Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

[emoji23][emoji23][emoji23]dhababu haina utofauti na kamali.

Sema watu wanapigwa mno esp wageni. Kuna mtu alinunua mzigo ndani copper nje wakafanya coating ya gold, a very thin layer ukisugua two times unaona copper hiyoooo
 
Uko sahihi. Na kwenye purity hapo unakuta kwenye mzani wa maji ule wanaweka chumvi kidogo purity inasoma low mtu ananufaika.
 
Mkuu vipi kwa biashara ya usafirishaji huko, mfano ukiwa na ka pick up
 
Mzee baba niliona kimya humu Jukwaani nikajua Mai Mai walishafanya yao,so itabidi tuji-organise tutume kikosi kije kukukomboa arifu hahah.
Umeanza kuharibu uzi ishu zako za maimai wapelekee watoto wenzio humu tunajadiliana biashara ya Madini
 
We nae majigambo mengi huna msaada wowote ulitaka tujue tu kuwa umemsaidia mtu
 
Mkuu nimekupm naona inagoma ...ila naomba kujua Nina milion nataka kuwa mlanguzi wa dhahabu Kisha nikauze je tahadhari gani unanipa

Kuna comment niliandika nadhan mwanzoni kbs ..! Yaan ungeanza wakati wa corona Sasa hivi ungekuwa na faida zaid ya 6m! Maana watu walinunua had kwa 45-50 wamekuja uza 90-92 June hii! soma Kule juu ..changamoto zake niliandika Kule juu..!
All the best
 
N Ni lazima uuze jikoni? Yan kwamba hakuna option ya kuchomewa tu nawe na kwenda kuuza kwengine.
 
Nchi hii bado ina fursa nyingi tu, kwa bahati mbaya serikali ya CCM imezihodhi fursa karibu zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…