Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

Mengi sana kama ukiwa na hasira au mtu akikishitua uku umebeba glass au sahan inatakiwa uiachie idondoke chini ipasuke, maisha ya chuo ni bata sana, ulinzi(gatekeeper) ni kaz ya wendawazimu (mm mwenye akil timamu siwez ifanya) mwenye nyumba wote wanaroho mbaya, ngoja niishie hapo
Yaani mpaka unahisi inamaana jamii ya kitanzania haina maswala positive ya kushare!?

Tunarudi pale pale.. drop outs ndio waigizaji.. mtaji ni sura na kukosa aibu.. ukiwa na sura aibu tunakupa ganja.

Ukimaliza kuuza sura unagraduate kuwa chawa au jimama la mjini. Kidoooogo siasa na wajumbe lazima wakufanyie ubaya..

Tasnia hiyo hapa nchni ni hopeless.. na kilinge cha wenye hela kujipatia watoto wazuri ambao mwisho wanawaharibia maisha. Pedophilia..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mpaka unahisi inamaana jamii ya kitanzania haina maswala positive ya kushare!?

Tunarudi pale pale.. drop outs ndio waigizaji.. mtaji ni sura na kukosa aibu.. ukiwa na sura aibu tunakupa ganja.

Ukimaliza kuuza sura unagraduate kuwa chawa au jimama la mjini. Kidoooogo siasa na wajumbe lazima wakufanyie ubaya..

Tasnia hiyo hapa nchni ni hopeless.. na kilinge cha wenye hela kujipatia watoto wazuri ambao mwisho wanawaharibia maisha. Pedophilia..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watu wazur wapo ila tatzo hawapewi nafas.

Hiv director wa siri ya mtungi na BAHASHA ni nan? Maana hiz movie hazina uongo uongo zimeakisi kabsa maisha yetu halis na ata ukiziangalia unaona unajisahau kuwa unaangalia igizo unahis ni kwel unachokiona
 
Watu wazur wapo ila tatzo hawapewi nafas.

Hiv director wa siri ya mtungi na BAHASHA ni nan? Maana hiz movie hazina uongo uongo zimeakisi kabsa maisha yetu halis na ata ukiziangalia unaona unajisahau kuwa unaangalia igizo unahis ni kwel unachokiona
Nadhani ni mzungu wa Zimbabwe kama sikosei.... Ndiye alidirect na makutano junction..

Movie ukiwaita kila kitu kiko kichwani mnaenda kwa mafungu mafungu!?.. hatuko serious.. na wanadhani kuendesha biashara hiyo basi muwe wapaka piko na kulamba midomo tu..

Acha tu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani ni mzungu wa Zimbabwe kama sikosei.... Ndiye alidirect na makutano junction..

Movie ukiwaita kila kitu kiko kichwani mnaenda kwa mafungu mafungu!?.. hatuko serious.. na wanadhani kuendesha biashara hiyo basi muwe wapaka piko na kulamba midomo tu..

Acha tu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ila wazimbabwe watakuwa wapo vizur maana ata ukiangalia movie ya NERIA niya zaman ila inazid movie za bongo za sasa hv
 
Kama wewe ni mtu mzima na una angalia BONGO MOVIE, basi umekomaa mwili na viungo vya uzazi TU, akili huna. Nasema tena huna akili.
 
Nadhani ni mzungu wa Zimbabwe kama sikosei.... Ndiye alidirect na makutano junction..

Movie ukiwaita kila kitu kiko kichwani mnaenda kwa mafungu mafungu!?.. hatuko serious.. na wanadhani kuendesha biashara hiyo basi muwe wapaka piko na kulamba midomo tu..

Acha tu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kamukhm naona anazidi kuzungumza yote ya moyo. Ngoja niongeze nguvu kwa mara nyingine. Da'Vinci unahitaji hapa.
 
Bongo movie wamekosa platform ya kuuzia kazi zao. CD haziuzi siku hizi maana hamna anayetumi na mtu anaikopi na kuiba kazi. Tz hatuna kumbi za Cinema za kutosha kama nchi zingine ambazo ndiyo tegemeo kubwa la biashara movie.
Pia streaming services kama Netflix haiwezekani kwa mabando haya.

Nilikuwa nafikiria labda wangeanzisha tv channel ambayo mtu ananunua movie humo(pay per view). Inakuwa kama streaming service ila kupitia TV channel.
Shida sio kuuza tatizo kuna content? yaani movie unaitabiri tangu scene ya kwanza na unaijua mwisho kabla haijaisha na inakuwa hivyo! wanaishia Umalaya nakuvaa fulana z cccm tu

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Tafuta movie ya Sleepless ya Jamie Fox na T. I
Nasikia hollywood hairuhusiwi kuonyesha movie mtu ameua polisi halafu haki isitendeke hadi mwisho. Sijui kama bado ipo, kwa bongo hilo ulilouliza sifahamu.
 
Swali la KIZUSHI: Sinema ya Bongo Muvi inaruhusiwa kuonyesha mwizi akiwazidi ujanja mapolisi na mpaka mwisho wa muvi hakukamatwa wala baya lolote kumpata?
Nam nam
JamiiForums1826908816.jpg
 
Watu wazur wapo ila tatzo hawapewi nafas.

Hiv director wa siri ya mtungi na BAHASHA ni nan? Maana hiz movie hazina uongo uongo zimeakisi kabsa maisha yetu halis na ata ukiziangalia unaona unajisahau kuwa unaangalia igizo unahis ni kwel unachokiona
Director wa hizo movies ni mzungu anaitwa Jordan Riber . Unaweza icheki profile yake >>>> https://www.linkedin.com/in/jordan-riber
 
Watu wazur wapo ila tatzo hawapewi nafas.

Hiv director wa siri ya mtungi na BAHASHA ni nan? Maana hiz movie hazina uongo uongo zimeakisi kabsa maisha yetu halis na ata ukiziangalia unaona unajisahau kuwa unaangalia igizo unahis ni kwel unachokiona

Ni JORDAN RIBBER
 
Ni JORDAN RIBBER
Mi na shangaa bodi ya filamu inafanya kazi gani isimrudishe bongo awe anaikuza bongo movie mana mwanzo alikuwa chini ya udhamini wa NGO
Kama bodi ya mpira inaweza kuleta kocha wa kizungu kwa jili ya Taifa stars , why not huyu jamaa
 
Mi na shangaa bodi ya filamu inafanya kazi gani isimrudishe bongo awe anaikuza bongo movie mana mwanzo alikuwa chini ya udhamini wa NGO
Kama bodi ya mpira inaweza kuleta kocha wa kizungu kwa jili ya Taifa stars , why not huyu jamaa
Hizi akili ndio hawana
 
Kuna movies za 1960 unazicheki za Mambele. Dah. Wale jamaa wametuacha mbali kingese.
Sure kaka, movies kama The Godfather Trilogy (Kuanzia 1972) 2001 : Space Odyssey (1968), Scarface (1983) ni moja ya kazi nzuri kuwahi kutokea katika tasnia ya filamu ulimwenguni, na ziliandaliwa in mid 90s.
 
Back
Top Bottom