Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Nani kasema ndege zina makosa?Hiki ndio nacho kitafuta mkuu, sasa kama ni hivyo kumbe ndege hazina makosa, sasa hapo ndege zina makosa gani. Wenye makosa waendeshaji wa shirika, kuanzia mkurugenzi hao ndio wenye makosa.
Ahsante Mkuu, ila nahitaji annual reports tokea shirika linafufuliwa kama inawezekana ili nifanye analysis as you did hapo juu..Kwa mujibubwa CAG leo...ile ripoti ni mpaka ipelekwe bungeni kuwa tabled ndipo inakuwa public document.
Nadhani bado haijafikishwa kwenye kikao cha bunge ili iwe released to the general public.
Kabla hujafikiria payback period, tafuta kwanza kama gharama ya ununuzi au ukodishaji wa ndege umeingizwa kwenye hesabu za kampuni (mtaji). Nijuavyo ATCL haimiliki hizo ndege. Imepewa na serikali (mmiliki) kuzifanyia biashara tu. Yaani serikali inaikodisha ATCL ndege. Je, serikali inaitoza ATCL gharama ya kuzikodi kwa vipindi maalum au inawapa bure?Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla payback period haijafika
ni vyema unapotwambia imeingiza hasara uwe unatupa na pay back period ilikua ni miaka mingapi. Na je tayari ilishafikiwa. Ila kama hiyo hasara unaikokotoa bila kutwambia payback period ilikua ni miaka mingapi hapo watanzania utawachanganya.
Mimi nadhani tungepewa hesabu nzima, tusiandikiwe tu hasara.
Tupewe pesa iliyotumika kufanya investiment ni kiasi gani kwa ndege zote.
Alafu tuambiwe kila ndege zinaingiza kiasi gani kwa mwaka.
Hiyo ndio hesabu tunayoitaka,
Mimi nacho kijua na kukielewa hiyo ni long term business ambayo inatumia higher investiment. Hivyo haiwezi kuleta faida kabla haijafikia payback period.
Twambie kwanza pay back period ilikua ni ya miaka mingapi ndipo uje na hiyo hesabu ya hasara.
Ukitwambia tu hasara hatuwezi kuelewa vizuri.
Maana bado siijui payaback period
Ipo miradi mingi mikubwa ambayo ikiianza usitegemee kupata faida ndani miaka minne, it's impossible. Tuna mradi wa LNG, huo mradi payback period yake ni ndefu sana. Tusitegemee kuja kuanza kupata faida ndani ya muda mfupi. Katika Biashara kubwa lazima uwe mvumilivu.
Mimi kiukweli ningependa kusikia tu return of investiment imefikia kiasi gani basi. Hapo ningechakachua kichwa na kujua wapi tunaelekea.
Biashara ya ndege popote dunian ni lazima kuwe na startegies za muda mrefu na muda mfupi plus watu sahihi wa kuliendesha shirika that why even fly emirates pamoja na pesa nyingi na ushawishi walionao familia ya kifalme Al Maktoum royal family lakin bado walihitaji watu wenye uwezo kuliendesha shirika lao mtu kama Sir tim clark na sio hao wajanja wajanja wa ATCL!!!!!!Nani kasema ndege zina makosa?
Watu wanasema aliyenunua ndege ndio kakosea kwa sababu ametumia pesa zetu za kodi kuwekeza mahali pasipoweza kutengeneza faida. Ulikuwa ni uwekezaji mbovu wa pesa za serikali.
Alinunua ndege za nini?
Nani alimtuma kununua ndege?
Tatizo la msingi la ATCL halikuwa kukosa ndege zake binafsi, tatizo liko kwenye muundo mzima wa shirika.
Mkuu faida ni pale mapato yanapozidi operating expenses kwa mwaka husika bila kujalisha mnaanza or not.WENXZKO WNATAKA NDGE ZIKILVYONUNULIWA ZILETE FAIDA MWAKA WA KWANZA
Mkuu faida ni pale mapato yanapozidi operating expenses kwa mwaka husika bila kujalisha mnaanza or not.
Mfano 2016 hasara lilikua $6 Million ila 2017 ikashuka mpaka $1.9 Million how on earth trend inayoonyesha improvement ghafla spikes hadi $25 Million?
Embu tusaidiane hapo.... unless ungesema covid ila kma una utetezi cjui ni mapema hiyo 2017 waliwezaje?
Mkuu Hizi ripoti za mahesabu nazinyaka wapi?
Kindly nisaidie.
Best analysis so far.... Umeeleweka 100%Tofautisha vitu viwili..
1. Return of Investment
Yaani kurudisha mtaji uliouwekeza kwenye biashara na biashara ikaendelea kuwepo.
2. Return on Investment
Yaani hapa sasa faida inaanza kuingia baadaya mtaji kurudi.
Hili la ATCL kujiendesha kwa hasara maana yake ni kuwa kwa trend inayoenda nayo, yaani operating income kuwa juu kuliko revenues(mapato) maana yake hiyo biashara haiwezi kamwe kurudisha mtaji(return of Investment)...achilia mbali kuleta faida(return on Investment)...itaenda kufa tu.
Mfano...kwa mwaka shirika litumie bilioni 100 ktk uendeshaji wa shughuli zake...kama ku service ndege..kulipa wafanyakazi n.k...baada ya kufanya kazi kwa mwaka mzima likapata mapato ya bilioni 40....hapo kuna hasara ya bilioni 60...yaani hata gharama za matumizi hazijarudi zote. Negative growth.
Hiki ndicho kinacholikumba shirika letu...linatumia costs nyingi kujiendesha..lakini mapato yanakuwa madogo kuliko matumizi. Hivyo financial statements zikiandaliwa lazima kuwe na loss...hakuna faida.
Hii ni tofauti na endapo kama ATCL ingekuwa inajiendesha kwa faida for the past 5 years...mfano kama kwa mwaka shirika limetumia bilioni 100 kujiendesha na likapata mapato ya bilioni 140 kwa mwaka...hapa litakuwa na faida ya 40 billion..positive growth.
Kuhusu kurudisha mtaji..
Biashara ambayo ina positive growth...ndiyo inaweza kurudisha mtaji na baadaye kuanza kuleta faida. Na hili linaonekana ktk hesabu za shirika za kila robo au mwaka....kuwa kuna ukuaji chanya unaoelekea kurudisha mtaji wa hela ya ndege zote na other costs
Kukiwa na profit..basi ni rahisi kupiga hesabu kuwa baada ya muda fulani mtaji uliowekezwa utarudi. Lakini hata kujiendesha kwenyewe tu ni kwa hasara...hapo sahau kurudi kwa mtaji....hela zetu za kodi ndizo zitazidi kuumia.
Hizi akili nyingine jamani daaa!!ila pale ulipokuwa unaambiwa kuwa zimeleta faida ya bilioni28 hiyo payback, ilikuwa tayari?!!!Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla payback period haijafika
ni vyema unapotwambia imeingiza hasara uwe unatupa na pay back period ilikua ni miaka mingapi. Na je tayari ilishafikiwa. Ila kama hiyo hasara unaikokotoa bila kutwambia payback period ilikua ni miaka mingapi hapo watanzania utawachanganya.
Mimi nadhani tungepewa hesabu nzima, tusiandikiwe tu hasara.
Tupewe pesa iliyotumika kufanya investiment ni kiasi gani kwa ndege zote.
Alafu tuambiwe kila ndege zinaingiza kiasi gani kwa mwaka.
Hiyo ndio hesabu tunayoitaka,
Mimi nacho kijua na kukielewa hiyo ni long term business ambayo inatumia higher investiment. Hivyo haiwezi kuleta faida kabla haijafikia payback period.
Twambie kwanza pay back period ilikua ni ya miaka mingapi ndipo uje na hiyo hesabu ya hasara.
Ukitwambia tu hasara hatuwezi kuelewa vizuri.
Maana bado siijui payaback period
Ipo miradi mingi mikubwa ambayo ikiianza usitegemee kupata faida ndani miaka minne, it's impossible. Tuna mradi wa LNG, huo mradi payback period yake ni ndefu sana. Tusitegemee kuja kuanza kupata faida ndani ya muda mfupi. Katika Biashara kubwa lazima uwe mvumilivu.
Mimi kiukweli ningependa kusikia tu return of investiment imefikia kiasi gani basi. Hapo ningechakachua kichwa na kujua wapi tunaelekea.
h
hapo ndipo wanapokosea hata biashara za kawaida hazipo hivyo. Sasa yeye hiyo hasara anaipataje ndani ya hii miaka minne. ilitakiwa tupewe hesabu zinazoeleweka. Tueleze return of investiment imefika kiasi gani
Mbona huko nyuma tuliambiwa shirika limetengeneza faida na gawio likatoka,hiyo faida ilitoka wapini kweli mkuu, sasa hapo anawaogopesha watanzania ni vyema angetuorozoshea kwanza zile fedha zilizowekezwa kama tayari zimesharudi then atupatie na kipindi cha Kurudisha kilikua ni miaka mingapi alafu atwambie sasa hizo ndege zinaingiza fedha kiasi gani kwa kila mwaka kabla ya kukokotoa hasara au faida.
Kwasababu kwa mtaji ulizowekezwa kwa kila ndege sitegemei shirika kuanza kupata faida haraka kiasi hicho.
bado hawajaupload mkuu wakiweka nitaleta jamviniWapi Mkuu naweza pata ripoti ya CAG?
Kuna hasara na pia kuna faida imetumika kulipa deni ni kauli mbili tofauti hizi mkuuni kweli mkuu, sasa hapo anawaogopesha watanzania ni vyema angetuorozoshea kwanza zile fedha zilizowekezwa kama tayari zimesharudi then atupatie na kipindi cha Kurudisha kilikua ni miaka mingapi alafu atwambie sasa hizo ndege zinaingiza fedha kiasi gani kwa kila mwaka kabla ya kukokotoa hasara au faida.
Kwasababu kwa mtaji ulizowekezwa kwa kila ndege sitegemei shirika kuanza kupata faida haraka kiasi hicho.
Tanzania hatuna uchumi wa kupanda panda ndege bado. Sie tunamudu mabasi tu.Hapo sawa jombaa kama maelezo yako ni ya kweli! Je ikafika mwaka ambapo gharama ikawa kubwa kuliko gharama walizojipangia! Hapo tunapaitaje kitaalamu??? Au ikafika mwaka gharama ikawa ndogo kuliko kiasi walichojipangia! Na hapo kitaalamu tunaitaje?? Please naomba ufafanuzi.