Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Mkuu wazo la 4 n zuri lakini kama anaona mtaji kwa sasa unamkaba sio mbaya akaanza na hizo ps3 ili zimpe uzoefu na ajue zaidi kuhusu bussines, huo mdude wa 4 ni shida sana kwenye suala zima la management maana vitu zake ni ghali kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay. Unapoenda 2 & 3 utambue kwamba developer wameacha kutengeneza games kwenye hizo platform. Mod zitahusika zaidi.
 
Frame ya game 300k yaani kwa mwaka 3.6M frame ya game hiyo... Sidhani hata kama unafahamu ukubwa frame unatakiwa uweje. Eti maintenance na umeme 100k, hiyo biashara unaweza kaa miezi usifanye maintenance yoyote. Huo umeme wa 100k gemu na TV tu. Ninyi ndo mnakatisha tamaa wenzenu.
1. Tatizo uelewa wako mdogo. Aliye suggest 300k kodi sio mimi soma post kabla ya post yangu hata kwa uwezo wako mdogo i think utaelewa 300k nmeitolea wapi.

2. Biashara yoyote lazima iwe na expenses ukianzisha biashara unaona unaanza kuingiza faida invest zaidi kwenye biashara yako. Kama ulianza na ps4 na tv ya inch 32 ukipata faida then invest zaidi nunua ya inch 43 kama ulianza na vibenchi vya mbao invest nunua au tengeneza gud sofa (hata beenie bags) Hapo ndipo maintenance cost nlizopigia mahesabu zinapoingia. Tatizo watu akili mgando rigid mindset kisa umeona genge la uswahili kwenu linatumia vibench vya mbao basi na wewe na akili yako ndogo utaona huo ndo ujanja.

IN BUSINESS ALWAYS REINVEST AND REINVENT IN YOURSELF.

3. Kuhusu kumvunja mtu moyo kama muanzishaji mada anavunjwa moyo na comments he is not ready hata akifarijiwa.

I hope uwezo wako mdogo utaelewa nlichoandika.
 
1. Tatizo uelewa wako mdogo. Aliye suggest 300k kodi sio mimi soma post kabla ya post yangu hata kwa uwezo wako mdogo i think utaelewa 300k nmeitolea wapi.

2. Biashara yoyote lazima iwe na expenses ukianzisha biashara unaona unaanza kuingiza faida invest zaidi kwenye biashara yako. Kama ulianza na ps4 na tv ya inch 32 ukipata faida then invest zaidi nunua ya inch 43 kama ulianza na vibenchi vya mbao invest nunua au tengeneza gud sofa (hata beenie bags) Hapo ndipo maintenance cost nlizopigia mahesabu zinapoingia. Tatizo watu akili mgando rigid mindset kisa umeona genge la uswahili kwenu linatumia vibench vya mbao basi na wewe na akili yako ndogo utaona huo ndo ujanja.
IN BUSINESS ALWAYS REINVEST AND REINVENT IN YOURSELF.

3. Kuhusu kumvunja mtu moyo kama muanzishaji mada anavunjwa moyo na comments he is not ready hata akifarijiwa.

I hope uwezo wako mdogo utaelewa nlichoandika.
Sasa kama hujapendekeza nani kakuambia uikazanie. Halafu nimesema hii biashara unaweza usifanye maintenance for several months. Kwan hiyo TV na hizo benches utabadili kila baada ya mwezi? Fikiri wewe.
 
Sasa kama hujapendekeza nani kakuambia uikazanie...
Halafu nimesema hii biashara unaweza usifanye maintenance for several months. Kwan hiyo TV na hizo benches utabadili kila baada ya mwezi? Fikiri ww
Najua unaelewa what i mean tatizo naloona pale unapoanza ku type ubongo wako unazima.

Anyway;
Nilim quote aliesuggest sio wewe wala alieanzisha mada.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Whatever the case lakini siku nyingine shabikia unachokifahamu ili usikatishe tamaa wengine.
Asubuhi njema.
Nlichokiongea ndo nachokifahamu jifunze kuwa na approach nzuri unapom challenge mtu kifikra otherwise utaonekana mpumbvu tu kama navyokuona sasa.

Na narudia tena kama mtu unavunjwa moyo na comment section ya thread its clearly YOU ARE NOT A DOER

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachoweza kukuhakikishia ni kwamba ukijipanga vizuri, biashara ya PS haina hasara. Hakikisha unapata eneo zuri lenye watu wengi hasa vijana (uswazi, chuo, etc).

Hakikisha unaanzia chini lakini unaimprove biashara yako routinely..yaani kama ulianza na PS2 & PS3 jitahidi baada muda fulani una'upgrade eneo, games na vifaa. Wateja wanapenda kuona improvement, hata ikiwa ni kwa kiwango kidogo cha msingi ni kufanya maboresho.

Kingine ni kuhakikisha unaweza kanuni na taratibu ambazo unaamini kwamba zitasaidia kuiwezesha biashara yako kurun smoothly. Katika hilo hakikisha unaweka utaratibu wa kutoruhusu wanafunzi kuingia katika Playstation wakiwa wamevaa uniform hasa muda masomo (hii ni lazima uiweke hata kama utakuwa hufanyi hivyo mara zote, itakusaidia sana). Kanuni zibandikwe ukutani ili kila mhusika aweze kusoma na kuelewa.

Kwenye kukusanya fedha za wateja, hakikisha unakuwa na daftari ambalo utakuwa unarekodi Jina, Muda, na Kiasi kilicholipwa na mhusika. Kumbuka msemo unaosema 'Mali Bila Daftari, Hupotea Bila Habari'!!

La mwisho na muhimu zaidi, pindi unaanzisha biashara yako utapata challenge sana kutoka kwa wazazi na watendaji/wenyeviti wa mitaa/Kata, Be Strong..don't quit! Lakini, hakikisha baada ya kipindi fulani unairasimisha biashara yako kwa kuichukulia leseni na kuanza kulipa kodi TRA. Ninakuhakikishia hakuna 'mshenzi' yeyote atakayekuja kuigusa biashara yako, na ofcourse itafika mbali na kuwa kubwa zaidi huko mbeleni.

Ni ushauri tu, unaweza kuchukua unayoona yanafaa na kupuuzia ya kupuuzwa. Otherwise nikupongeze kwa enthusiasm yako na Mungu akubariki sana.

Tukutane Kazini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachoweza kukuhakikishia ni kwamba ukijipanga vizuri, biashara ya PS haina hasara. Hakikisha unapata eneo zuri lenye watu wengi hasa vijana (uswazi, chuo, etc).

Hakikisha unaanzia chini lakini unaimprove biashara yako routinely..yaani kama ulianza na PS2 & PS3 jitahidi baada muda fulani una'upgrade eneo, games na vifaa. Wateja wanapenda kuona improvement, hata ikiwa ni kwa kiwango kidogo cha msingi ni kufanya maboresho.

Kingine ni kuhakikisha unaweza kanuni na taratibu ambazo unaamini kwamba zitasaidia kuiwezesha biashara yako kurun smoothly. Katika hilo hakikisha unaweka utaratibu wa kutoruhusu wanafunzi kuingia katika Playstation wakiwa wamevaa uniform hasa muda masomo (hii ni lazima uiweke hata kama utakuwa hufanyi hivyo mara zote, itakusaidia sana). Kanuni zibandikwe ukutani ili kila mhusika aweze kusoma na kuelewa.

Kwenye kukusanya fedha za wateja, hakikisha unakuwa na daftari ambalo utakuwa unarekodi Jina, Muda, na Kiasi kilicholipwa na mhusika. Kumbuka msemo unaosema 'Mali Bila Daftari, Hupotea Bila Habari'!!

La mwisho na muhimu zaidi, pindi unaanzisha biashara yako utapata challenge sana kutoka kwa wazazi na watendaji/wenyeviti wa mitaa/Kata, Be Strong..don't quit! Lakini, hakikisha baada ya kipindi fulani unairasimisha biashara yako kwa kuichukulia leseni na kuanza kulipa kodi TRA. Ninakuhakikishia hakuna 'mshenzi' yeyote atakayekuja kuigusa biashara yako, na ofcourse itafika mbali na kuwa kubwa zaidi huko mbeleni.

Ni ushauri tu, unaweza kuchukua unayoona yanafaa na kupuuzia ya kupuuzwa. Otherwise nikupongeze kwa enthusiasm yako na Mungu akubariki sana.

Tukutane Kazini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kaka kwa kunitia moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani habari zenu wadau.

Najaribu kutoa maujanja juu ya biashara amabayo nimeifanya kwa almost miaka mitatu mfululizo na nimepata mafanikio makubwa. Biashara ya kuchezesha GAMES inahitaji mambo yafuatayo:
  1. Eneo lenye watu wengi hasa kando ya barabara au makazi ya watu wengi..
  2. Frame yenye upana wenye hewa kiasi cha kutosha
  3. Console (hasa za playstation 3 au xbox 360) kuanzia 3 na zaidi na Televisheni 3
  4. Unahitaji pia kuwa maeneo ambayo yana mlinzi wa duka hilo au kama frame iko karibu na nyumbani haina haja ya mlinzi unaweza kuhamisha console kila jioni hasa mida ya kufunga saa mbili usiku...
  5. Mtaji wake ni kama mil 2.5 cash..
  6. Generator la mchina (in case ya mgao kama sasa hivi)
Console za playstation 3 au xbox 360 ni bora zaidi kwani wachezeshaji wengi wanatumia hizi za kizamani za ps2 ambazo zishapitwa na wakati..na kama ukiongezea na TV zako zikawa ni flat screen inches 21 (hata kama ni za Used) itakuwa bora zaidi kwani itaboresha ubora zaidi wa picha, yaani high definition, pia unahitaji mtu wa kusimamia mradi huo we ukija jioni wakamilisha mahesabu tu.

Mradi huu unalipa vipi? kwa kawaida sie huchezesha kwa mtindo wa saa na nusu saa..kwa saa ni 1000 na nusu saa ni 500...na kufungua game center ni kuanzia saa 5 asubuhi wakati watoto wamekwenda shule siku za shule na mpaka saa mbili usiku..na weekend ni saa 3 mpaka saa mbili usiku...ukiwa mahali pazuri na unafikisha mpaka 25,000 kwa siku na inategemea una games nzuri kiasi gani inaongezeka hadi 30,000 (huu ni uzoefu wangu)

Ukija kutoa gharama ya umeme+ gharama ya ulinzi na mengine unabakia na aproximately 750,000 kwa mwezi...assuming umeme haukatiki katiki.

Console moja ya ps3 inapatikana kwa laki 3 mpaka 3 na nusu zanzibar...na xbox 360 zenyewe ni laki 3 ukiagiza kupitia mtandao wa EBAY na hiyo ni pamoja na gharama ya TRA..

CD za games best way ni kuziagiza nje (used kutoka EBAY ambazo ni gharama ndogo sana ya elf 20 mpaka 25) huku bongo ni elf 70 mpaka laki na nusu madukani...mwenye kutaka kujua zaidi ani PM
 
Ndugu zangu.. nina PlayStation 4 na TV inch 32, jumla nimenunua million 1 na laki 1

Nataka kufungua sehemu ya kufanyia iyo kazi ya kuchezesha games.

Naombeni ushauri maana nikiwaza kiasi nachotakiwa kua nacho nakata tamaa kabisa.

Na kupata hela nyingne imekua jambo gumu kwangu.
 
Duh mi mwenyew nataka Fanya hii mambo ila sijui muendelezo. Njoo inbox tuyajenge mkuu
 
Hakuna biashara hapo. nimeona na pia nimekuwa karibu sana na iyo biashara ni matatizo matupu utaingia kwenye ugomvi na watu utao waajiri bure. emu fikiria unawekeza milion 2 ukitegemea watoto wa shule ya msingi ndo waje wakurudishie iyo ela yako.
 
hakuna biashara hapo. nimeona na pia nimekuwa karibu sana na iyo biashara ni matatizo matupu utaingia kwenye ugomvi na watu utao waajiri bure. emu fikiria unawekeza milion 2 ukitegemea watoto wa shule ya msingi ndo waje wakurudishie iyo ela yako.

Duh [emoji849]
 
Back
Top Bottom