Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kkoo....sema watu wa kkoo nao wanakua woga wanahis wanachomeshwa.had wakakukubali ni ishu! Geita 92 dar ¹115-120!kwenye madini kila mtu anamhis mwenzke usalama wa Taifa sijui y,!Bei ya dhahabu mikoani(kakola, geita nk) vs bei ya kariakoo ipi n nzur kwa muuzaji kama ww.
Nmejaribu kukunong'oneza pm ila imeshindikana, cjui pm yako utakua imeifunga au labda ushamba wang CJUI.Kkoo....sema watu wa kkoo nao wanakua woga wanahis wanachomeshwa.had wakakukubali ni ishu! Geita 92 dar ¹115-120!kwenye madini kila mtu anamhis mwenzke usalama wa Taifa sijui y,!
Hivi migodi ya Geita huwa wanalipwa kiasi gani kusaga mawe nakumbuka mwakitolya Shinyanga tulikuwa tunalipwa elfu 10 kwa masaa kumi sema vumbi lake si mchezo.Mie naonaga kununua mawe then unapgia kupata faida ndo risk kubwa zaidi!..nunua mawe kasagie kwa jirani osha kwa mwalo wako ukuze kifusi hata km utachukua miez 6!.kifusi ndo kinakubeba!
Au unganeni mnunue kalasha msagie kwwnu na kuosha kwenu!...ila migodini kupoteza hizo millions kugusa tu! Ila kama unakuza kfusi hela yako utaikuta huko
.unamaanisha operator? Wangu namlipa 150000/- pm! Hizo Sasa hivi hazipo zakulipa hela ndef hivyo kwa masaaHivi migodi ya Geita huwa wanalipwa kiasi gani kusaga mawe nakumbuka mwakitolya Shinyanga tulikuwa tunalipwa elfu 10 kwa masaa kumi sema vumbi lake si mchezo.
Mjini uje kutoa stress tu kwakweli...karibu☺️! Mjini Mie Sasa hivi nilikaa Sana naona la sifit Tena!mambo tofautiItabidi niende Geita au Kahama au Mwakitolya kuangalia ramani siwezi baki town kuangaika buku 5 per day never.
Kiasi chochote ulichonacho wewe hata 1gm ....Kuna kipindi walitupa heka heka Sana had uwe umesajiliwa ..sijui Kama bado inawork...Nashukuru sana kwa ufafanuzi ju ya biashara ya dhahabu. Swali langu kama umeamua kununua na kuuza dhahabu unahitajika uwe na gramu ngapi au vigezo gani ili uuze direct kwenye soko la serikali Geita sio kwa wanaochoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu . Kama kuna mtu mwenye update kama bado serikali inakomaa uwe umesajiliwa atujuze.Kiasi chochote ulichonacho wewe hata 1gm ....Kuna kipindi walitupa heka heka Sana had uwe umesajiliwa ..sijui Kama bado inawork...
Sidhani Kama bado kuna mwembwe...Ahsante sana mkuu . Kama kuna mtu mwenye update kama bado serikali inakomaa uwe umesajiliwa atujuze
Sent using Jamii Forums mobile app
But kuwa makini...hairuhusiwi dhahabu ya mkoa mwingine ikauzwa mkoa mwingine ..watakunyonyoa mtaji wako wote ..! So unaweza ulizwa utaje migodi ya eneo ulipouzia .!..sio unauzia geita we unasema umetoka shy ..Ahsante sana mkuu . Kama kuna mtu mwenye update kama bado serikali inakomaa uwe umesajiliwa atujuze
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu mi ntanunua Geita na kuuza GeitaBut kuwa makini...hairuhusiwi dhahabu ya mkoa mwingine ikauzwa mkoa mwingine ..watakunyonyoa mtaji wako wote ..! So unaweza ulizwa utaje migodi ya eneo ulipouzia .!..sio unauzia geita we unasema umetoka shy ..
Kunakitu kikubwa nmepata hapa.But kuwa makini...hairuhusiwi dhahabu ya mkoa mwingine ikauzwa mkoa mwingine ..watakunyonyoa mtaji wako wote ..! So unaweza ulizwa utaje migodi ya eneo ulipouzia .!..sio unauzia geita we unasema umetoka shy ..
BarikiwaKunakitu kikubwa nmepata hapa.
Amin, natamani kukufata Pm ila naona kunabonge la SOLEX.Barikiwa
Ndo naona hii comment yako mkuu sikuiona notification Kariakoo wanauza na kununua kwa kujuana watu wanachomeqna Sana ..Tena ukititoka mkoani unasema uje uuze huko hawatakuangalia hata kidg .watakua ndo wale wale. Anza kutafuta connection mwenyew mdogo mdogo upate uhakika mwenyewe! Ningekusaidia lakini ishu hizi za Moto hawataamini Kama ni deal og!Nmejaribu kukunong'oneza pm ila imeshindikana, cjui pm yako utakua imeifunga au labda ushamba wang CJUI.
Habari yako Wangari Maathai
naomba unisadie kwa kunifahamisha kuwa ni mitaa gan kariakoo huwa wananunua mana nmekua nikisikia tu kuwa kariakoo wananunua ila specifical ni mtaa gani sifamu.
Natakunguliza shukuran.
Kama unamaswali c uulize hapa tufaidi wote mkuuAmin, natamani kukufata Pm ila naona kunabonge la SOLEX.
😀☺️...Amin, natamani kukufata Pm ila naona kunabonge la SOLEX.