Biashara ya nafaka ina umafia mwingi. Kwa wanaotarajia kuanza kuuza nafaka chukueni tahadhari

Biashara ya nafaka ina umafia mwingi. Kwa wanaotarajia kuanza kuuza nafaka chukueni tahadhari

Mchele mashambani kilo now 1200 kilo 100 ni 120,000 wastani,, yaani unataka kuniambia kuna mkulima anaweza punguza mchele kilo 2 au 1 alafu aweke mchanga katika kila gunia apate nini ..2400 hiyo au 1200 kwanza kilo tuu ya mchanga ukiitia katika mchele kiroba hautakua na mchele hapo na utaonekana tu,,
Uhuni na changamoto zipo katika kila biashara kikubwa umakini na ufanye biashara na watu sahihi na makini
Wewe unadhani watu tunaandika humu ni mazuzu? Wale jamaa wanakuruhusu uukague mchele kwa juu ni mali safi na kati kati ni mali safi ununue sasa uufikishe dukani ndio utajua hujui.

Hata karanga ukiingia kichwa kichwa unauziwa zenye changarawe na ni ma fundi wazuri wa kufanya umafia ktk namna ambayo hutaielewa.

Suliuhisho ni kulima mwenyewe ndio uuze.
 
Hali ya janjajanjs ikiendelea hivi, Tanzania itaipiku Nigeria kwenye tasnia ya utapeli
Watu humu wqnajifanya wajuaji wakati hawajawahi hata kuuza pipi.

Mtu anakuambia ukomae na hiyo hiyo wwkati umechoma milioni mbili kwa awamu mbili tofauti.

Kama unataka kuwajua vizuri wauza mchele walivyo wezi wewe nenda mashineni umeshikilia kiroba watakupigania kama wapiga debe, na hao ni madalali, picha kamili ni kwenye mchele wenyewe. Hiyo biashara ingekuwa nyepesi madalali wasingejazana mashineni kwa wingi kuliko idadi ya wateja
 
Yaani Wateja wakienda Dukani wanaulizia mchele wa Mbeya, wauzaji ili wauze wanasema "Mchele wa Mbeya".

Sasa sijaelewa mwenzangu unaongelea mchele gani wenye ubora mzee?
Mchele upo wa aina nyingi sana kulingana na mbegu, changamoto mchele mtamu ukiulima unakuwa mwepesi alafu unatoa magunia kidogo yaami ndivyo ulivyo. Ila kuna mwingine ni mzito alafu wali wake hauna radha
 
Haya mambo omba yasikukute ndio maana wengi wanaogopa kuingia au wameacha kabisa issue za biashara. Ni challenges kwa kwenda mbele, japo ukiipatia biashara utajiri ni kufikia tu
Huo sio umafia ni upuuzi.

Siku nilipojua kwamba mawe yanawekwa ktk mchele ili kuzidisha kilo,na mchele unapakwa mafuta ili ung'ae kuonekana ni mpya,nilijiskia aibu sana kuwa mbongo.

Kuna vitu vya kijinga vinatugharimu sana hasa mbele huko katika masoko ya watu makini, nimekumbuka story ya wanunuzi wa pamba kukuta mawe ktk marobota🤮🤮🤮
 
Sukari inachanganywa na mchele ili wapige faida.
Huo sio umafia ni upuuzi.

Siku nilipojua kwamba mawe yanawekwa ktk mchele ili kuzidisha kilo,na mchele unapakwa mafuta ili ung'ae kuonekana ni mpya,nilijiskia aibu sana kuwa mbongo.

Kuna vitu vya kijinga vinatugharimu sana hasa mbele huko katika masoko ya watu makini, nimekumbuka story ya wanunuzi wa pamba kukuta mawe ktk marobota🤮🤮🤮
 
Mchele mashambani kilo now 1200 kilo 100 ni 120,000 wastani,, yaani unataka kuniambia kuna mkulima anaweza punguza mchele kilo 2 au 1 alafu aweke mchanga katika kila gunia apate nini ..2400 hiyo au 1200 kwanza kilo tuu ya mchanga ukiitia katika mchele kiroba hautakua na mchele hapo na utaonekana tu,,
Uhuni na changamoto zipo katika kila biashara kikubwa umakini na ufanye biashara na watu sahihi na makini
Shambani kuna mpunga sio mchele
 
Wewe unadhani watu tunaandika humu ni mazuzu? Wale jamaa wanakuruhusu uukague mchele kwa juu ni mali safi na kati kati ni mali safi ununue sasa uufikishe dukani ndio utajua hujui.

Hata karanga ukiingia kichwa kichwa unauziwa zenye changarawe na ni ma fundi wazuri wa kufanya umafia ktk namna ambayo hutaielewa.

Suliuhisho ni kulima mwenyewe ndio uuze.
Unadhani kulima rahisi?
 
Biashara yoyote ile huwa na changamoto zake. Walanguzi wengi sio waamifu. Hata wauza nguo nao wakikusimulia changamoto zao unaweza kukimbia. Mtu anafungua mzigo anaku tana na nguo za ndani za watoto wakati yeye aliagiza suruali.

Ukishaamua kuwa mfanyabiashara, anza kwanza kwa kufanya utafiti na kujifunza pia kwa waliokutangulia ambao ni waamifu. Maana ukikutana na tapeli watakuingiza chaka.
Kwa kifupi kila aina ya biashara inahitaji uzoefu na elimu ya hiyo biashara husika.
Matapeli wapo kwenye kila aina ya biashara,huwa kazi yao ni kuvizia watu ambao ni wageni kwenye hiyo biashara ili wawaingize mjini.
Cha msingi ni kutulia na kujifunza biashara husika unayotaka kuifanya bila kukurupuka.
 
Ushawahi kufanya biashara ya Mbao wewe? Omba Mungu sana yasikukute😀😃😄😁

Vipi kuhusu Malimbichi? We dalali uliyenidhulumu Mahindi yangu ya Gobo niliyohangaika nayo miezi 4 huku Makete Mungu anakuona.
Hivi hakuna uwezekano wa kufanya biashara bila kuhusisha dalali? Hawa watu nawachukia kama nyoka.
 
Kwa kifupi kila aina ya biashara inahitaji uzoefu na elimu ya hiyo biashara husika.
Matapeli wapo kwenye kila aina ya biashara,huwa kazi yao ni kuvizia watu ambao ni wageni kwenye hiyo biashara ili wawaingize mjini.
Cha msingi ni kutulia na kujifunza biashara husika unayotaka kuifanya bila kukurupuka.
Uko sahihi. Kuitwa mfanyabishara ni uzoefu siyo kuwa na fedha za kununulia mali. Infact kwenye biashara uzoefu ni kitu kigumu kupata kuliko mtaji.
 
Back
Top Bottom