Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Biashara ya madini kama unataka kuifanya inabidi uanze kidogo na ukae na wanunuzi wenye uzoefu ujifunze kidogo kidogo.
Huyo itakuwa alikuwa na mtaji ila madini hayajui.
Hata wazoefu huwa mtaji unatikisika mara kwa mara.
Nimekaa huko napajua sana, hakuna aina ya madini, eneo sifahamu.
Huyo itakuwa alikuwa na mtaji ila madini hayajui.
Hata wazoefu huwa mtaji unatikisika mara kwa mara.
Nimekaa huko napajua sana, hakuna aina ya madini, eneo sifahamu.