Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Mkuu Nina uzoefu wa hiyo biashara, ila kwa sasa nimefunga natafuta sehemu location nzuri zaidi nihamie.

Nilikuwa na TV nne za Star X inch 32 Kila moja, Play Station 4 ziko 3 na Play Station 3 Moja.

Mwanzoni Ilikuwa inalipa kadri siku zinavyoendaa nikaanza kupata malalamiko ya wazazi kwenda kunishtaki kwa mtendaji wa kata kisa watoto hawa endi Tuition nawakitumwa Wanachelewa kurudi kwao

Ni biashara nzuri ila uwalenge wateja wanaojitambua vijana wa rika lako sio watoto wa shule
 
Mkuu Nina uzoefu wa hiyo biashara, ila kwa sasa nimefunga natafuta sehemu location nzuri zaidi nihamie.
Nilikuwa na TV nne za Star X inch 32 Kila moja, Play Station 4 ziko 3 na Play Station 3 Moja.

Mwanzoni Ilikuwa inalipa kadri siku zinavyoendaa nikaanza kupata malalamiko ya wazazi kwenda kunishtaki kwa mtendaji wa kata kisa watoto hawa endi Tuition nawakitumwa Wanachelewa kurudi kwao,

Ni biashara nzuri ila uwalenge wateja wanaojitambua vijana wa rika lako sio watoto wa shule
Kumbe mtaji wake si wa kitoto, umeongea vizuri hapo kwenye walengwa wa huduma hiyo
 
Mkuu Nina uzoefu wa hiyo biashara, ila kwa sasa nimefunga natafuta sehemu location nzuri zaidi nihamie.
Nilikuwa na TV nne za Star X inch 32 Kila moja, Play Station 4 ziko 3 na Play Station 3 Moja.

Mwanzoni Ilikuwa inalipa kadri siku zinavyoendaa nikaanza kupata malalamiko ya wazazi kwenda kunishtaki kwa mtendaji wa kata kisa watoto hawa endi Tuition nawakitumwa Wanachelewa kurudi kwao,

Ni biashara nzuri ila uwalenge wateja wanaojitambua vijana wa rika lako sio watoto wa shule
Vijana wa Rika lake ni 'wepi'?
 
Vijana waliomaliza form 4 au vijana ambao hawasomi kama tukisema kwa umri basi wawe kuanzia miaka 18 kuendeleaa

Faida ya wateja wa aina hii wanajitambua wanaweza kujicontrol tofauti na watoto wadogo
Vizuri.
 
Ndugu zangu.. nina PlayStation 4 na TV inch 32, jumla nimenunua million 1 na laki 1
Nataka kufungua sehemu ya kufanyia iyo kazi ya kuchezesha games.

Naombeni ushauri maana nikiwaza kiasi nachotakiwa kua nacho nakata tamaa kabisa
Na kupata hela nyingne imekua jambo gumu kwangu.
Mwenye ps 3 naitaji Nina laki ipo mfuko wa shati hapa chapu njoo bobo tuyajenge
 
wakuu duka gani linauza playstation PS4 PRO kwa bei nzuri kwa dar?????
 
Wakuu kwema?

Kwa wakubwa zangu shikamoon pia kwa tulio rika moja habari zenu na kwa wadogo zangu marhaba!

Kifupi viongozi mimi nipo chuo na ninaingia mwaka wa pili Ila nmekuwa nkifkitia sana kuhusu biashara ya kufanya nkapata jibu nfungue play station nchezeshe magame kidogo itanieka mjini ushauri wenu plizi kwa weliowahi kuifanya hii biashara au wenye ujuzi nayo.

Nipo SUA morogoro Ila kwa uko nyumbani ARUSHA naona watu wananfanya na ipo pouwa shida ni uku bdo cjayaelewa mazingira kuhusu hii business.

Screenshot_20201120-134146.jpg
 
Huu mchezo nakushauri peleka vijijini huko utapata pesa mnoo

Siku hizi mjini wengi wanazo..
 
Back
Top Bottom