Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

Kkoo....sema watu wa kkoo nao wanakua woga wanahis wanachomeshwa.had wakakukubali ni ishu! Geita 92 dar ¹115-120!kwenye madini kila mtu anamhis mwenzke usalama wa Taifa sijui y,!
Nmejaribu kukunong'oneza pm ila imeshindikana, cjui pm yako utakua imeifunga au labda ushamba wang CJUI.

Habari yako Wangari Maathai

naomba unisadie kwa kunifahamisha kuwa ni mitaa gan kariakoo huwa wananunua mana nmekua nikisikia tu kuwa kariakoo wananunua ila specifical ni mtaa gani sifamu.

Natakunguliza shukuran.
 
Nskushauri....halafu utanishukuru baadaye.

Hy milion 5 usiende kufanya biashara ya kununua dhahabu,badala yake ongeza mil. 2 iwe jumla ya mil.7, nenda mgodini moja kwa moja,nunua karasha...kusanya marudio kwa mwaka mzima....hapo utajifunza zaidi kuhusu biashara ya dhahabu, baada ya hapo sasa,anza kununua huku ukikusanya makinikia. Hapo faida utaiona.
 
Mie naonaga kununua mawe then unapgia kupata faida ndo risk kubwa zaidi!..nunua mawe kasagie kwa jirani osha kwa mwalo wako ukuze kifusi hata km utachukua miez 6!.kifusi ndo kinakubeba!

Au unganeni mnunue kalasha msagie kwwnu na kuosha kwenu!...ila migodini kupoteza hizo millions kugusa tu! Ila kama unakuza kfusi hela yako utaikuta huko
Hivi migodi ya Geita huwa wanalipwa kiasi gani kusaga mawe nakumbuka mwakitolya Shinyanga tulikuwa tunalipwa elfu 10 kwa masaa kumi sema vumbi lake si mchezo.
 
Nashukuru sana kwa ufafanuzi ju ya biashara ya dhahabu. Swali langu kama umeamua kununua na kuuza dhahabu unahitajika uwe na gramu ngapi au vigezo gani ili uuze direct kwenye soko la serikali Geita sio kwa wanaochoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sana kwa ufafanuzi ju ya biashara ya dhahabu. Swali langu kama umeamua kununua na kuuza dhahabu unahitajika uwe na gramu ngapi au vigezo gani ili uuze direct kwenye soko la serikali Geita sio kwa wanaochoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiasi chochote ulichonacho wewe hata 1gm ....Kuna kipindi walitupa heka heka Sana had uwe umesajiliwa ..sijui Kama bado inawork...
 
Ahsante sana mkuu . Kama kuna mtu mwenye update kama bado serikali inakomaa uwe umesajiliwa atujuze

Sent using Jamii Forums mobile app
But kuwa makini...hairuhusiwi dhahabu ya mkoa mwingine ikauzwa mkoa mwingine ..watakunyonyoa mtaji wako wote ..! So unaweza ulizwa utaje migodi ya eneo ulipouzia .!..sio unauzia geita we unasema umetoka shy ..
 
Nmejaribu kukunong'oneza pm ila imeshindikana, cjui pm yako utakua imeifunga au labda ushamba wang CJUI.

Habari yako Wangari Maathai

naomba unisadie kwa kunifahamisha kuwa ni mitaa gan kariakoo huwa wananunua mana nmekua nikisikia tu kuwa kariakoo wananunua ila specifical ni mtaa gani sifamu.

Natakunguliza shukuran.
Ndo naona hii comment yako mkuu sikuiona notification Kariakoo wanauza na kununua kwa kujuana watu wanachomeqna Sana ..Tena ukititoka mkoani unasema uje uuze huko hawatakuangalia hata kidg .watakua ndo wale wale. Anza kutafuta connection mwenyew mdogo mdogo upate uhakika mwenyewe! Ningekusaidia lakini ishu hizi za Moto hawataamini Kama ni deal og!
 
Back
Top Bottom