Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Kila sehemu kuna jamii ya miti ya mbao inayoota na kukua vizuri, kwa kuwa hapa imetajwa michache. Hata Iringa kuna maeneo pines hazikubali ila acrocarpus inafanya vizuri. Mbinga pine ipo, lakini Songea haipo,ila sederela/tiki ipo. Kwa hiyo tafuta jamii ya mti sawa na hali ya hewa ya mahali husika.

Nakubaliana na wewe mkuu lakini zile species zinazochukua muda mfupi zinategemea na hali ya hewa ya eneo husika! vinginevyo uko sahihi!
 
KVM: Nakushukuru sana kwa ushauri wako ulioni-pm wa kumtafuta MALILA. Nimewasiliana nae, kaonyesha positive response ya kunisaidia katika hatua yoyote nitakayohitaji. Mbarikiwe nyote kwa kuwa tayari kutoa mawazo mliyo nayo kwa wengine tena kwa for all your best. tena kanisaidia sana, manake bei ya maeneo niliyokuwa nayo kichwani kwa msaada wa mtu fulani tuliyefahamiana siku si nyingi ilikuwa zaidi ya mara mbili ya niliyoambiwa na MALILA.

Hivyo uzi huu na positiveness yenu na wachangiaje wengine wote, imekuwa muhimu sana kwangu. naendelea kujipanga, nadhani mwezi ujao mwanzoni, nitamsumbua malila rasmi, naomba tu asinichoke.
 
KVM: Nakushukuru sana kwa ushauri wako ulioni-pm wa kumtafuta MALILA. Nimewasiliana nae, kaonyesha positive response ya kunisaidia katika hatua yoyote nitakayohitaji. Mbarikiwe nyote kwa kuwa tayari kutoa mawazo mliyo nayo kwa wengine tena kwa for all your best. tena kanisaidia sana, manake bei ya maeneo niliyokuwa nayo kichwani kwa msaada wa mtu fulani tuliyefahamiana siku si nyingi ilikuwa zaidi ya mara mbili ya niliyoambiwa na MALILA. Hivyo uzi huu na positiveness yenu na wachangiaje wengine wote, imekuwa muhimu sana kwangu. naendelea kujipanga, nadhani mwezi ujao mwanzoni, nitamsumbua malila rasmi, naomba tu asinichoke.

KVM, naye nampa shukrani kwa sababu alinipa karibu ya kwenda kwao kuwekeza,na nimewekeza kwao. Na ww njoo tukawekeze.
 
Fursa mapanda Iringa, heka kumi za pines ya mwaka mmoja,pamoja na kumiliki ardhi bei milioni nne. Kama unaitaji nicheki pm.
 
Jamani wakuu kama una ekari zako huku mkuranga kwani wengine tuna vishamba vyetu huku mkuranga tena ekari zaidi ya 30 SAS hatuwezi kupanda huku kwa makubaliano mkuu kwani wengine tunaweza mazao yachakula lkini mbao hapana sasa tupeni ushauri.
 
Habari ya saa hizi, nilikuwa nakuuliza brother hizi heka bado zipo? Kama bado zipo naomba tuwasiliane.
 
Kaka mikagati, naomba kukuuliza hizi heka zilizokuwepo iringa, bado zipo au tayari zishauzwa tayari?
 
Njooni Handeni tupande mitiki tuwe mabilionea kama ifuatavyo, mitiki inakuwa tiyari kuvunywabaada ya miaka 10hadi 20 kwa sasa bei ya cubic mita moja ni 400$ namti wa miaka 10 un acubic mita 5!! Kwenye eka mija unaoand miche mia 5.
 
Habari wakuu,naomba mwenye kujua;

1. Procedure za kuchana mbao kwa miti ya kupandwa maana naskia mpaka upate kibali na sijui nitakipataje.

2. Upatikanaji wa soko la uhakika wa mbao.

3. Stick and carrot ya hii biashara ya mbao ikoje?


NIKO LUSHOTO.
 
Habari wakuu,naomba mwenye kujua;

1.procedure za kuchana mbao kwa miti ya kupandwa maana naskia mpaka upate kibali na sijui nitakipataje.

2.upatikanaji wa soko la uhakika wa mbao.

3.stick and carrot ya hii biashara ya mbao ikoje?


NIKO LUSHOTO.
KWA MSAADA fika Wizara ya mali asili na utalii DSM kitengo cha misitu, utaelekezwa hatua kwa hatua.
pili uwe na leseni ya biashara iliyo hai, picha pp 2. Kuhusu masoko utapata tu kwa kujitangaza.
 
KWA MSAADA fika Wizara ya mali asili na utalii DSM kitengo cha misitu, utaelekezwa hatua kwa hatua.
pili uwe na leseni ya biashara iliyo hai,, picha pp 2. Kuhusu masoko utapata tu kwa kujitangaza.

Thanks, ni lazima nije Wizarani? Huku mikoani siwezi kupata hiyo huduma?
 
habari wakuu,naomba mwenye kujua;

1. Procedure za kuchana mbao kwa miti ya kupandwa maana naskia mpaka upate kibali na sijui nitakipataje.

2. Upatikanaji wa soko la uhakika wa mbao.

3. Stick and carrot ya hii biashara ya mbao ikoje?

Niko lushoto.

Kila mkoa unaofisi za maliasili we nenda hapo mkoa wowote utapata kila kitu kuhusiana na vibali na gharama na procedures zote.
 
DSC_0653.JPGDSC_0693.JPGDSC_0797.JPGDSC_0710.JPGDSC_0787.JPGDSC_0697.JPGDSC_0797.JPG


Ndugu zangu wajasiriamali leo nimeona niweke picha za yale yananayoendelea kwenye ule mradi wangu wa upandaji miti. Kwa kweli mafanikio siyo haba. Nikipata shida kali sana naweza kupeleka mashine kwenye mashamba yangu ya mwanzoni na kuweza kuvuna mbao kama mnavyoona kwenye picha.
 
View attachment 171646View attachment 171647View attachment 171648View attachment 171649

DSC_0740.JPG

Ndugu zangu wajasiriamali leo nimeona niweke picha za yale yananayoendelea kwenye ule mradi wangu wa upandaji miti. Kwa kweli mafanikio siyo haba. Nikipata shida kali sana naweza kupeleka mashine kwenye mashamba yangu ya mwanzoni na kuweza kuvuna mbao kama mnavyoona kwenye picha.

Nakushukuru sana Malila kwa wepesi wako wa kuja kuonana nami na mara moja kuanzisha upandaji wa miti. Nakushukuru vile vile kwa kuwasaidia watu wengi ambao walitaka kupata taarifa kwangu kuhusu upandaji miti. Muda si mrefu tutasaidiana.
 
Ninashukuru sana kwa hii topic, hata mimi nipo interested sana na kupanda miti na ni idea ya muda sasa, issue kwangu ni namna ya kuanza especially kupata shamba kwa ajili ya kupanda. Ningeomba kupata japo idea kama ninaweza kupata eneo huko njombe na kwingineko ukizingatia mimi ninaishi dar. Na price inakuwaje, pia gharama za miche kwa sasa ni kiasi gani na kuotesha plus kutunza. Please please mwenye data ninaomba

Ni PM will give you full details mkuu kwasabu ni mdau pia na nina mashamba hayo pia
 
njooni handeni tupande mitiki tuwe mabilionea kama ifuatavyo , mitiki inakuwa tiyari kuvunywabaada ya miaka 10hadi 20 kwa sasa bei ya cubic mita moja ni 400$ namti wa miaka 10 un acubic mita 5!!!!!kwenye eka mija unaoand miche mia 5!!!!!!!!!

Asante. Ardhi inapatikana kirahisi au kwa mizengwe mingi?

Hapo kwenye red naona kuna makosa. Cubic miti tano ni mbao nyingi kwa mi moja labda miti pori ya miaka mingi sana. Kimahesabu cubic meter moja ni sawa na mbao 28 za urefu wa futi 18, upana inchi sita na unene inchi mbili. Cubic meter tano itakuwa mbao kama hizo 140
 
Samahani...kwa kuwa umeleta hoja humu jukwaan naomba nikujibu humu humu kama ifuatavyo;-

. Mi mkaz wa makambako, nina mtaji wa mil3.5
. Mbao nzuri ntazipata wapi na ntazijuaje.
. Soko kubwa la manufaa na usafirishaji wake upoje.

Natanguliza shukrani!
 
Vipi kuhusu vibali vya kupasua kusafilisha utaratibu upoje dondoo kidogo mkuu
 
Back
Top Bottom