board of Directors mpaka watu wanakata tamaaa...Ina maana mimi na mke wangu tumeishia darasa la saba wote hatuwezi kufungua kampuni?... ...
Kosa halisahihishwi kwa kosa. Huenda kuna kosa mahala wakati wa kutoa leseni. Unaweza kuwafurahia hao wanaotoa mkopo kwa mtaji huo wa laki tano lkn hebu angalia riba wanayowaumiza mtaani! Je utaendelea kuumia kwa riba kubwa zisizo na udhibiti mpaka ln? Pili, sera ya mkopo nani aliipitia na kuiidhinisha hk manispaa kwa sababu biashara zinazoongozwa kqa sera husimamiwa na wizaraYap....Tena wengine mitaji yao hata laki tano haifiki.