Aisee , hizi roho za kishetani wabongo sijui huwa tunazitolea wapiNiliwahi kufanya biashara ya mafuta ya alizeti..
Wahuni wakanichanganyishia na maji kwenye madumu ya njano.
Nafikisha sokoni juu mafuta chini maji.. dadeki nilijifunza kitu! Umakini na kufanya kazi kwa watu makini
Aisee umeandika kitu kizito ,mwaka juzi nilikuwa nataka kuanza hii biasharaBiashara ya mahindi ni nzuri sana kama ukiuzia nje ya nchi,mfano kenya au sudan kusini, ikiwa uko mikoa ya arusha au manyara ni bora zaidi, ila sasa! Ni hadi uunge chain na wafanyabiashara wazoefu,wakubali kukupa ushirikiano na kukupa hints kadha wa kadha,otherwise hawa ndiyo ma mafia wenyewe,nipo kwenye circle ya biashara hiyo,ila kwa angle tofauti,kuna jamaa alijiingiza kibabe kwenye game bila kusajiliwa kwenye chama cha wafanyabiashara ya nafaka huko arusha, kilichomkuta alijuta, mzigo wa tani 30 ulizuiliwa mpakani namanga,akaambiwa yana aflatoxin,marufuku kuingia kenya, alipambana kuhonga na nini lakini hakufanikiwa kuuingiza,, ipo hivi=mfanyabiashara wa mazao anayeuzia kenya anapaswa kuwa na namba za askari wa barrier zote kutokea arusha mpaka sokoni kenya,na pale border vilevile, kwa hiyo mzigo ukifika kabla haujafika barrier askari wanajua mzigo wa fulani unakuja,border vilevile,na wanakuwa kwenye payrol yako,unakuwa unawatoa kwa chochote kitu, sasa kama hujulikani wale wazoefu wakijua unapeleka mzigo, simu zinapigwa kote, zuieni huo mzigo! Baba hupiti!! Ukivuka barriers zote safari yako inaishia namanga, utatoboka hela hadi mzigo unakupiga hasara takatifu, pale border mwishoni watakuja wafanyabiashara wazoefu, wakukatishe tamaa kabisa, kisha wakuambie uwauzie wao kwa bei ya hasara, ukikubali(probably utakubali tu) wao wanayanunua, na kuyavusha kiulaini kabisa,unarudi home na hasara yako.
Soko la mahindi kenya ni kubwa sana hasa Mombasa na Nairobi ,Biashara ya mahindi ni nzuri sana kama ukiuzia nje ya nchi,mfano kenya au sudan kusini, ikiwa uko mikoa ya arusha au manyara ni bora zaidi, ila sasa! Ni hadi uunge chain na wafanyabiashara wazoefu,wakubali kukupa ushirikiano na kukupa hints kadha wa kadha,otherwise hawa ndiyo ma mafia wenyewe,nipo kwenye circle ya biashara hiyo,ila kwa angle tofauti,kuna jamaa alijiingiza kibabe kwenye game bila kusajiliwa kwenye chama cha wafanyabiashara ya nafaka huko arusha, kilichomkuta alijuta, mzigo wa tani 30 ulizuiliwa mpakani namanga,akaambiwa yana aflatoxin,marufuku kuingia kenya, alipambana kuhonga na nini lakini hakufanikiwa kuuingiza,, ipo hivi=mfanyabiashara wa mazao anayeuzia kenya anapaswa kuwa na namba za askari wa barrier zote kutokea arusha mpaka sokoni kenya,na pale border vilevile, kwa hiyo mzigo ukifika kabla haujafika barrier askari wanajua mzigo wa fulani unakuja,border vilevile,na wanakuwa kwenye payrol yako,unakuwa unawatoa kwa chochote kitu, sasa kama hujulikani wale wazoefu wakijua unapeleka mzigo, simu zinapigwa kote, zuieni huo mzigo! Baba hupiti!! Ukivuka barriers zote safari yako inaishia namanga, utatoboka hela hadi mzigo unakupiga hasara takatifu, pale border mwishoni watakuja wafanyabiashara wazoefu, wakukatishe tamaa kabisa, kisha wakuambie uwauzie wao kwa bei ya hasara, ukikubali(probably utakubali tu) wao wanayanunua, na kuyavusha kiulaini kabisa,unarudi home na hasara yako.
Hii ni hatari zaidi kuliko hiyo ya mpunga.Hata biashara ya wanyama ni mbaya. Niliwahi kununua Ng'ombe Mia kutoka Mbeya kwa ajili ya kuja kuuza Dar.
Kufika Iringa nikakuta Ng'ombe wote wamekonda.
Sijui wale wahuni waliwapiga sindano wale.
Kufikika Kibaha nilikokuwa napaki 21 wakafa.
Hapa ndipo waKenya wanapotupiga baoHuo sio umafia ni upuuzi.
Siku nilipojua kwamba mawe yanawekwa ktk mchele ili kuzidisha kilo,na mchele unapakwa mafuta ili ung'ae kuonekana ni mpya,nilijiskia aibu sana kuwa mbongo.
Kuna vitu vya kijinga vinatugharimu sana hasa mbele huko katika masoko ya watu makini, nimekumbuka story ya wanunuzi wa pamba kukuta mawe ktk marobota🤮🤮🤮
Hongera sana ndugu muelimishaji, uwepo wako ni muhimu sana.Mimi ni muelimishaji ujasiriamali naandika pia kitabu cha ujasiriamali ambacho nadhani ni fikirishi kinajaribu kutafakari kwanini biashara zinakufa na suluhu inayowezekana kwakifupi kinamuelimisha msomaji kujenga biashara ya kudumu kuna mambo mengi hayako sawa kwenye jamii ya waafrika kuhusu ujasiriamali na biashara hasa jinsi ya kukabiliana na tusiyoyatarajia ktk maishani na biashara
Nauza akili, (selling services), ni fundi wa vifaa vya kielecktroniki ,(general electronics repair), simu software and hardware, radio and tv repair, labda niseme chochote kinachopita mbele yangu km akili yangu ikiamua kuamsha ubongo wangu nitawezaHongera sana ndugu muelimishaji, uwepo wako ni muhimu sana.
Vipi kwa sasa hivi unafanya biashara gani Mkuu?
Wapima viwango kwenye local issues hapa bongo hawapo aiseeeHakuna nchi yenye mambo ya ajabu kama Bongo. Ukienda shamba huko ukikuta watu wananunua maparachichi kwa ujumla utangaa. Eti gunia moja wanaweka lumbesa linakuwa kama magunia mawili. Mimi huwa nasema kwa nini wasitumie kilo?
😂😂😂Nimeona mdau mmoja humu anahamasisha watu wazame bush wakanunue kwa bei ndogo walete mazao mjini wauze kwa bei kubwa ili wapige pesa.
Hili wazo ni zuri sana lakini ni vyema tupeane tahadhari. Katika biashara zenye umafia mwingi basi hii ya nafaka kwangu ndio namba moja kwa umafia yaliwahi kunikuta.
Nitatoa umafia niliokutana nao ila pia wadau wengine watakuja kuleta ushuhuda.
Miaka flani Niliwahi kuzama bush na milioni moja nikakusanya magunia ya mpunga 20 ya debe 6 yale nkaenda kukoboa kisha nkaweka kwenye fremu yangu lengo niwe nauza kwa bei ya jumla, ule mchele ulitoka vizuri mno changamoto ikawa wali wake ukipikwa hauna ladha, wateja wote wakanikimbia nikaanza kuuza reja reja kwa bei ndogo lakini bado wakanikimbia walikuja mwanzo mwanzo kisha wakaishia mitini.
Baada ya kufanya uchunguzi nikagundua niliuziwa mpunga uliokaa miaka mingi stoo (kumbuka niliununulia bush) pia ile mbegu ya huo mpunga hutoa kilo nyingi lakini wali wake hua hauma radha. Niliuza kwa bei ya hasara mzigo wote kwa wauza vitumbua.
Nkajipanga tena awamu hii nkaamua niende mashineni nikanunur mzigo kwa bei chee kisha niuze kwa bei ya hapo mtaani. Nilinunua kilo 500 kufikisha mzigo kwenye fremu wateja wakafurika nkauza sana hiyo siku. Nashangaa jioni watu wanarudisha mchele wanadai unamawe meupe. Kuuangalia vizuri ni yale mawe meupe wahuni walinipiga walaaniwe sana washenzi wale. Wateja wote wakanikimbia.
Nkajipanga tena nafika mashineni kuchukua mzigo nakutana na madalali wengi sana nkaona hii biashara pasua kichwa nkaachana nayo
Kwa mlio wahi kukumbana na umafia kwenye nafaka njooni hapa mtoe ushuhuda.
Asante mkuuUnapotaka kufanya biashara kama hiyo make sure una mwenyeji anaejua zao husika na aina zake na usisite kumtoa chochote
Nahisi Kwenye Tano Bora ya utapeli TANZANIA tupoNiliwahi kufanya biashara ya mafuta ya alizeti..
Wahuni wakanichanganyishia na maji kwenye madumu ya njano.
Nafikisha sokoni juu mafuta chini maji.. dadeki nilijifunza kitu! Umakini na kufanya kazi kwa watu makini
Mkuu kubali hukuwa mwenyeji. Kuna jamaa nilikutana nae anahitaji kununua mchele mashineni kipindi hicho nilikuwa nakoboa gunia 4 zangu kisha niuze na akaniomba nimuuzie ....nilimwambia bado sijajua kama utatoka vziei unaweza kuvunjika japo hii ni mbegu nzuri.Watu humu wqnajifanya wajuaji wakati hawajawahi hata kuuza pipi.
Mtu anakuambia ukomae na hiyo hiyo wwkati umechoma milioni mbili kwa awamu mbili tofauti.
Kama unataka kuwajua vizuri wauza mchele walivyo wezi wewe nenda mashineni umeshikilia kiroba watakupigania kama wapiga debe, na hao ni madalali, picha kamili ni kwenye mchele wenyewe. Hiyo biashara ingekuwa nyepesi madalali wasingejazana mashineni kwa wingi kuliko idadi ya wateja
sio mbongo sema ngozi nyeusiAisee , hizi roho za kishetani wabongo sijui huwa tunazitolea wapi
Mbongo ni mwizi na mharibifu sana ,sasa imagine Kenge aliyefanya hivyo na short aliyokupigisha , yaani jitu halioni aibu wala huruma
eeHata biashara ya wanyama ni mbaya. Niliwahi kununua Ng'ombe Mia kutoka Mbeya kwa ajili ya kuja kuuza Dar.
Kufika Iringa nikakuta Ng'ombe wote wamekonda.
Sijui wale wahuni waliwapiga sindano wale.
Kufikika Kibaha nilikokuwa napaki 21 wakafa.
Biashara ya mbao inashida gani mkuu !?Ushawahi kufanya biashara ya Mbao wewe? Omba Mungu sana yasikukute😀😃😄😁
Vipi kuhusu Malimbichi? We dalali uliyenidhulumu Mahindi yangu ya Gobo niliyohangaika nayo miezi 4 huku Makete Mungu anakuona.