Biashara ya nafaka ina umafia mwingi. Kwa wanaotarajia kuanza kuuza nafaka chukueni tahadhari

Biashara ya nafaka ina umafia mwingi. Kwa wanaotarajia kuanza kuuza nafaka chukueni tahadhari

Hata biashara ya wanyama ni mbaya. Niliwahi kununua Ng'ombe Mia kutoka Mbeya kwa ajili ya kuja kuuza Dar.

Kufika Iringa nikakuta Ng'ombe wote wamekonda.

Sijui wale wahuni waliwapiga sindano wale

Kufikika kibaha nilikokuwa napaki 21 wakafa
Pole sana bro, inahuzunisha na pia inatuchekesha sana kwa sie ambao bado hatujaingia kwenye biashara.
 
Huo sio umafia ni upuuzi.

Siku nilipojua kwamba mawe yanawekwa ktk mchele ili kuzidisha kilo,na mchele unapakwa mafuta ili ung'ae kuonekana ni mpya,nilijiskia aibu sana kuwa mbongo.

Kuna vitu vya kijinga vinatughalimu sana hasa mbele huko ktk masoko ya watu makini,nimekumbuka story ya wanunuzi wa pamba kukuta mawe ktk marobota[emoji2961][emoji2961][emoji2961]
Mchele haupakwi mafuta ili ung'ae. Mchele unapakwa mafuta ili kuzuia usipate fungus kama utakaa muda mrefu store na ukapata unyevunyevu.

Usipopaka mafuta, kuna hali hutokea ukikaa store muda mrefu unatengeneza kama vumbi hivi ambalo litatengeneza wadudu kama funza ambao watakuja kuzaa wadudu fulani hivi wadogo size kama ya sisimizi wanaharufu mbaya kama jasho la beberu la mbuzi.

Wale wadudu wakikaa humo kwenye mchele wanautemea ile harufu ya mbuzi mchele unakuwa unanuka kama ulilaliwa na beberu la mbuzi, ukipika ile harufu ndio utaipata kwenye ladha muda wote.

So usiozungumze jambo bila kufahamu ukweli wake kutoka eneo husika kwa wahusika.

Kuhusu mawe, kwann ununue mchele ambao umeshapakiwa kwenye mifuko?

Unakoboa mpunga kiroba kimoja unautest kwa kuutafuna utaona ladha yake.

Mbegu nzuri ni ile ya Zambia ambayo imelimwa sana Kyela na Kamsamba, hizi mbegu za kisasa kama "Saro 5" ni takataka na hazina ladha kabisa.

Jambo lingine mashine za kisasa huwa zinatenga Pumba,Mawe,Chenga na Mchele visiwe pamoja. So ukiona mchele wako una mawe jua kuna mtu kaumimina kwa mkono ila sio kutoka gunia la mpunga maana mashine inayatoa mawe yenyewe na kuyatupa kando.

So nadhani haya maelezo yatakupa mwanga kidogo.
 
Hata biashara ya wanyama ni mbaya. Niliwahi kununua Ng'ombe Mia kutoka Mbeya kwa ajili ya kuja kuuza Dar.

Kufika Iringa nikakuta Ng'ombe wote wamekonda.

Sijui wale wahuni waliwapiga sindano wale

Kufikika kibaha nilikokuwa napaki 21 wakafa
Usisafiri nao kipande kirefu bila chakula kizuri kwa maana watachoka na wataishiwa nguvu.
 
Ushawahi kufanya biashara ya Mbao wewe? Omba Mungu sana yasikukute[emoji3][emoji2][emoji1][emoji16]

Vipi kuhusu Malimbichi? We dalali uliyenidhulumu Mahindi yangu ya Gobo niliyohangaika nayo miezi 4 huku Makete Mungu anakuona.
Kuna ndugu yangu na hela zake za mawazo miaka hiyo ya 1990's alienda kutest biashara ya mkaa. Akabeba kwenye lori kubwa mkaa top.

Balaa likaja kuna mpuuzi alikuwa anavuta sigara sijui alitupa kipisi mule ndani ule upepo kitu kikakolea, balaa lake ni masaa machache baadae. Moto uliowaka ulikuwa sio mchezo maana ulikolea kuanzia chini kuja juu, ukalipuka ghafla ukiwa umeshashika vizuri hapo kati kmmmke ilikuwa ni comedy moja matata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna ndugu yangu na hela zake za mawazo miaka hiyo ya 1990's alienda kutest biashara ya mkaa. Akabeba kwenye lori kubwa mkaa top.

Balaa likaja kuna mpuuzi alikuwa anavuta sigara sijui alitupa kipisi mule ndani ule upepo kitu kikakolea, balaa lake ni masaa machache baadae. Moto uliowaka ulikuwa sio mchezo maana ulikolea kuanzia chini kuja juu, ukalipuka ghafla ukiwa umeshashika vizuri hapo kati kmmmke ilikuwa ni comedy moja matata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inasikitisha, nilichofanyiwa kwenye mbao pamoja na kwenye Gobo. Mungu anaona.
 
Mchele haupakwi mafuta ili ung'ae. Mchele unapakwa mafuta ili kuzuia usipate fungus kama utakaa muda mrefu store na ukapata unyevunyevu.

Usipopaka mafuta, kuna hali hutokea ukikaa store muda mrefu unatengeneza kama vumbi hivi ambalo litatengeneza wadudu kama funza ambao watakuja kuzaa wadudu fulani hivi wadogo size kama ya sisimizi wanaharufu mbaya kama jasho la beberu la mbuzi.

Wale wadudu wakikaa humo kwenye mchele wanautemea ile harufu ya mbuzi mchele unakuwa unanuka kama ulilaliwa na beberu la mbuzi, ukipika ile harufu ndio utaipata kwenye ladha muda wote.

So usiozungumze jambo bila kufahamu ukweli wake kutoka eneo husika kwa wahusika.
MKuu ukijua ya mbele haina maana unajua na ya nyuma,biashara zina mambo mengi,wewe unajua hilo moja.
Kuhusu mawe, kwann ununue mchele ambao umeshapakiwa kwenye mifuko?

Unakoboa mpunga kiroba kimoja unautest kwa kuutafuna utaona ladha yake.

Mbegu nzuri ni ile ya Zambia ambayo imelimwa sana Kyela na Kamsamba, hizi mbegu za kisasa kama "Saro 5" ni takataka na hazina ladha kabisa.

Jambo lingine mashine za kisasa huwa zinatenga Pumba,Mawe,Chenga na Mchele visiwe pamoja. So ukiona mchele wako una mawe jua kuna mtu kaumimina kwa mkono ila sio kutoka gunia la mpunga maana mashine inayatoa mawe yenyewe na kuyatupa kando.
nimeandika kwa utulivu kabisa kwamba watu wanatia mawe ktk mchele ili kuzidisha kilos,wewe unazungumzia mpunga!!!
So nadhani haya maelezo yatakupa mwanga kidogo.
Unaijua sababu ya kwanini mchele wa mbeya pamoja na uzuri wake bado hauko ktk orodha ya mchele bora sokoni ktk nchj zetu hizi za kusini mwa sahara???
 
Mchele mashambani kilo now 1200 kilo 100 ni 120,000 wastani,, yaani unataka kuniambia kuna mkulima anaweza punguza mchele kilo 2 au 1 alafu aweke mchanga katika kila gunia apate nini ..2400 hiyo au 1200 kwanza kilo tuu ya mchanga ukiitia katika mchele kiroba hautakua na mchele hapo na utaonekana tu,,
Uhuni na changamoto zipo katika kila biashara kikubwa umakini na ufanye biashara na watu sahihi na makini
 
MKuu ukijua ya mbele haina maana unajua na ya nyuma,biashara zina mambo mengi,wewe unajua hilo moja.

nimeandika kwa utulivu kabisa kwamba watu wanatia mawe ktk mchele ili kuzidisha kilos,wewe unazungumzia mpunga!!!

Unaijua sababu ya kwanini mchele wa mbeya pamoja na uzuri wake bado hauko ktk orodha ya mchele bora sokoni ktk nchj zetu hizi za kusini mwa sahara???
MKuu ukijua ya mbele haina maana unajua na ya nyuma,biashara zina mambo mengi,wewe unajua hilo moja.

nimeandika kwa utulivu kabisa kwamba watu wanatia mawe ktk mchele ili kuzidisha kilos,wewe unazungumzia mpunga!!!

Unaijua sababu ya kwanini mchele wa mbeya pamoja na uzuri wake bado hauko ktk orodha ya mchele bora sokoni ktk nchj zetu hizi za kusini mwa sahara???
Kwanini mkuu mchele wa mbeya hauko kwenye hiyo orodha?
 
Back
Top Bottom