muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Movie zetu za kistaarabu sana,Jambazi anavua viatu ili asichafue kapeti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda sana hii commentBongo movi zimebaki wa mabeki tatu..na felia yani wenye elimu ndogo za la saba na 4m4 felia..msomi na mwenye akili timamu jawezi angalia huo upuuzi..kwanza hawana jipya wanabadili jina la muvi na waigizaji ila maudhui hua ni yale yale..mapenzi na uchawi.
Huwa hawaangalii sifa za mtu bali huangalia matako na uhendisamu..ndio mana wengi wa bongo muvie ni malaya wanaotafuta kupanua wigo na mario wanotafuta kulelewa(mtanisamehe ila ndio ukweli)..hivyo hutumia uingizaji kama platform ya kujulikana,wengi wao hawana kipaji wala elimu.
Pia hakuna uwekezaji..hawako tayari kuweka pesa..ili kutengeneza kitu chenye ubora..kuanzia vifaa na editing pia na logistics zingine.
Ubunifu ni zero..wengi wanakuja na mawazo yao..hawazomi vitabu kujiongezea maarifa kopy na paste ni nyingi..
Kimsingi bongo movie bongolala taaluma isiyotumia akili..
Ushauri warudi shule wakasomee mambo ya filming..wawekeze pia waaache kuokoteza malaya na marioo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda sana hii commentBongo movi zimebaki wa mabeki tatu..na felia yani wenye elimu ndogo za la saba na 4m4 felia..msomi na mwenye akili timamu jawezi angalia huo upuuzi..kwanza hawana jipya wanabadili jina la muvi na waigizaji ila maudhui hua ni yale yale..mapenzi na uchawi.
Huwa hawaangalii sifa za mtu bali huangalia matako na uhendisamu..ndio mana wengi wa bongo muvie ni malaya wanaotafuta kupanua wigo na mario wanotafuta kulelewa(mtanisamehe ila ndio ukweli)..hivyo hutumia uingizaji kama platform ya kujulikana,wengi wao hawana kipaji wala elimu.
Pia hakuna uwekezaji..hawako tayari kuweka pesa..ili kutengeneza kitu chenye ubora..kuanzia vifaa na editing pia na logistics zingine.
Ubunifu ni zero..wengi wanakuja na mawazo yao..hawazomi vitabu kujiongezea maarifa kopy na paste ni nyingi..
Kimsingi bongo movie bongolala taaluma isiyotumia akili..
Ushauri warudi shule wakasomee mambo ya filming..wawekeze pia waaache kuokoteza malaya na marioo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
🤪🤪Ukiwa unaangalia unaweza kufoad mpaka ukajua muvi inaishiaje🤣🤣Mtu anatakiwa aigize uangalie mpaka usahau kuwa anaigiza....
Asa Bongo movie wanaigiza unaona kabisa hawa wanaigiza si ushenzi huo...
Nimeipenda sana hii commentBongo movi zimebaki wa mabeki tatu..na felia yani wenye elimu ndogo za la saba na 4m4 felia..msomi na mwenye akili timamu jawezi angalia huo upuuzi..kwanza hawana jipya wanabadili jina la muvi na waigizaji ila maudhui hua ni yale yale..mapenzi na uchawi.
Huwa hawaangalii sifa za mtu bali huangalia matako na uhendisamu..ndio mana wengi wa bongo muvie ni malaya wanaotafuta kupanua wigo na mario wanotafuta kulelewa(mtanisamehe ila ndio ukweli)..hivyo hutumia uingizaji kama platform ya kujulikana,wengi wao hawana kipaji wala elimu.
Pia hakuna uwekezaji..hawako tayari kuweka pesa..ili kutengeneza kitu chenye ubora..kuanzia vifaa na editing pia na logistics zingine.
Ubunifu ni zero..wengi wanakuja na mawazo yao..hawazomi vitabu kujiongezea maarifa kopy na paste ni nyingi..
Kimsingi bongo movie bongolala taaluma isiyotumia akili..
Ushauri warudi shule wakasomee mambo ya filming..wawekeze pia waaache kuokoteza malaya na marioo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
🤪🤪Ukiwa unaangalia unaweza kufoad mpaka ukajua muvi inaishiaje🤣🤣Mtu anatakiwa aigize uangalie mpaka usahau kuwa anaigiza....
Asa Bongo movie wanaigiza unaona kabisa hawa wanaigiza si ushenzi huo...
Nimeipenda sana hii commentBongo movi zimebaki wa mabeki tatu..na felia yani wenye elimu ndogo za la saba na 4m4 felia..msomi na mwenye akili timamu jawezi angalia huo upuuzi..kwanza hawana jipya wanabadili jina la muvi na waigizaji ila maudhui hua ni yale yale..mapenzi na uchawi.
Huwa hawaangalii sifa za mtu bali huangalia matako na uhendisamu..ndio mana wengi wa bongo muvie ni malaya wanaotafuta kupanua wigo na mario wanotafuta kulelewa(mtanisamehe ila ndio ukweli)..hivyo hutumia uingizaji kama platform ya kujulikana,wengi wao hawana kipaji wala elimu.
Pia hakuna uwekezaji..hawako tayari kuweka pesa..ili kutengeneza kitu chenye ubora..kuanzia vifaa na editing pia na logistics zingine.
Ubunifu ni zero..wengi wanakuja na mawazo yao..hawazomi vitabu kujiongezea maarifa kopy na paste ni nyingi..
Kimsingi bongo movie bongolala taaluma isiyotumia akili..
Ushauri warudi shule wakasomee mambo ya filming..wawekeze pia waaache kuokoteza malaya na marioo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
🤪🤪Ukiwa unaangalia unaweza kufoad mpaka ukajua muvi inaishiaje🤣🤣Mtu anatakiwa aigize uangalie mpaka usahau kuwa anaigiza....
Asa Bongo movie wanaigiza unaona kabisa hawa wanaigiza si ushenzi huo...
Kidogo orijino comedy lakini nyingine taka taka kweliComedy ndo taka....taka kabisa
Mkuu kabisa ununue!!! Mm hata bure siangaliiBongo movie wamekosa platform ya kuuzia kazi zao. CD haziuzi siku hizi maana hamna anayetumi na mtu anaikopi na kuiba kazi. Tz hatuna kumbi za Cinema za kutosha kama nchi zingine ambazo ndiyo tegemeo kubwa la biashara movie.
Pia streaming services kama Netflix haiwezekani kwa mabando haya.
Nilikuwa nafikiria labda wangeanzisha tv channel ambayo mtu ananunua movie humo(pay per view). Inakuwa kama streaming service ila kupitia TV channel.
Mtanisamehe kwa lugha nitakayotumia. Bongo movies ni too childish. Ukitaka kujifunza ujinga angalia bongo movies. sijui wanaotayarisha scripts hawaangalia movies za nje? Huwezi kukuta bongo movies kuna instant labda mpo mahakakani na pale kuna argument za kisheria either zinahusu mifarakano ya kibiashara au familia. Huwezi ona bongo movies waaigizaji wanajadili labda uwekezaji, issue za kikodi au diversification ya portfolio. Yaani pure childish.
My kids have been warned siku nikikuta wanaangalia hizo movies, kinafuata wanakijua, kwanza hawawezi.
I second you mkuu, hamna muvi za kidwanzi kama bongomuvi. Kwanza Ni low budget muviz na wahusika wanashindwa kuvaa uhusika kweli, story ukiangalia dk.5 unajua kabisa mwisho wake ukoje. Quality mbovu, yaan ukishoot na ProMax ngoma inaweza ikawa Kali zaidi.
Kazi yenyewe hiyo inayohitaji platform ni ipiSikumaanishe waweke movie zao Netflix, ubora uko chini bali watengeneze streaming platform kama Netflix maana shida kubwa ya Bongomovie kwa sasa ni kukosa platform ya kuuza kazi zao.
Tufanye katokea mtu wa kuwasponsor watoe kazi kwality...wana hiyo story ya kiigiza? Wana hao watu wa kuicheza hiyo filamuHuwezi kutoa movie nzuri au bora kwa bajeti kubwa kama huna sehemu ya kuuzia. Shida kubwa ya bongo movie kwa sasa ni namna ya kuuza na kukabiliana na uharamia. Hapo miaka kadhaa watu wengi walitumia CD, bongo movie walipata hela na pengine hadi sasa wangekuwa wameimprove sana. Ghafla CD zikawa ishu za kizamani na watu wakaanza kupirate kazi zao, ikawa hailipi tena. Ndiyo sababu za kutengeneza movie mbovu kwa bajeti za laki nane.
Na pia hata kama wanatoa kitu quality hawataweza uza netflix sababu ya watanzania na kumudu gharama za bando.
Ndiyo maana nimeshauri labda waanzishe streaming service isiyotumia bando, waanzishe channel ya tv ya kulipia.
Watu wanawekeza pesa ndefu kwenye movie na kutia vitu bora kwa sababu zinalipa na wana uhakika wa soko, bongomuvie imekosa hicho kitu, pamoja na mambo mengine, hili nalo ni chanzo kikubwa cha kutoa movie za kijinga.
Hao wenyewe wana makosa mengi tu. Tena mengi sio ya kibajeti ni uzembe tu. Nafikiri wanahitaji kwenda darasani kwanza.Bongo muvies wapo vizur upande wa comedy tuh kwa upande wangu mfan kina mkojan na tim yake pia
Lakn kuna jamaa anaitwa Madebe au Nabii mswahil yupo vizur muvie zake zinafaa na zina ujumbe mzur
Zaid ya hapo amn lolote watu weng wanapenda action muvies na bongo tumefel hapo
Kuuza watamuuzia nani mkuu. Bongo molvie wana makosa mengi sana, hakuna uhalisia kwenye kazi zao. Shida ya bongo movie ni ubora, wakiboresha watapata pakuuzia.Sikumaanishe waweke movie zao Netflix, ubora uko chini bali watengeneze streaming platform kama Netflix maana shida kubwa ya Bongomovie kwa sasa ni kukosa platform ya kuuza kazi zao.
uko sahihi.Mtu anayesema bora comedy hajaona comedy za kenya.Sisi mtu akikaza na style ya comedy basi atakaza nayo hadi izoeleke.mfano mkojani ingebid awe ashatafuta ubunifu mwingine zaidi ya lafudhi yake ya kipemba