Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Weka mtu unayemwamini. Ndivyo ilivyo kwa kila biashara.unawezaje kusimamia mapato kwa ufasaha endapo unamuachia mtu... naomba unipe uzoefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka mtu unayemwamini. Ndivyo ilivyo kwa kila biashara.unawezaje kusimamia mapato kwa ufasaha endapo unamuachia mtu... naomba unipe uzoefu
Kuwa makini kuweka namba zako humu, kuna matapeli wengi sana. Uliza chochote hapa hapa utajibiwakm hutojali naomba tuwasiliane 0767 565917
Niliwahi kufanya hii mkuu. Watoto walikuwa wanapenda sana Ps2 na wachache PS 3.Ushauri kuhusu biashara ya play station na Kati ya ps2 n ps3 ipi wateja wapenda zaiidi na bei per time ya kucharge kwa ps2 na ps3
Nyoosha maelezo.Hii ni mm natak kufungua biashara y a ps2 lakin sijui wapi pa kuanzia mtaji wangu ni kama laki tatu hiv
Hahhaha mkuu umenifurahisha. Hakuna huruma mbele ya pesa halali japo hii inanusu halali nusu haramu. Mm pia najipanga kufungua maeneo flan karibu na shule na sitajali kelele zozote kwakweli.Mimi najipanga mwakani najilipua waibe pesa wasisome walalamike me niashara nitafanya katikati ya shule nbili
ThanksAnza na Ps2 na Ps3 Ps4 sio saizi yako
hahaahahahahaHahhaha mkuu umenifurahisha. Hakuna huruma mbele ya pesa halali japo hii inanusu halali nusu haramu. Mm pia najipanga kufungua maeneo flan karibu na shule na sitajali kelele zozote kwakwel
Ohhh nahitaj ps3 nakupatajesina uzoefu wa kuchezesha games ila na deal na kuuza hvo vitu... Nicheck Ukihtaji hzo console ps2&3., game pads na accesory zake zote