Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

mkuu. Malila na mi niunganishe

Nipe e mail yako ili uunganishwe sasa hivi. Na kama uko vizuri upate shamba mapema na 2015 uoteshe kwa sababu may tunaanza maandalizi ya miche. Kuna eka 18 kando ya shamba letu Mufindi, ukiwa tayari sema ili ulipie na msimu huu uoteshe.
 
Naomba kufahamishwa kwa sasa ukiwa na shamba lako la miti i.e eucalyptus ya miaka 3 (6m high) na ukahitaji kuchukua mkopo, tathmini yake inafanywaje kwa kila mti.
 
Nipe e mail yako ili uunganishwe sasa hivi. Na kama uko vizuri upate shamba mapema na 2015 uoteshe kwa sababu may tunaanza maandalizi ya miche. Kuna eka 18 kando ya shamba letu Mufindi, ukiwa tayari sema ili ulipie na msimu huu uoteshe.

Mkuu malila kuna miti niliiona upareni wanaiita mikaulia hii kwa utalamu inaitwaje?
 
Naomba kufahamishwa kwa sasa ukiwa na shamba lako la miti i.e eucalyptus ya miaka 3 (6m high) na ukahitaji kuchukua mkopo, tathmini yake inafanywaje kwa kila mti.

Kama Shamba halina Hati kupata mkopo ni karibu na haiwezekani, labda mkopo kwa mtu binafsi. Chakalika upate hati.
 
wadau vipi mbegu ya miti aina ya cyprus inapatikana wapi

Unaweza kupata kwa njia za panya,vituo vya serikali hawana, mara nyingi mi huwa naagiza Lushoto, nikikosa kule naandaa mwenyewe kwa kufuata Makete Njombe.
 
Naomba kufahamishwa kwa sasa ukiwa na shamba lako la miti i.e eucalyptus ya miaka 3 (6m high) na ukahitaji kuchukua mkopo, tathmini yake inafanywaje kwa kila mti.

CRDB wanaweza kukupa za pine, acrocarpus, kuna jamaa alijaribu kwa hizo aina mbili.
 
Unaweza kupata kwa njia za panya,vituo vya serikali hawana, mara nyingi mi huwa naagiza Lushoto, nikikosa kule naandaa mwenyewe kwa kufuata Makete Njombe

Malila nashukuru kwa kutupa uzoefu wako, kwa sasa nimetenga mil5 kwa ajili ya kununua shamba huko iringa,nahitaji heka nyingi kadri ya uwezo wa hela yangu, nasubiria nipate likizo kazini niende iringa kwa kazi ya kutafuta shamba.

Nimejaribu kufanya mawasiliano na watu ninaofahamiana nao ambao wako njombe wananiambia heka naweza pata kwa laki 1 hadi laki 3. Ila kuna jamaa aliandika humu jf kuwa kuna mashamba ya elfu50 kwa heka.

Tafadhali naomba unifahamishe

1: Kwa sasa heka naweza pata kwa kiasi gani?
2 Je, nipitie kwa wanakijiji au serikali ya kijiji
3 Je, ni vijiji gani kwa uzoefu wako kuna arthi nzuri inayofikika kwa urahisi na inayokubali pinus pitula na cyprus na eucalpyt ya zimbambwe.

Nimeuliza hayo maswali mana sijajua nitapata mbegu ya mti gani wakati wa kupanda ukifika.sasa ninachofanya ni kupata arthi kwanza
 
CRDB wanaweza kukupa za pine,acrocarpus,kuna jamaa alijaribu kwa hizo aina mbili.
Ila ni vizuri uwe na hati mana kuna baathi ya banki kama huna hati riba inakuwa kubwa sana kutokana risk kwao.
 
Sawa mkuu, kama lina hati inakuwaje?

Kama lina hati nenda crdb, watakupa list ya miti exortic na thamani yake, umri wa miti na vigezo vingine. Au kama uko karibu na CRDB, nenda ili wakupe kisha utajipima kuona kama una sifa wanazotaka au la. Kama huna hati utakuwa unajisumbua mkuu kwenda kule.
 
Malila nashukuru kwa kutupa uzoefu wako,kwa sasa nimetenga mil5 kwa ajili ya kununua shamba huko iringa,nahitaji heka nyingi kadri ya uwezo wa hela yangu, nasubiria nipate likizo kazini niende iringa kwa kazi ya kutafuta shamba.

Nimejaribu kufanya mawasiliano na watu ninaofahamiana nao ambao wako njombe wananiambia heka naweza pata kwa laki 1 hadi laki 3.Ila kuna jamaa aliandika humu jf kuwa kuna mashamba ya elfu50 kwa heka.

Tafadhali naomba unifahamishe
1; kwa sasa heka naweza pata kwa kiasi gani?
2; je nipitie kwa wanakijiji au serikali ya kijiji
3; je ni vijiji gani kwa uzoefu wako kuna arthi nzuri inayofikika kwa urahisi na inayokubali pinus pitula na cyprus na eucalpyt ya zimbambwe.

Nimeuliza hayo maswali mana sijajua nitapata mbegu ya mti gani wakati wa kupanda ukifika.sasa ninachofanya ni kupata arthi kwanza

Mashamba hadi ya bure yapo,ila hayana sifa kwa mwenye mtaji mdogo. Bei ya chini kabisa ni Tsh 35,000/ mpaka 60,000/ kwa eka kwa maeneo ninayootesha miti mimi. Haya ya laki moja mpaka laki tatu yapo,ila mimi sikushauri kununua haya, kwa sababu hela nyingi unampa dalali. Kipo ki-blog fulani kinabamiza watu sana kwa hizi bei.

Ni lazima ofisi ya kijiji uingie, usinunulie kichochoroni kwa mjumbe, wala usitoe hela kabla hujamwona VEO, kamati ya ardhi ya kijiji na familia husika.

Eucalyptus ya Zimbabwe generation ya ngapi mkuu? Vijiji vingi vya Mufindi kusini miti hiyo inakubali, Kilolo Kusini,Njombe sehemu kubwa, Ludewa, ila Makete usiende, hakuna ardhi ya ukubwa huo. Kama utafika mpakani mwa Ruvuma na Njombe pia ni pazuri sana.

Cha msingi kikubwa ni uwepo wa mvua, manpower,miche na fire awareness ktk sehemu utakayo chagua.
 
Kuna njia nyingine huku Iringa unaomba kibali I mean kununua alafu unakata miti ya serikali ipo mingi mingi mingi sana Alf unauza mbao zako saaaafi ilo ni bonge dili sema sasa had kupata kibali kaz ipo sjui ni rushwa au nn kinafanyika apo.
 
Kuna shamba kubwa kwel la miti ila miti yake ipo saiz ya kati kitu kama ina miaka sita au saba iv ni kama eka tisa iv nmeskia wanalitangaza kwa mill 100.
 
Kuna njia nyingine huku iringa unaomba kibali I mean kununua Alf unakata miti ya serikali ipo mingi mingi mingi sana Alf unauza mbao zako saaaafi ilo ni bonge dili sema sasa had kupata kibali kaz ipo sjui ni rushwa au nn kinafanyika apo

Kaka utaratibu wa kupata kibali kwa sisi akina pangu pakavu tia mchuzi ni mgumu na umejaa vigingi hujawahi kuona, ila kama unaweza kula na yale Mapapa ya biashara hiyo pale Mafinga jaribu. Mwezi jana nilikuwa pale Ihalimba kama unakwenda Usokami kumwona dogo wangu mmoja anapasua pale, sio rahisi hivyo, labda ununue kibali cha mtu.
 
Back
Top Bottom