Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

Wewe bado upo huko au umehamia Chadema ha ha
 
MAENEO UNAYOWEZA KUWEKEZA KULINGANA NA MTAJI WAKO

Hii kazi ya madini in sekta nyingi ndani yake zinazotegemeana

Labda nizitaje na zinategemeana kimitaji

  • Uchimbaji(kutengeneza kifusi/marudio)
  • Kununua mawe
  • Kununua vifusi /marudio
  • Kununua dhahabu halisi
  • Kukodisha plant kwa ajili ya kuozesha marudio
-Kusimamia /mzabuni wa mgodi(gold Rush)
  • Kuuza vilipuzi/blasting materials
  • Kukodisha compressor kwa ajili ya uchorongaji mwamba
  • Mmiliki was duara kuuza hisa au kuuza working shift
  • Etc
 

Plants zinahitaji mtaji kiasi gani kuanzisha?
 

Mimi nataka kujua zaidi kuhusu hiyo ya kuuza vilipuzi, compressors na madawa. Mtaji, changamoto na faida zake.

Na hiyo ya umiliki wa elution plant.
 

Mkuu nina maswali mawili:

Nataka kujua zaidi kuhusu uuzaji vilipuzi, compressors na madawa. Mtaji, changamoto na faida zake.

Na hiyo ya umiliki wa elution plant. Mtaji (ambao umesema roughly 40M-50M), changamoto na faida zake.
 
Mkuu nina maswali mawili:

Nataka kujua zaidi kuhusu uuzaji vilipuzi, compressors na madawa. Mtaji, changamoto na faida zake.

Na hiyo ya umiliki wa elution plant. Mtaji (ambao umesema roughly 40M-50M), changamoto na faida zake.
mzee niaje?
 
Mkuu nina maswali mawili:

Nataka kujua zaidi kuhusu uuzaji vilipuzi, compressors na madawa. Mtaji, changamoto na faida zake.

Na hiyo ya umiliki wa elution plant. Mtaji (ambao umesema roughly 40M-50M), changamoto na faida zake.

chief naomba nikujibu baadaye...
 
Best nakusoma vzr ,kiasi nakufananisha na best yangu mmoja hivi ,sijui alipotelea wapi ?

Nina Buyer wa Diamond ,uhakika yuko Europe , diamaa kwa bongo ikoje , ( nje ya mada kdg )

Sent using Jamii Forums mobile app

Ila mtu chake jamani unazingua balaa🤭 huyo rafiki yako namjua🤭...! Diamond labda mchek mrangi ana madili hayo!
 
Plants zinahitaji mtaji kiasi gani kuanzisha?
Ukitaka kuanzisha tembelea sehem za kahama na geita upitie walau plants 5! Upate abc ...kwanza kupima tu udongo sample ni hela...30000/-..Sasa imagine wangap wanapima samples zao kujua kiwango Cha dhahabu kilichomo...kukodisha plant 2wks 4m! Na ni foleni sio kawaida..!labd uwe unajulikan
 
Changamoto za plants hua ni nn hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nilisikia ni 2M per 24hrs!
 
Asante. Vp maabara ya upimaji sample za udongo.. mtaji, faida na changamoto zake?
Ndo yale Yale tu Kama results zinapishana Sana na wenzako wanakuhama. ! Huko Sina idea kwakweli...as Sina passion nazo Sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…