DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Helping domo zeges get laid for centuries🤣🤣🤣🤣
 

Hao watoto hawana wazazi wanaoona hayo? Dunia iko hivi, you can't push the problems away from society, but you can push society away from the problems.

Serikali haiwezi saidia kuboresha maadili, ila wewe unaweza waweka mbali watoto/ Jamii yako mbali na hayo mazingira.

1. Wanawake wataendelea jiuza.
2. Wanaume wataendelea nunua.
3. Uovu utazidi kuongezeka...

Haiondoi wajibu wako kujitenga wewe na jamii yako na uovu.
 
Kwa Mara ya kwanza toka nizaliwe Jana ndo nimewaona hao wafanyabishara kwenye sehemu aliyosema mtoa mada.
Nikashangaa Kuna madogo wanawachungulia pale hata hawawachukui, sijui walikuwa wanasubiri discount!!
Nikaitwa niende nikachague nikalala mbereeeeee
 
Mimi mwenyewe nilienda ili nikashuhudie kwa macho maana sijawahi ona!
 

Hema ni jina la kike la Kinyaturu.
 
Serikali itafanya kitu gani wakati yenyewe ndiyo imesababisha haya? Na bado...kila siku nasema kuna siku itakuja Tanzania italipuka kama bomu. Ilivyo ni kwamba CCM sasa hivi imejaa wapumbavu wanaodhani matatizo yanatatuliwa kwa kuyafunika. Kuanzania kwa rais mpaka kwa wakuu wa wilaya, wote ni watu wasio na clue wafanye nini na wanadhani wapo picnic.
 
Mwanzo 38:15-21
 
Hivi kwanini wanawake wa singida
Utulivu huwa sifuri....
Maana utakuta 60% ya malay wanawake ni kutoka sing singda, kondoa nk

Ova
Singida, Kondoa, Manyara ni wapewe maua. Hawa ni wagawa mbususu wazuri. Mimi nawapenda sana..kila siku nawaombea kanisani wapewe pepo yao ya peke yao wananikonga warahi
 

Hata jina lako hilo Hema ni la Kinyaturu, lazima mnajuana sana na dada zako hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…