Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wale wote wanaohitaji kufanya manunuzi ya mbao kwa jumla na rejareja waniulize,au kufahamu ni mbao ya aina gani itakuwa bora kwa kazi utakayoifanyia .piga 0656 993 992
Njoo ujibu kwanza hayo kabla hatujakubandika mengine.
Habari, vipi upatikanaji wa ardhi huko? Naongelea ekari 50 au zaidi kwa pamoja bei zake je? ShukraniNjooni handeni tupande mitiki tuwe mabilionea kama ifuatavyo, mitiki inakuwa tiyari kuvunywabaada ya miaka 10hadi 20 kwa sasa bei ya cubic mita moja ni 400$ namti wa miaka 10 un acubic mita 5!!!!!kwenye eka mija unaoand miche mia 5!!!!!!!!!
Ardhi nzuri kwa kilimo cha Mitiki inapatikana Kisarawe kama Km 50 kutoka Buguruni.Bei inaanzia laki nane kwa eka moja.Hongera sana!nashukuru kwa hii post,japo ni ya siku za nyuma kidogo,imenifungua macho kwa kiasi kikubwa.Mwanzoni mwa hii thread mliongelea maeneo ambapo ardhi inapatikana na Malila akaongezea pale,naona hiyo ilikuwa 2012....je kwa sasa unaweza kunisaidia ushauri wa maeneo napoweza kupata ardhi kubwa kwa ajili ya upandaji wa miti,(na mitiki ikiwemo) kwa bei nafuu kidogo?...shukrani
Wakuu kwa eneo la eka moja naweza kupanda mitiki miche kiasi gani?
Nashukuru sana mkuu kwa maelezo yako,vp kwa huo mzigo mkubwa wa semi trailer kwa utalaamu wako ukisafirisha kuuza dodoma utakuwa na faida nzuri?,na vp kuhusu garama za usafiri hadi dodoma?
mkuu milioni 5 vipi inaweza tosha kufanya hii biashara?
Huuu ni uongo na ukiendelea kuchekewa utaharibu jukwaa letuKwa mwanza - Njombe naskia mtaji kama 25,000,000
Huuu ni uongo na ukiendelea kuchekewa utaharibu jukwaa letu