MC44
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 2,169
- 3,297
Ka
Kaka mkubwa naomba namba yako.Ntakucheki mkuu huo ndo moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka mkubwa naomba namba yako.Ntakucheki mkuu huo ndo moyo
Tupatie njia za kuanza nazo katika korosho.Tafta channel ukapige hela kusini kwenye korosho
Tupatie njia za kuanza nazo katika korosho
Hahaha mi nilienda ila jamaa yenu wa 'panapo Magogo' akanifanya vibaya baada ya kuwatuma wazee wa baka baka na ku impose sheria za kuumiza kangomba.Tupatie njia za kuanza nazo katika korosho
Kweli aisee wamegomaDuh!!!!! Watu wamegoma kukupa ushirikiano
Halafu hii biashara nackia ina hela sema wahusika wamegoma kuja kumpa jamaa ushirikianoWaTz wachoyo wa mawazo wengi wanafanya biashara ya mbao humu ila wameususa huu uzi.Nyuzi za nilivyomla afisa misitu kiutani utani ndo utakuta wanatoa mawazo yao huko.
Mtaji inategemea na mtaji ulionao.Good day good citizens!
Nafikiria kuanzisha biashara ya Mbao kwa Dar es salaam especially Buguruni
Naomba kufahamishwa kuhusu:
- Mchanganuo Minimum Wa mtaji
- Gharama za uendeshaji
- Risk(s) zilizopo katika hii biashara
- Sehemu nzuri ya kupatia mbao na mirunda mizuri na bei rahisi
- Masoko mazuri zaidi ya Mbao kwa hapa dar
Natanguliza shukrani.
Kuna mtu humu nna mwaka wa4 namuomba connection ya kitu fulan Wala hajibu...! 😛😛!WaTz wachoyo wa mawazo wengi wanafanya biashara ya mbao humu ila wameususa huu uzi.Nyuzi za nilivyomla afisa misitu kiutani utani ndo utakuta wanatoa mawazo yao huko.
Nilikuwa nina mpango wa kwenda nchi fulani jamaa mmoja nikamuuliza kuhusu mambo ya huko maana ningekuwa mgeni,akaniambia tafuta wabongo wanaoishi huko.Nikapokea hilo wazo kwa mikono miwili.Ila kuna mdau mwingine nikamueleza kuhusu hiyo ishu.Akajibu 'wabongo! usijaribu'.Sasa ndo naanza kumuelewa.Kuna mtu humu nna mwaka wa4 namuomba connection ya kitu fulan Wala hajibu...! 😛😛!
Bahati nzuri nikajiambia nitafika napotak...yumo balaa humu...yaan ndo naposema wabongo ni watu wakuogopwa Kama sumu!.
Ukifika tushituane🤭!Nilikuwa nina mpango wa kwenda nchi fulani jamaa mmoja nikamuuliza kuhusu mambo ya huko maana ningekuwa mgeni,akaniambia tafuta wabongo wanaoishi huko.Nikapokea hilo wazo kwa mikono miwili.Ila kuna mdau mwingine nikamueleza kuhusu hiyo ishu.Akajibu 'wabongo! usijaribu'.Sasa ndo naanza kumuelewa.
Hehe nshafika nikashangaa kidogo nikarudi.Ni hapo Sauzi tu.Ukifika tushituane🤭!
Hhaha sauzi mie hapana. NaogopaHehe nshafika nikashangaa kidogo nikarudi.Ni hapo Sauzi tu.
Ni haki yako kuogopa.Hhaha sauzi mie hapana. Naogopa