Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

Asante sana kwa hii taarifa Mkuu, hayo maeneo yapo katika Wilaya gani huko?
 
Amen!
 
Nchi hii bado ina fursa nyingi tu, kwa bahati mbaya serikali ya CCM imezihodhi fursa karibu zote.
Hapa sasa unataka kuleta siasa wakati wana JF wanapeana maujuzi on GOLD BUSINESS. Wewe lalamika tu watu wakisonga mbele!
 
Mengi mno huko geita ndo yanatengenezwa 4m..lenye mfuko mmoja..8m lenye mifuko 2! Zuri ni Hilo kubwa...unafanya kazi double fast
Kwa nadharia yangu ndogo, CRUSHER au KARASHA (kwa lugha ya migodini!) ni lile mashine la kusagia mawe, yanatengenezwa humu humu nchi na yanakuwa na goroli ndani za kusagia au ku - crush hayo mawe ya dhahabu tayari kwa kupelekwa KUOSHA kwenye MWALO. Mwalo ni kama kadimbwi unakotengeneza pale machimboni aidha kwa kuletewa maji au kwa kutumia maji yatokayo chini ya maduara kule wanakochimba dhahabu. Wenye maujuzi Zaidi tufafanulieni.
 
Wangari Maathai, PLANT inakuwa na vitu gani, yaani inakuwa na nini na nini, vimtambo gani vidogo vidogo vina comprise PLANT? Asante.
 
MImi leo yangu ni maswali tu ELUTION PLANT NI NINI? Inafanya kazi gani? Ni sehemu ya PALNT NZIMA au ni kifaa/mashine inayojitegemea?
 
Hivi sister zile mashine za kusaga mawe yawe madogo [Si makalasha yakutoa unga] huwa ni bei gani na sijaona mnazizungumzia kabisa hapa.
Hizo Mashine mkuu zinaitwa jaw crusher au kimgodi zinaitwa jogirasha, bei ndo sijui
 
Dadake ebu nicheki pm tutete jambo
 
Swali: Bei ya kununulia ni shilingi ngapi na unauza kwa bei gani hizo gramu 10 hadi upate faida ya 20 - 30 elfu? Na ni wapi, Geita au Mpanda?
Bei hupanda na kushuka. Leo inaweza kupanda kesho inadrop kufuatia soko la dunia. Sasa hivi dhahabu ni kuanzia 100k so unaweza nunua mfodini kwa 85-90! Kufuatia usafi wa dhahab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…