Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

... unaunganishwa mabint wadogo kabisa wanajihusisha na hii biashara ...

Nawasilisha

I wonder, sijui mamlaka husika zinafuatilia haya mambo ili kudhibiti kushamiri kwa shughuli za pedophiles na traffickers manake mabinti wengi (underage) hapa TZ hujifanya wajuaji kumbe wanaishia kuvurugwa sana na pedophiles na kupotelea “majalalani”. Sad.
 
Tukajilie sie
20200518_190935.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Minah almanusra nimle pind bado underground.

Aliletwa na rafk ake,malaya mmoja sugu anaitwa asha Kei wa pale ambiance.

Utoto utoto mwng, tukakubaliana mtungo wa mtu 3 kwa mbili .

akakubari na akala advance yetu.

Alpokunywa TU bia zetu&nyama akatokomea gizani.

Ikabd Asha kei atataftie mwngn, maana wahuni wasingemwelewa.

Mkuu, nipe connection ya Vera njitose, maana naskia mambo yake supa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Daah we noma mkuu
 
Wengine matapeli hao.
Wewe jichanganye

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi Mkuu, Kama wiki nilijua kitu hicho kuwa Kuna matapeli huko kupitia hii maneno.

Nilimtega nitumie picha za Demu/ Malaya wa eneo Hilo nichague. Akatuma picha za zamani, nilizoziona 2015,

Akasema hao hapo chagua mmoja lipia 5000, nikuunganishe.
Nikamwambia endelea kuwatapeli wengine. Akaporomosha tusi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafuu nijinyamazie tu nadhani hiyo kitu ni ya hali ya juu sana ndo maana mnazificha. ati play sore ndo nini?? Weka tu hapa wengine mnazidi kutuchanganya
Inaonyesha hata simu yako huijui, Play store ndiye sehemu PEKEE kwa Android phones kupata Apps mbalimbali.

Jitahidi kujifunza kutumia simu yako.

Au umeamua kusumbua mahakama tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya kuuza papuchi haijaanza leo, ila hii teknolojia tu ndio inazidi kuiboresha.

Kama kipindi hiki ukiwa zako ndani kama hutoki badala ya kuita UBER unaita zako tu mchumba mnarushana roho. 😅
 
Back
Top Bottom