Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

U think kanumba Kwa saa hii angeweza kufanya kitu gani ? Industry inahitaji zaidi watu walionyuma ya camera na siyo kweli kwamba hatuna watu wanaojua kuigiZa.tatizo ni technology na investment uyo kanumba alikua wa kawaida mnoo ,yani mm ukinitajia kanumba nakuona ww hata elimu ya diploma huna ,yani ww ni house boy uliyechangamka
Wtf wewe unafazani angestuck pale pale wewe umuch now mwingi industry aihitaji only people behind the camera inahitaji pia na vifaa kwa taarifa yako kuna wasanii wa huko mbele ni waigizaji, script writer, director na movie inakwenda na ambavyo hujui nakuona kama mlisha NG'OMBE muda wotee unawaza nyasi
 
Mtu anayesema bora comedy hajaona comedy za kenya.Sisi mtu akikaza na style ya comedy basi atakaza nayo hadi izoeleke.mfano mkojani ingebid awe ashatafuta ubunifu mwingine zaidi ya lafudhi yake ya kipemba
Mi kusema ukweli wakenya nawakubali sana wako well organised...movie za kawaida ila maudhui yako poa sana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mastermind wa bongo movie mwenye mission na vision just gone so wakina hemed ni kujilamba lamba tuu ni bora nirudie movie za kanumba za kitambo kuliko za leo nilikuwa super and number one fan's wa tamthilia ya mtungi sijui walistop vipi wale watu wakina cheche
Ila siri ya mtungi ilikua poa sana..wale jamaa walini vutia sana..sema ile ilika imefadhiliwa na international NGOs kwa lengo la ku advocacy reproductive health.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida bongo movie haina think tank. Wamejaa wajinga wajinga tu... Ndio maana hawawezi kwenda kokote.

Wenye akili nchi hiyo wamejaa mashaka.. na.wapuuzi ndio wana full confidence.. na hawaambiliki juu ya yote sio wavumilivu.

Wanataka kulipua lipua, kujenga umaarufu wa haraka na vijihela vya kwenda kusumbulia mademu mitaani..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ila siri ya mtungi ilikua poa sana..wale jamaa walini vutia sana..sema ile ilika imefadhiliwa na international NGOs kwa lengo la ku advocacy reproductive health.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na "BAHASHA" hiz movies zilichukuwa waigizaji wazur na wengne mle ni watu waliosomea na ni maprofesa wa sanaa.
Mmoja ni mkufunzi wa chuo cha sanaa bagamoyo
 
Absolutely! Ndio maana nimekuita hapa, and yes umefunguka uhalisia na ukweli mchungu. Ni wazi kabisa kama ulivyosisitiza without BUDGET / Finance au Pesa ni kuendelea kujipatia faraja kwamba "Tunajitahidi siku hizi" na blah blah nyingine.

I know how much passion you are katika hii field that's why umeeleza kwa japo uchache kitaalamu kusudi kila mmoja aone filamu sio kazi nyepesi bali/lakini inahitaji nguvu ya kiuchumi, akili na rasilimali watu. Nimeipenda hii "A great camera is NOTHING without supporting equipment!!!".
=
Lizzy unafikiri ni njia gani zitakazowezesha kuleta pesa na kutengeneza budget?

1. Kwa kuendelea kuchanga mhusika akiamini ipo siku atakamilisha kiasi hitajika?

2. Kuendelea kufanya filamu for fun na kutengeneza jina ambalo linabaki kama mzigo? au

3. Kutumia mbinu wezeshi ambazo ni a/ Kutafuta FUND na sponsors b/ kujumuisha wataalamu ambao hufanya kazi solo (freelancing) katika industry husika? na c/ kujumuisha nguvu na resources zilizokuwapo!

-
Ngoja niongeze nguvu hapa tuweze kujadili kwa uzuri Chief-Mkwawa Relief Mirzska Castr
hakuna sponsor atakaekuja kumwaga hela bila kuwa na ushawishi wa maana, moja ya mbinu wanazotumia maproducer/choreographer wa nje ni kutengeneza short clip ya kitu anachokiamini,

chukulia mfano huyu jamaa, sio mbongo ila yupo Arusha hii ni clip ya kwanza ya project yake ya adam

unaona kabisa kuna kitu hapa ni ni project ambayo unaweza ku invest.

pia kuna jamaa anaitwa zach sijui kama unamfahamu alikuwa vine, sasa youtube, jamaa alikuja kula shavu mpaka Zootopia,

hii biashara ina risk sana, hasa kibongo bongo ambapo watu wengi wana sifa za upigaji.
 
hakuna sponsor atakaekuja kumwaga hela bila kuwa na ushawishi wa maana, moja ya mbinu wanazotumia maproducer/choreographer wa nje ni kutengeneza short clip ya kitu anachokiamini,

chukulia mfano huyu jamaa, sio mbongo ila yupo Arusha hii ni clip ya kwanza ya project yake ya adam

unaona kabisa kuna kitu hapa ni ni project ambayo unaweza ku invest.

pia kuna jamaa anaitwa zach sijui kama unamfahamu alikuwa vine, sasa youtube, jamaa alikuja kula shavu mpaka Zootopia,

hii biashara ina risk sana, hasa kibongo bongo ambapo watu wengi wana sifa za upigaji.

Hakika!! Hapa ndio tunarudi katika creativity inahitajika development ya mawazo mapya yanahitajika. Binafsi nilitengeza script na idea ya kipindi nikashare na rafiki ambaye yupo katika industry ya Audiovisuals kwa Latin.

Later on naona text like "Sergio nina tip ya pesa hapa, are you in?" Kuongea nae akasema idea yako nimempatia Sky wakati tunashoot. Oke nikapokea japo kidogo na go ahead ikatokea later naskia credit wakati wa session husika.
 
Kama unaangalia comedy za Kenya (Churchill show) au Nigerians aisee huyo sijui Mkojani ni zero kabisa....
 
Sio filamu tu
1. Elimu taabani

2. Afya taabani

3. Filam taabani

4. Demokrasia taabani

5. Taarabu taabani

6. Mziki wa dansi, msondo, sikinde, nk taabani

Kila kitu taabani, yamebaki majungu, uzandiki, uzushi, matusi na uropokaji.

Kazi ya CCM
Na kwenye unafiki kujipendekeza ni A+
 
Mtanisamehe kwa lugha nitakayotumia. Bongo movies ni too childish.

Ukitaka kujifunza ujinga angalia bongo movies. sijui wanaotayarisha scripts hawaangalia movies za nje?

Huwezi kukuta bongo movies kuna instant labda mpo mahakakani na pale kuna argument za kisheria either zinahusu mifarakano ya kibiashara au familia.

Huwezi ona bongo movies waaigizaji wanajadili labda uwekezaji, issue za kikodi au diversification ya portfolio. Yaani pure childish.

My kids have been warned siku nikikuta wanaangalia hizo movies, kinafuata wanakijua, kwanza hawawezi.
Umemaliza kila kitu. Ukikata kudumaza akili zako basi angalia hizi movie.
 
Bongo movi zimebaki wa mabeki tatu..na felia yani wenye elimu ndogo za la saba na 4m4 felia..msomi na mwenye akili timamu jawezi angalia huo upuuzi..kwanza hawana jipya wanabadili jina la muvi na waigizaji ila maudhui hua ni yale yale..mapenzi na uchawi.

Huwa hawaangalii sifa za mtu bali huangalia matako na uhendisamu..ndio mana wengi wa bongo muvie ni malaya wanaotafuta kupanua wigo na mario wanotafuta kulelewa(mtanisamehe ila ndio ukweli)..hivyo hutumia uingizaji kama platform ya kujulikana,wengi wao hawana kipaji wala elimu.

Pia hakuna uwekezaji..hawako tayari kuweka pesa..ili kutengeneza kitu chenye ubora..kuanzia vifaa na editing pia na logistics zingine.

Ubunifu ni zero..wengi wanakuja na mawazo yao..hawazomi vitabu kujiongezea maarifa kopy na paste ni nyingi..

Kimsingi bongo movie bongolala taaluma isiyotumia akili..

Ushauri warudi shule wakasomee mambo ya filming..wawekeze pia waaache kuokoteza malaya na marioo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lakini mambo haya ndani ya miaka kumi ijayo yanaenda kupotea kabisa kwa mfano kwa sasa mpaka ma dencer waliograduate wapo
kuna kazi ambazo zamani watu waliokuwa wanajiona hawawezi kufanya kwa kuwa tu wamesoma wanataka ajira lakini siku hizi mambo ni tofauti wasomi wataingia kwenye movies na ndipo utaona matokeo
 
Wachawi wa kwanza ni sisi wenyewe tunapenda sana vitu rahisi na vya bure kwa hiyo tuendelee kutegemea kazi mbovu kutoka kwa hawa watu milele
Hizo kazi zenyewe za kizungu ni wacheche wanazipata kihalali wengi wao ni wezi
 
Sijui ata wanapata wapi hela hawa wabongo movie. Maana hakuna raia anaenunua kazi zao.

Kuna siku nimetoka Mlimani city, nakutana na mshikaji kanisalimia. Nikajua ananifahamu. Nakuta ananionesha CD yeye ni msanii sasa wanauza yaani anauza kama pipi eti nimsapoti. Mi nikamwambia ata CD player sina naangalia Netflix.

Tunawalaumu bure mkuu
Just imagine movie kama cherry imecost around 40 million dollars
Je hata akitokea mtu yuko tayari kusupport hawa wasanii je swali ni kwamba?! Nani atakuwa tayari kununua ili wapate faida waweze kutuletea na kazi bora zaidi
 
Wachawi wa kwanza ni sisi wenyewe tunapenda sana vitu rahisi na vya bure kwa hiyo tuendelee kutegemea kazi mbovu kutoka kwa hawa watu milele
Hizo kazi zenyewe za kizungu ni wacheche wanazipata kihalali wengi wao ni wezi
Cd bongo movie 5000 ina part 1 baadae tena part 2 5000 Tena. Quality ni cd ya kawaida hata HD haifiki.

DVD za kihalali za movies bongo zilikuwepo kibao bei humo humo 5000 kwenye macover ya plastic, DVD moja movie moja,

Hata sasa hivi ukigoogle movie OG kwa quality ndogo ya DVD bei ni sawa ama rahisi kushinda Bongo movie.

Issue ni kazi zao mbovu labda ziende Kenya ila ngumu kwa movie za bongo kuuza kimataifa.
 
Cd bongo movie 5000 ina part 1 baadae tena part 2 5000 Tena. Quality ni cd ya kawaida hata HD haifiki.

DVD za kihalali za movies bongo zilikuwepo kibao bei humo humo 5000 kwenye macover ya plastic, DVD moja movie moja,

Hata sasa hivi ukigoogle movie OG kwa quality ndogo ya DVD bei ni sawa ama rahisi kushinda Bongo movie.

Issue ni kazi zao mbovu labda ziende Kenya ila ngumu kwa movie za bongo kuuza kimataifa.
Umesaha hiyo part 1 ina dakika 45, part 2 ina dakika 40
 
Kwani nyie kwenye filamu hizi zetu huwa mnajifunza nn!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwani nyie kwenye filamu hizi zetu huwa mnajifunza nn!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mengi sana kama ukiwa na hasira au mtu akikishitua uku umebeba glass au sahan inatakiwa uiachie idondoke chini ipasuke, maisha ya chuo ni bata sana, ulinzi(gatekeeper) ni kaz ya wendawazimu (mm mwenye akil timamu siwez ifanya) mwenye nyumba wote wanaroho mbaya, ngoja niishie hapo
 
Back
Top Bottom