Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Wengine tuna kinyaa... mi binafsi sijawahi kutafuta malaya hata maisha ya chuo niliishi hivyo,
Kuna siku nilifka chako ni chako saa 7 usiku aisee ni hatari
Huko chako ni chako ni wapi?
 
Iliwahi kunikuta hiyo,miezi mitatu sikuishi kwa amani ....Glory to GOD ilipita nikakutwa Niko salama

Nikajiunga na chama cha wachangia damu😂😂
Kama nakuona ulivokua ukiota ndoto mbaya mbaya za what if nikikutwa nao, ila unajipa matumaini aah hakukua na michubuko 😂 sasa ni wangapi wanaopasukiwa hivo kwa huyo dada ni risk🤔
 
Hii kitu kwangu ngumu, sidhani kama nitakuja kuifanya. Nina kinyaa..
 
Hii kitu kwangu ngumu, sidhani kama nitakuja kuifanya. Nina kinyaa..
Kama una kinyaa anza kuandaa mke wako tangia darasa la nne na uhakikishe hakuna mtu anaemgusa hadi unamuoa.
Unaoa mke primary alipigwa, sekondari alipigwa na ticha akapigwa na wanafunzi, A- level kapigwa na bodaboda, chuo kaishi chumba kimoja na mshkaji miaka 3 kachomoa mimba 5. Alivyoenda field kapigwa na mabadboy wa ofisini.
Wewe unakuja kuoa mtu wa 30 halafu unadai una kinyaa?
 
nimemshangaa snaa huyo jamaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna tofauti mkuu, imagine mtu katoka wewe unaingia..aaagrr!
 
Sawa ila ushasema najuaje means sijui sasa vipi kwa yule unayejua kabisa katoka kubanduliwa na ukitoka wewe kuna mwingine anakuja kubandua hapo hapo hausikii ukakasi hapo?
Nasikia utelezi kwa kuwa amenisaidia kulainisha
 
Niliwahi kwenda mara moja pale Temeke sudani kwa Wahaya aisee nakumbuka kipindi hicho ilikuwaga Buku goli moja fasta
 
Mwaka 2015 nilikuwa mara nyingi natembea kwa miguu toka Ubungo mpaka Mabibo Hostel, kuna mwanangu tulikuwa tunapiga mishe wote.Basi wiki iliyopita nimetoka zangu Job mida kama ya saa nne kasoro nimeshuka kwenye mwendo kasi ,nikaenda kuvizia daladala pale Ubungo power plant gari hazi simami,nikaamua nitembee kwa miguu mpaka Riverside. Yaani ile namaliza daraja kwa mbele nakutana na lundo la machangudoa.

Aisee daah mpaka nikajiuliza wameanza lini, yaani niliwaona mabinti wazuri mno kuanzia juu mpaka chini,wengine wamefungasha kisawasawa wanajiuza.So naona watu wa Ubungo huduma mmesogezewa, ila kununua malaya yataka ujasiri si wengine sijui tuna kinyaa.

Ila cha ajabu malaya nao wanakuwa na wivu sana kwa mabwana zao wanao wapenda, wanawahonga,sometimes mpaka kuwalea. Kuna mmoja alikuwa anakaa home kipindi nipo advance, alikuwa mmanyema, shepu kama lote, alikuwa anajuuza maeneo ya Sinza. Alikuwa na jamaa mmoja dereva wa bajaj,jamaa alikuwa anapewa hela, anafuliwa na kupikiwa,yy kazi yake ilikuwa kupiga show tu.
 
PM namba yake
 
Kwenye hii habari sioni kipya kisichojulikana, habari imekuwa 'too normal'
 
mkuu
mkuu huwa unatumia juice ya ukwaju chukua nitalipia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…