Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

Leo nimepita mtaa wa Likoma maeneo ya Kariakoo kuna biashara kubwa sana ya movies za nje.

Zinagombewa na zinauzika sana,nakumbuka kuna wakati Tanzania tulikua juu sana kwenye mambo ya kuigiza,yalikuja malalamiko mengi kuwa wasanii wanaibiwa kazi zao huku wafanyabishara wakidaiwa kufaidika zaidi.

Iliibuka kamata kamata kubwa sana ya wauzaji wa kazi za wasanii wa ndani.

Baada ya ile kamata kamata hakukuwa na Mrejesho kuwa sasa wasanii wanapata pesa kwa haki bali ni kudorora kwa soko.

Je, nani aliua lile soko la filamu za ndani? Kwa nini soko la filamu za ndani life la nje libaki?
wema sepetu ameshiriki kuua soko la filamu za kitanzania
 
Au mtu anaajisemesha eti ""naenda kunywa maji"" badala ya kwenda kunywa bila kuongea utafikili sisi hatuoni;
Tunarudi pale pale kwenye professionalism.

Screenwriter anaejielewa anajua kanuni ya "SHOW DON'T TELL!" ndio haswaa kiini cha storytelling, tofauti na hapo ni ubabaishaji tu.
 
Naona mnajidanganya tu hapa.
Kilichoua bongo movie

1.Ving'amuzi.(wasanii wote maarufu wanafanya movie kwenye Azamtv au Dstv hii imepelekea soko la movie kushuka kivipi sababu sokoni movie za mastaa ni chache sana au hakuna kabisa.
2.Ongezeko la watu wanaotafsiri movie. Hawa jamaa wamerahisisha sana mambo, sasa mtu anaweza kuangalia na kuielewa movie ya kikorea hata kama hakusoma kabisa.
 
Afu mbaya zaidi bongo movie ndo inabamba kwenye mabasi yote ya mikoani mkiwa safarini...hakuna basi utapanda afu msionyeshwe comedy ya akina mkojani na wenzie...me wakiwekaga hz movie hata Kama natoka dar naenda Moro huwa najihisi Kama naenda Songea yaani.
 
Afu mbaya zaidi bongo movie ndo inabamba kwenye mabasi yote ya mikoani mkiwa safarini...hakuna basi utapanda afu msionyeshwe comedy ya akina mkojani na wenzie...me wakiwekaga hz movie hata Kama natoka dar naenda Moro huwa najihisi Kama naenda Songea yaani.
🤣😃🤣🤣🤣🤣
 
isajorsergio we ni mchokozi 😄😄😄 ila wadau wana point za maana sana.

Anyway mi naomba nisiongelee "bongo movie" (maana hata hawaandiki wala kufuata script 🥴🥴) bali niongelee tasnia ya filamu kwa ujumla na heshima yake.

Nakataa kuongelea "bongo movie" kwasababu sitakia kumuongelea Ray na "wasanii" wenzie wala sitaki kuongelea lack of creativity and whatnot kwenye kazi nyingi zilizopo na zinazokuja.

Binafsi I know a lot of dudes with big ideas, visionaries haswa....lakini hawana capital. Na ukweli ni kwamba bila funds za kueleweka hamna cha maana unachoweza kufanya. Doesn't have to be hundreds of millions maana concept nyingine ni simple na zinaweza kufanyika kwa reasonable budget but we still need a budget.
Hiyo reasonable budget inatakiwa isaidie kwenye :
#1 Ku-develop story kama bado (research/writing/scrip doctor services etc.)
#2 Pre - Production (Proper casting & coaching, table reading, rewriting, rehearsals, location scouting, budgeting, creative meetings with all the key players |director, cinematographer, producers, first assistant director, production managers, production coordinators, mtu wa costume, mtu wa art/production designer, location scouts| ili kila mmoja aweke maujuzi yake etc. etc......
#3 Production itself.....
#4 Post Production (hapa we have the editing process, sound design, colour grading and so so....

Sasa ili timu ya wahusika wote hapo juu wawe professionals and most definitely creative lazima budget iweze kujitosheleza. Na ishu sio tu kuwalipa, bali kuwawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi. I mean.....Production Designer atafanyaje kazi bila proper budget kwaajili ya sets, locations, graphics, props, lighting, camera na vifaa vingine???

Ukweli ni kwamba, ukiwa unataka kushoot kitu proper, hata kiwe kidogo aje lazima hela ya kutosha iende kwenye equipment. Na hapa siongelei tu camera (maana watu wengine wakisikia tu Red Epic W,ARRI na wenzao basi wanachanganyikiwa kabisa)...naongelea lights & grip. The proper stuff!! Sio unashoot kwenye mwanga wa ajabu ajabu, no tone, no mood, halafu unaishia kutoa overexposed video kwa kulazimisha kuongeza mwanga kwenye post, NETFLIX tutaishia kuwaona ndugu zetu wa Kenya tu aisee 😬😬. A great camera is NOTHING without supporting equipment!!!

So yeahhh....even though I might be all over the place, I was just trying to prove a point kwamba kikubwa kinachomiss ni funds....proper funds!!! Sasa hizo funds tunazipataje kama tasnia ya filamu haieleweki wala haiheshimiwi??? Tuendelee kutengeneza the so called "bongo movies" ??? Utegemeze wa hao so called "super stars" a.k.a majina makubwa uendelee kushika hatamu ili angalau tupate slots za Azam, DSTV and the likes???
Challenge iko hapo!!!Mzigo unawaangukia wale ambao wako willing kupambana mpaka waweze ku-realise their vision without compromise....na nna uhakika mmoja akitoboa, investors wakaona kwamba kwetu napo inawezekana basi kila kitu kitaenda sawa na mwisho wa siku tutashangaa kuona "bongo movie" ikipotea taratibu.

🤞🏾🤞🏾 Mshkaji wangu mmoja amalize Sci -Fi yake soon muone jinsi ambavyo bongo tuna vichwa kwenye hayo mambo.
View attachment 1744566View attachment 1744567

Absolutely! Ndio maana nimekuita hapa, and yes umefunguka uhalisia na ukweli mchungu. Ni wazi kabisa kama ulivyosisitiza without BUDGET / Finance au Pesa ni kuendelea kujipatia faraja kwamba "Tunajitahidi siku hizi" na blah blah nyingine.

I know how much passion you are katika hii field that's why umeeleza kwa japo uchache kitaalamu kusudi kila mmoja aone filamu sio kazi nyepesi bali/lakini inahitaji nguvu ya kiuchumi, akili na rasilimali watu. Nimeipenda hii "A great camera is NOTHING without supporting equipment!!!".
=
Lizzy unafikiri ni njia gani zitakazowezesha kuleta pesa na kutengeneza budget?

1. Kwa kuendelea kuchanga mhusika akiamini ipo siku atakamilisha kiasi hitajika?

2. Kuendelea kufanya filamu for fun na kutengeneza jina ambalo linabaki kama mzigo? au

3. Kutumia mbinu wezeshi ambazo ni a/ Kutafuta FUND na sponsors b/ kujumuisha wataalamu ambao hufanya kazi solo (freelancing) katika industry husika? na c/ kujumuisha nguvu na resources zilizokuwapo!

-
Ngoja niongeze nguvu hapa tuweze kujadili kwa uzuri Chief-Mkwawa Relief Mirzska Castr
 
isajorsergio we ni mchokozi 😄😄😄 ila wadau wana point za maana sana.

Anyway mi naomba nisiongelee "bongo movie" (maana hata hawaandiki wala kufuata script 🥴🥴) bali niongelee tasnia ya filamu kwa ujumla na heshima yake.

Nakataa kuongelea "bongo movie" kwasababu sitakia kumuongelea Ray na "wasanii" wenzie wala sitaki kuongelea lack of creativity and whatnot kwenye kazi nyingi zilizopo na zinazokuja.

Binafsi I know a lot of dudes with big ideas, visionaries haswa....lakini hawana capital. Na ukweli ni kwamba bila funds za kueleweka hamna cha maana unachoweza kufanya. Doesn't have to be hundreds of millions maana concept nyingine ni simple na zinaweza kufanyika kwa reasonable budget but we still need a budget.
Hiyo reasonable budget inatakiwa isaidie kwenye :
#1 Ku-develop story kama bado (research/writing/scrip doctor services etc.)
#2 Pre - Production (Proper casting & coaching, table reading, rewriting, rehearsals, location scouting, budgeting, creative meetings with all the key players |director, cinematographer, producers, first assistant director, production managers, production coordinators, mtu wa costume, mtu wa art/production designer, location scouts| ili kila mmoja aweke maujuzi yake etc. etc......
#3 Production itself.....
#4 Post Production (hapa we have the editing process, sound design, colour grading and so so....

Sasa ili timu ya wahusika wote hapo juu wawe professionals and most definitely creative lazima budget iweze kujitosheleza. Na ishu sio tu kuwalipa, bali kuwawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi. I mean.....Production Designer atafanyaje kazi bila proper budget kwaajili ya sets, locations, graphics, props, lighting, camera na vifaa vingine???

Ukweli ni kwamba, ukiwa unataka kushoot kitu proper, hata kiwe kidogo aje lazima hela ya kutosha iende kwenye equipment. Na hapa siongelei tu camera (maana watu wengine wakisikia tu Red Epic W,ARRI na wenzao basi wanachanganyikiwa kabisa)...naongelea lights & grip. The proper stuff!! Sio unashoot kwenye mwanga wa ajabu ajabu, no tone, no mood, halafu unaishia kutoa overexposed video kwa kulazimisha kuongeza mwanga kwenye post, NETFLIX tutaishia kuwaona ndugu zetu wa Kenya tu aisee 😬😬. A great camera is NOTHING without supporting equipment!!!

So yeahhh....even though I might be all over the place, I was just trying to prove a point kwamba kikubwa kinachomiss ni funds....proper funds!!! Sasa hizo funds tunazipataje kama tasnia ya filamu haieleweki wala haiheshimiwi??? Tuendelee kutengeneza the so called "bongo movies" ??? Utegemeze wa hao so called "super stars" a.k.a majina makubwa uendelee kushika hatamu ili angalau tupate slots za Azam, DSTV and the likes???
Challenge iko hapo!!!Mzigo unawaangukia wale ambao wako willing kupambana mpaka waweze ku-realise their vision without compromise....na nna uhakika mmoja akitoboa, investors wakaona kwamba kwetu napo inawezekana basi kila kitu kitaenda sawa na mwisho wa siku tutashangaa kuona "bongo movie" ikipotea taratibu.

🤞🏾🤞🏾 Mshkaji wangu mmoja amalize Sci -Fi yake soon muone jinsi ambavyo bongo tuna vichwa kwenye hayo mambo.
View attachment 1744566View attachment 1744567
Hii sector yako hii bestyyyy
 
Absolutely! Ndio maana nimekuita hapa, and yes umefunguka uhalisia na ukweli mchungu. Ni wazi kabisa kama ulivyosisitiza without BUDGET / Finance au Pesa ni kuendelea kujipatia faraja kwamba "Tunajitahidi siku hizi" na blah blah nyingine.

I know how much passion you are katika hii field that's why umeeleza kwa japo uchache kitaalamu kusudi kila mmoja aone filamu sio kazi nyepesi bali/lakini inahitaji nguvu ya kiuchumi, akili na rasilimali watu. Nimeipenda hii "A great camera is NOTHING without supporting equipment!!!".
=
Lizzy unafikiri ni njia gani zitakazowezesha kuleta pesa na kutengeneza budget?

1. Kwa kuendelea kuchanga mhusika akiamini ipo siku atakamilisha kiasi hitajika?

2. Kuendelea kufanya filamu for fun na kutengeneza jina ambalo linabaki kama mzigo? au

3. Kutumia mbinu wezeshi ambazo ni a/ Kutafuta FUND na sponsors b/ kujumuisha wataalamu ambao hufanya kazi solo (freelancing) katika industry husika? na c/ kujumuisha nguvu na resources zilizokuwapo!

-
Ngoja niongeze nguvu hapa tuweze kujadili kwa uzuri Chief-Mkwawa Relief Mirzska Castr
Kaka hii sector ya watu hii.

But as a normal Tanzanian, I see a lot of gaps to be filled. Unajua vile naangalia Money Heist halafu naangalia na Huba ya kina Muhogo mchungu ya Maisha Magic bongo basi naiona difference kubwa mno. Na ndio maana pia nahisi nisipoteze muda kuangalia haya ma bongo movie
 
Cha kwanza na kianze, niliwadharau wasanii wa bongo movie kwa sababu waliamini na wanaamini tuliojiajiri kwa kuuza seasons zilizotafsiriwa tunawaharibia soko lao.

Anyway, nimeshaangalia filamu nzuri zilizozalishwa hapa Tz.

Nimeangalia Shamba Kubwa, The Witness, Girlfriend, Fungu la Kukosa, Nsyuka, In The House, Bongo Kung Fu (ni komedi hii) Mzee Toboa Tobo, Siri ya Kijiji na Kigodoro ni filamu za kizazi cha karibuni ambazo niliweza kuziangalia.

Tulikua na Sultan Tamba na Musa Banzi, Tamba alikua amewekeza kwenye horror movies Tamba alikua ndiyo Jason Blum wetu Banzi alikua mzuri katika drama. Unaiangalia Fungu la Kukosa unampenda Riyama, unampenda lead xcter wa kiume na la msingi zaidi unapenda script.

Nakubaliana na Lizzy ya kwamba bajeti ni finyu lakini filamu zetu nyingi hua zinafeli mno katika script na casting. Kanumba na Kigosi wakafanya ya kwamba ni lazima mtu ambaye ni 'mrembo' awe muigizaji, ni lazima mlinzi awe kituko, ni lazima ukiwa unaigiza upige kelele, ikawa ya kwamba kwakua wewe ni director basi wewe lazima uwe lead xcter, ikawa lazima wapaka wave na super black wawe lead xcter wa kiume.

Una kipaji? Ndiyo.
Unahisi wewe ni handsome/ mzuri kwa viwango vyetu? Hapana.
Utakua housegirl/ mlinzi. And make sure unaonekana huna akili sawasawa.

Una kipaji? Hapana.
Ila wewe ni Hemedy PHD? Ndiyo.
Can you just hang around, look important and keep on saying "Na still bado ..." ? Yes.
Wewe ndiye lead xcter.


Anyway, Tamba akaja akakaa kushoto, Banzi akaanza kuigiza, jamaa ni mzuri kudirect na kuandika script kuliko kuigiza, ilikua ni upuuzi ambao hakutaka kuuacha mpaka akatemana na career yenyewe (nafikiri)

At one point nikawa siangalii filamu zozote za Tz zaidi ya za vichekesho, nikawa nakutana na swala lile lile script na casting ni hovyo. Kuna filamu moja mimi nilishuhudia utengenezwaji wake muongozaji alikua mchekeshaji anaitwa Mkono Mkonole, wale jamaa walikua wanadevelop script hapo hapo kwenye set as in Mkono anamuambia cast wake "Ukifika pale wewe sasa simama halafu anza kumlazimisha akulipe deni lako, yaani ongea tu onyesha umekasirika" ilikua si mchezo.

Kisha kuna zile filamu za Al Riyamy, kuna zile zinaitwa Inye, ilikua ni kutoa filamu zinazohusu matako sehemu ya kwanza mpaka ya nne hivi. Na swala ni moja, mtu ataona matako atashangaa atajikwaa kisha hakuna kinachofuata yaani vipande hivyo hivyo vinaungwa na kuungwa kisha inakua filamu na hawa walitarajia wasogee kimataifa? Kweli?

Kisha zikaja hizi seasons zilizotafsiriwa script ya kawaida ila inaeleweka Ray + Wasanii wakamtrick Nape kwamba zile zinaharibu soko lao, Nape akatuita baada ya kueleweshana akasema haoni sababu ya kuzifungia kwakua hawajaprove ni kivipi zinaharibu soko lao. Wakamgeukia Makonda na Siro vifaa vikakamatwa (PC na kila watakachokukuta nacho) mwisho Msama na Makonda na Siro wakasema hizi filamu hazilipi kodi so tufanye mpango zilipe kodi.

As in ile series ya 24 uliyoidownload na kuitafsiri unailipia kodi ili kuiburn na kuiuza kwa wananchi. Tukauliza hii kodi tunayolipa hapa itawafikia hawa tunaodownload muvi zao? Wameshindwa ona kwanini hizo series zilisurvive hata hicho kimbunga?

Script & Casting ni jibu. Filamu zingine zina worse editing ila hamu ya kutaka kujua nini kitafuata inafanya wateja wasiache kuifuatilia. Katikati ya kuvutana na Makonda na Siro Kigosi akatoa filamu inaitwa Watchman (Sina uhakika na jina) ilikua inahusu Kigosi kua mlinzi. Kaka yangu akasema "Waweza kuta humo jamaa anakua mlinzi halafu anamega familia nzima" guess what? Niliambiwa hicho ndicho kilichokuemo.

Kwa upande wangu naamini bajeti kama factor kuna namna unaweza ukaiignore mfano kuna filamu nyingi zimezalishwa kwa bajeti ndogo Rocky, The Clerk n.k. na hizi zilibebwa na script na casting. Kuna filamu zimezalishwa na kamera ya mkononi lakini script yake ni lazima utaimalizia hiyo filamu utake usitake (The Blair Witch Project).

Ni hatari.
 
Cha kwanza na kianze, niliwadharau wasanii wa bongo movie kwa sababu waliamini na wanaamini tuliojiajiri kwa kuuza seasons zilizotafsiriwa tunawaharibia soko lao.

Anyway, nimeshaangalia filamu nzuri zilizozalishwa hapa Tz.

Nimeangalia Shamba Kubwa, The Witness, Girlfriend, Fungu la Kukosa, Nsyuka, In The House, Bongo Kung Fu (ni komedi hii) Mzee Toboa Tobo, Siri ya Kijiji na Kigodoro ni filamu za kizazi cha karibuni ambazo niliweza kuziangalia.

Tulikua na Sultan Tamba na Musa Banzi, Tamba alikua amewekeza kwenye horror movies Tamba alikua ndiyo Jason Blum wetu Banzi alikua mzuri katika drama. Unaiangalia Fungu la Kukosa unampenda Riyama, unampenda lead xcter wa kiume na la msingi zaidi unapenda script.

Nakubaliana na Lizzy ya kwamba bajeti ni finyu lakini filamu zetu nyingi hua zinafeli mno katika script na casting. Kanumba na Kigosi wakafanya ya kwamba ni lazima mtu ambaye ni 'mrembo' awe muigizaji, ni lazima mlinzi awe kituko, ni lazima ukiwa unaigiza upige kelele, ikawa ya kwamba kwakua wewe ni director basi wewe lazima uwe lead xcter, ikawa lazima wapaka wave na super black wawe lead xcter wa kiume.

Una kipaji? Ndiyo.
Unahisi wewe ni handsome/ mzuri kwa viwango vyetu? Hapana.
Utakua housegirl/ mlinzi. And make sure unaonekana huna akili sawasawa.

Una kipaji? Hapana.
Ila wewe ni Hemedy PHD? Ndiyo.
Can you just hang around, look important and keep on saying "Na still bado ..." ? Yes.
Wewe ndiye lead xcter.


Anyway, Tamba akaja akakaa kushoto, Banzi akaanza kuigiza, jamaa ni mzuri kudirect na kuandika script kuliko kuigiza, ilikua ni upuuzi ambao hakutaka kuuacha mpaka akatemana na career yenyewe (nafikiri)

At one point nikawa siangalii filamu zozote za Tz zaidi ya za vichekesho, nikawa nakutana na swala lile lile script na casting ni hovyo. Kuna filamu moja mimi nilishuhudia utengenezwaji wake muongozaji alikua mchekeshaji anaitwa Mkono Mkonole, wale jamaa walikua wanadevelop script hapo hapo kwenye set as in Mkono anamuambia cast wake "Ukifika pale wewe sasa simama halafu anza kumlazimisha akulipe deni lako, yaani ongea tu onyesha umekasirika" ilikua si mchezo.

Kisha kuna zile filamu za Al Riyamy, kuna zile zinaitwa Inye, ilikua ni kutoa filamu zinazohusu matako sehemu ya kwanza mpaka ya nne hivi. Na swala ni moja, mtu ataona matako atashangaa atajikwaa kisha hakuna kinachofuata yaani vipande hivyo hivyo vinaungwa na kuungwa kisha inakua filamu na hawa walitarajia wasogee kimataifa? Kweli?

Kisha zikaja hizi seasons zilizotafsiriwa script ya kawaida ila inaeleweka Ray + Wasanii wakamtrick Nape kwamba zile zinaharibu soko lao, Nape akatuita baada ya kueleweshana akasema haoni sababu ya kuzifungia kwakua hawajaprove ni kivipi zinaharibu soko lao. Wakamgeukia Makonda na Siro vifaa vikakamatwa (PC na kila watakachokukuta nacho) mwisho Msama na Makonda na Siro wakasema hizi filamu hazilipi kodi so tufanye moango zilipe kodi.

As in ile series ya 24 uliyoidownload na kuitafsiri unailipia kodi ili kuiburn na kuiuza kwa wananchi. Tukauliza hii kodi tunayolipa hapa itawafikia hawa tunaodownload muvi zao? Wameshindwa ona kwanini hizo series zilisurvive hata hicho kimbunga?

Script & Casting ni jibu. Filamu zingine zina worse editing ila hamu ya kutaka kujua nini kitafuata inafanya wateja wasiache kuifuatilia. Katikati ya kuvutana na Makonda na Siro Kigosi akatoa filamu inaitwa Watchman (Sina uhakika na jina) ilikua inahusu Kigosi kua mlinzi. Kaka yangu akasema "Waweza kuta humo jamaa anakua mlinzi halafu anamega familia nzima" guess what? Niliambiwa hicho ndicho kilichokuemo.

Kwa upande wangu naamini bajeti kama factor kuna namna unaweza ukaiignore mfano kuna filamu nyingi zimezalishwa kwa bajeti ndogo Rocky, The Clerk n.k. na hizi zilibebwa na script na casting. Kuna filamu zimezalishwa na kamera ya mkononi lakini script yake ni lazima utaimalizia hiyo filamu utake usitake (The Blair Witch Project).

Ni hatari.
Vizuri! Hapa tumeona scriptwriting na casting. Castr nadhani tunaposema bajeti wengi wetu hatumaanishi filamu ya billioni 10 no! Endapo Diamond Platnumz anatumia millioni 30+ kuzalisha video ya muziki how comes filamu ya Bongo Movie yenye timeline inayolapse 2 hours itumie bajeti ya millioni 5 - 15?

Still inahitajika bajeti yenye kuakisi malengo na kuwezesha kuleta kitu bora
 
Vizuri! Hapa tumeona scriptwriting na casting. Castr nadhani tunaposema bajeti wengi wetu hatumaanishi filamu ya billioni 10 no! Endapo Diamond Platnumz anatumia millioni 30+ kuzalisha video ya muziki how comes filamu ya Bongo Movie yenye timeline inayolapse 2 hours itumie bajeti ya millioni 5 - 15?

Still inahitajika bajeti yenye kuakisi malengo na kuwezesha kuleta kitu bora
Kuna filamu za Bongohoodz kama haujaziona zicheki youtube.

Utakubaliana na mimi kwamba factor ya bajeti inaweza kurukwa kama kuna script nzuri na hiyo 5M ikatosha kuwasilisha kitu kitachokubalika na wengi.

NB. Sijamaanisha nimekubali diamond anatumia 30M+ kwaajili ya shooting.
 
Bongo movie wamekosa platform ya kuuzia kazi zao. CD haziuzi siku hizi maana hamna anayetumi na mtu anaikopi na kuiba kazi. Tz hatuna kumbi za Cinema za kutosha kama nchi zingine ambazo ndiyo tegemeo kubwa la biashara movie.
Pia streaming services kama Netflix haiwezekani kwa mabando haya.

Nilikuwa nafikiria labda wangeanzisha tv channel ambayo mtu ananunua movie humo(pay per view). Inakuwa kama streaming service ila kupitia TV channel.
Kizuri kitajiuza, kibaya kitajitembeza tena ya lazima....
 
Tatizo hii tasnia nzima imeachwa kwa, niseme vilaza. Wako wapi wanaosomea sanaa za maigizo vyuo vikuu. Pamoja na talent lakini kusomea hutoa waigizaji bora sana. Mtu kama Samuel Jackson, bonge la actor na ana degree yake ya sanaa. Bongo ukiwa mrembo basi unafaa kuigiza. Kumbe kujua kuigiza ni nuhimu zaidi, kuna movie walicheza watu wa chuo cha sanaa cha bagamoyo, movie nzuri sana kuliko bongo movie ambazo zinaujinga na kung'aa utafikiri movie yote imepigwa scrubb.
Nadhani shida ipo kwenye creativity upande wa madirector na Producers.... Bado hawajiongezi wao wamewekeza zaidi katika kupata pesa na kujipatia kipato....

Ila kama akili yao na malengo ni kuja kuwa kama Hollywood then haya mambo mbona ni mepesi sana kutoboa....
 
Naona mnajidanganya tu hapa.
Kilichoua bongo movie

1.Ving'amuzi.(wasanii wote maarufu wanafanya movie kwenye Azamtv au Dstv hii imepelekea soko la movie kushuka kivipi sababu sokoni movie za mastaa ni chache sana au hakuna kabisa.
2.Ongezeko la watu wanaotafsiri movie. Hawa jamaa wamerahisisha sana mambo, sasa mtu anaweza kuangalia na kuielewa movie ya kikorea hata kama hakusoma kabisa.
Pole sana muigizaji,kwani kwenye ving'amuzi filamu za nje hazioneshwi? Mbona bado zinagombewa?
 
Naona mnajidanganya tu hapa.
Kilichoua bongo movie

1.Ving'amuzi.(wasanii wote maarufu wanafanya movie kwenye Azamtv au Dstv hii imepelekea soko la movie kushuka kivipi sababu sokoni movie za mastaa ni chache sana au hakuna kabisa.
2.Ongezeko la watu wanaotafsiri movie. Hawa jamaa wamerahisisha sana mambo, sasa mtu anaweza kuangalia na kuielewa movie ya kikorea hata kama hakusoma kabisa.
Pole sana muigizaji,kwani kwenye ving'amuzi filamu za nje hazioneshwi? Mbona bado zinagombewa?
Kenya kuna comedy gani ?

Au unamaanisha stand up comedy ya Churchil show?
Nyingi sana
 
Back
Top Bottom