Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Ukiweza kumtafuta tiger itakuwa vizuri, tiger ni member humu JF na amekuwa akihangaikia hiyo biashara. Na yeye anatoa mzigo toka nchi jirani na kuleta Bongo. Yeye ni mbao ngumu. Jaribu kumtafuta kwa pm na kama hapatikani nitakupa namba zake mobile phone.
Nicheki mkuu 0753439374 uniunganishe nae
 
Habari yako bwana, mimi niko China.

Huku kuna soko zuri sana la mbao, zote hardwood au softwood. Hii mimi nimekua nikijaribu kuifanya ila nikawa na matatizo ya supply chain nikashidhwa kuingia mikataba nao. Kama wewe uko serious, na uko tayari kufanya biashara basi wasiliana nami ili tuendelee na mazungumzo.
Tuwasiliane namba yangu ya watsapp ni 255784577757
 

Jamani mimi nina chaneli ya high quality mbao (zilizokatwa na ambazo bado hazijakatwa) for export toka nchi jirani. Documents na leseni zote zipo. Nafikiria masoko ya Far East na Middle East. Hivyo UAE, SAUDIA, IRAN na kule Malaysia, Vietnam na kadhalika ndio nakutaka.

Je, kuna mtu anaweza kunipa links au ushauri?


MAULIZO YA WADAU WENGINE





MICHANGO WA WADAU KUHUSU BIASHARA HII
So hata kwa muanzaji lazima aingie na mtaji wa 16-20 million????
 
Asanteni sana watoa maarifa kwenye uzi huu. Ila kuna jambo halijawekwa wazi hasa kwa yule anayetaka kupasua mbao yeye mwenyewe.
Aisee vijana au mafundi wa kuangusha miti, kusanzua na kuchana mbao ni wanasumbua sana. Kazi ya mwezi mmoja usipokua makini inaweza kwenda hata miezi mitatu. Wamekua wapenda pesa sana kuliko kazi. Kwao sasahv kukimbia na pesa ya advance malipo ni suala dogo sana. Uaminifu umekua zero kabisa. Hii changamoto imerudisha nyuma watu wengi sana.

Wakuu kwa uzoefu wenu, mnafikiri tufanyeje kutatua hii changamoto?
 

Jamani mimi nina chaneli ya high quality mbao (zilizokatwa na ambazo bado hazijakatwa) for export toka nchi jirani. Documents na leseni zote zipo. Nafikiria masoko ya Far East na Middle East. Hivyo UAE, SAUDIA, IRAN na kule Malaysia, Vietnam na kadhalika ndio nakutaka.

Je, kuna mtu anaweza kunipa links au ushauri?


MAULIZO YA WADAU WENGINE





MICHANGO WA WADAU KUHUSU BIASHARA HII
Njoo Mkoani kagera kuna mazao mawili miti na vanilla tumekosa soko la uhakika,tunauza bei za chini kabisa mti tsh 10,000-15,000 hukosi pc 5 za "2"*"6" na vanilla soko halipo kabisa nipo naunda umoja wa Wakulima tutafute soko la uhakika maana haya mashirika na kampuni zilizopo zimetupiga mno mpaka hela ya msimu jana hatujapewa.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
mkuu nenda jukwaa la fursa na biashara,utakutana na wazoefu kirahisi zaidi kule.
 
Mimi ningependa kujua kutoka kwenu kuhusiana na biashara ya mbao nataka kufanya hii biashara je mbao zinapatikana mkoa gani kwa bei ya jumla mimi naishi kahama
Asanteni
 
Mafinga Iringa na Makambako Njombe (kama hizi mbao za miti ya kisasa). Kama ni miti pori (mninga, mkongo, mvule etc) uende Msumbiji, Congo, Tabora, Mahenge na kidogo mikoa ya kusini)
 
Mimi ningependa kujua kutoka kwenu kuhusiana na biashara ya mbao nataka kufanya hii biashara je mbao zinapatikana mkoa gani kwa bei ya jumla mimi naishi kahama
Asanteni
Bosi mi nipo Makambako biashara ya Mbao ipo na ni nzuri sana kama unahitaji kweli kufanya biashara hii karibu Boss mi nipo hapa na soko liko hapa Contact 0737263867
 
MBAO NA MINUNDA YOTE IPO ILA KWA MINUNDA WEKA ODA MAPEMA IANDALIWE VIZURI.

KWA MBAO mda wote na size zote zipo Boss zangu karibu tufanye biashara conta t 0737263867

FB_IMG_16440894139464298.jpg


FB_IMG_16440893817559286.jpg
 
NIPO

WHATSAP KWA 0737263867 BIASHARA YA MAZAO YA NAFAKA NA MAZAO YA MITI YAANI MBAO MINUNDA BIASHARA POWA SANA

Na yote haya Mazao yanapatikana Hapa Makamnako Njombe bila shida karibu tukae mezani tufanye biashara.

FB_IMG_16440894139464298.jpg


FB_IMG_16442379327161461.jpg


FB_IMG_16442381343927370.jpg


FB_IMG_16442382769445603.jpg


FB_IMG_16440893817559286.jpg
 
Good day good citizens!
Nafikiria kuanzisha biashara ya Mbao kwa Dar es salaam especially Buguruni
Naomba kufahamishwa kuhusu:

  • Mchanganuo Minimum Wa mtaji
  • Gharama za uendeshaji
  • Risk(s) zilizopo katika hii biashara
  • Sehemu nzuri ya kupatia mbao na mirunda mizuri na bei rahisi
  • Masoko mazuri zaidi ya Mbao kwa hapa dar

Natanguliza shukrani.
Mdugu
Mtaji unaweza ukaanza hata milioni kumi na tano hivi ambapo mchanganuo ni hivi...

1.milion 10 unanunulia mzigo
2.milion 1800000 nauli ya mzigo
3.Sh laki 8 hivi ushuru
4.Sh laki 4 kupakia mzigo
5.kibali inategemeana unakodi au umekata maliasili lakini vyovyote vile ni rahisi tu

Ko kiufupi ni hivo unaona hadi chenji zinabaki hizo zingine ni kwa ajili ya ongezeko umekutana na usumbufu au changamoto itakusaidia mkuu.

-Risk ya kupoteza mtaji ni kubwa ikiwa hujazingatia vitu vifuatavyo.

1.Kuto kuwa na vibali sahihi,Vibali vya maliasili kwa kweli unaweza poteza mtaji wako wote.
2.Kama huna Soko la kuaminika kwa kweli unaweza ona biashara ngumu na inaweza kukutoa kwe ramani.
3.N.k

-Sehemu ya kupata Mbao milunda hiyo usiwaze karibu NJOMBE, MAKAMBAKO huku ziko mbao nzuri na zilizo komaa safi kabisa.

Ushauri wangu ni kwamba kabla ya kuanza hii biashara tafuta kwanza Masoko ya uhakika yaani wateja wa kuaminika pia hakikisha unawatumia hata madalali hata kuwapa punguzo la bei hata shilingi mia moja kwa kila Ubao ili mradi mzigo wako uuzike kwa haraka kwa faida ndogo ila mzunguko mkubwa kwa hakika huta iacha biashara ya Mbao ni biashara tamu sana kuliko kitu kingine.

Richa ya risk ya hii biashara lakini inafaida kubwa sana ikiwa utazingatia kanuni hapo juu.

Contact 0737263867
Contact 0673376687
 
Back
Top Bottom