Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Sasa maisha ya watu yanahusu nini huku???
Kama hujaelewa mada unawashwa nini. Si uulize vizuri ama


Labda nikusaidie kidogo..
Lambo ndo kijiwe haswaa cha ukahaba. Ni motel. Hapohapo manzese tip top. Zamani kituo cha chama. Ila lambo pamepooza siku hizi baada ya sekeseke

Mziwanda ni next kichochoro hapohapo. Ni kijiwe kingine. Kijana aliyeachiwa urithi yeye mwenyewe ni mdau wa hizi mbishe. Ile mziwanda inn kaongeza vyumba. Humo ndo mishe zinapigwa. Watu wanalipia kwa bao ama dakika kadhaa. Humohumo kikana amekusanya wanawake aliowazalisha. Na wanaishi na watoto wao hapohapo. Wewe unaona ni sawa? Maisha ya watu wakati yanaathiri maisha ya wengine? Hasa watoto? Arrogant
 
Ni hatari sana na wanaume wanaonunua wana roho ngumu na hawana kinyaa yaani unajua kabisa unaweza ukawa ni 13 hivi kwa siku hiyo na bado unaenda na wewe sehemu walipotoka wenzio🤔
Huyo ke wako alikuwa Bikra?? unadhani huchapiwi kisiasa wewe?!!! Pima DNA mtoto wa kati km ni wako!! tena kitakwimu ndoani mnaoongoza kwa ukimwi kuliko hao Ma CD!!! utashangaa mbinguni wanaenda kiulaini! km hujui hao ndo wa kuoa kabisaa!

umalaya wa Dangulo ulikuwepo hata kabla ya Yesu, na mpaka leo unarindima Shetani anabadili destiny zao maksudi! hao wanavipaji sana km wakipata mtu sahihi!!

Hivi unajua mfalme Suleiman ni matokeo ya umalaya wa mfalme Daudi? dhidi ya mke wa Huria? na ndo alirithi ufalme wa israel kafanya makubwa ya Mungu kuliko wale wa halali ya ndoa mfano Abosalom ni mtoto halali wa ndoa lkn alitaka kumuua mfalme Daudi, au umeamua kuropoka tu!
 
Huyo ke wako alikuwa Bikra?? unadhani huchapiwi kisiasa wewe?!!! Pima DNA mtoto wa kati km ni wako!! tena kitakwimu ndoani mnaoongoza kwa ukimwi kuliko hao Ma CD!!! utashangaa mbinguni wanaenda kiulaini! km hujui hao ndo wa kuoa kabisaa!

umalaya wa Dangulo ulikuwepo hata kabla ya Yesu, na mpaka leo unarindima Shetani anabadili destiny zao maksudi! hao wanavipaji sana km wakipata mtu sahihi!!

Hivi unajua mfalme Suleiman ni matokeo ya umalaya wa mfalme Daudi? dhidi ya mke wa Huria? na ndo alirithi ufalme wa israel kafanya makubwa ya Mungu kuliko wale wa halali ya ndoa mfano Abosalom ni mtoto halali wa ndoa lkn alitaka kumuua mfalme Daudi, au umeamua kuropoka tu!
Hee mkuu kwanza mimi siyo me, nna mbususu pili sina mtoto hata wa kusingiziwa na je wapi niliporopoka hadi unishushie mpovu huo wa omo ? Kusema unaenda walipotoka wenzio ni kuropoka? We nyau vipi wewe
 
Makahaba 'wengi' hawana magonjwa, wenye magonjwa 'wengi' wao ni wale waliingia huko baada ya kujigundua wanayo.
Dah sasa hapo ndiyo ngumu kujua yupi aliingia huko kabla ama baada, je wateja wa aliyeingia huko baada hawaendi na kwa ambao hawakua na magonjwa? hiyo cycle yake hapo mmh
 
Mmh sawa ila erection ni feeling sasa kwa mtu ambaye hata si mpenzi wako hiyo erection itatokea kweli na ukikumbuka huenda wewe ni wa 19 kuchovya🤔
Feeling ya wapi wewe,msidhani hisia zenu ndio za mwanaume,spemu zikijaa tu zinahitaji kutoka tayari erection hiyo haihitaji feeling au kuchagua demu.

Mambo ya kuchagua demu huwa ni mbwembwe tuu yeyote anakojolewa ilimradi zitoke
 
Then serikali wanalialia juu ya vyanzo vipya vya mapato kumbe huku tunaweza kusanya mzigo wa kutosha.
Ndio maana mimi nimesema kama watu wanahonga na guests na mabaa yanajaa,sherehe zinafanyika ni mpuuzi tuu huko Serikalini ndio anaweza toa hii kodi ya miamala.
 
Feeling ya wapi wewe,msidhani hisia zenu ndio za mwanaume,spemu zikijaa tu zinahitaji kutoka tayari erection hiyo haihitaji feeling au kuchagua demu.

Mambo ya kuchagua demu huwa ni mbwembwe tuu yeyote anakojolewa ilimradi zitoke

Halafu zikishatoka sasa ndo unaanza kuwaza ilikuwaje, kisha unaamua kama irudiweeeee au imeisha hiyoooo..!![emoji1493][emoji1493][emoji1493]
 

Jana tulianza kuchapisha makala maalum kuhusu kushamiri kwa biashara ya ukahaba kwenye maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, katika uchunguzi huo imebainika kuwa, kuna kushamiri zaidi kwa watoto wadogo chini ya miaka 18 kujiingiza kwenye biashara hiyo haramu.

Timu ya waandishi wa Mwananchi imefika katika maeneo na kuzungumza na watu mbalimbali, wakiwemo wahusika ambao wameeleza masaibu wanayokutana nayo. Endelea

Ushuhuda wa wahusika

Mmoja wa makahaba wanaojiuza kwenye baa moja maarufu maeneo ya Manzese akijitambulisha kwa jina la Jack (28), alizungumza na gazeti hili na kubainisha kuwepo kwa makahaba walio na umri chini ya miaka 18, lakini akasema ni vigumu kuwabaini kwa sababu ya muonekano wa maumbile yao kufanana na watu wazima.

Anasema makahaba wanaoonekana wadogo huwa wanafukuzwa wanapojaribu kuingia katika baa hiyo, lakini wenye maumbo makubwa wanaruhusiwa kuingia.

“Ni vigumu kujua kama huyu ana umri chini ya miaka 18, lakini wale ambao wanaonekana wadogo huwa wanafukuzwa hapa. Wakiondoka unakuta wanarudi tena na kuendelea na biashara kama wengine,” alisema Jack.

Kahaba huyo anaeleza kwamba anafanya biashara hiyo kwa sababu hana shughuli nyingine ya kumwingizia kipato cha kukidhi mahitaji yake ya kila siku.

Anasema wale wateja wa haraka (short time) wanalipia Sh7,000 hadi Sh10,000 ambapo Sh2,000 wanalipia chumba kwa kila anapoingiza mwanamume na kwa siku za wikiendi anaweza kuwahudumia wanaume kati ya 15 hadi 20. “Siku za kawaida hakuna watu wengi, naweza kupata Sh40,000 hadi Sh50,000 lakini siku za wikiendi nafikisha Sh100,000 mpaka Sh150,000,” anasimulia kahaba huyo ambaye alianza biashara hiyo miaka miwili iliyopita.

Ndani ya baa hiyo (jina linahifadhiwa) kuna vyumba vya kulala takribani vinane ambavyo ndani yake kuna kitanda kwenye kila chumba na kapu la taka. Vyumba hivyo ndiyo vinatumiwa na makahaba hao kwa huduma za haraka, lakini pia kuna vyumba maalumu (VIP) ambavyo viko sehemu tofauti ndani ya baa hiyo na bei yake ni tofauti.

Majirani katika maeneo ambayo biashara hizo zinafanyika wanasema makahaba hao wanawaharibu kimaadili watoto wao kwa sababu wanaona wanachofanya na wao wanaiga, jambo ambalo ni hatari kwa maisha yao.

Kwa upande wake, mkazi wa mtaa wa Mnazi Mmoja, Kuluthum Mrisho alisema wanaishi nao hivyo hivyo kwa sababu nyumba yao ipo katika eneo hilo na hawana sehemu nyingine ya kwenda.

“Sisi tulishawazoea, kila mtu na maisha yake. Tutafanya nini, tutakwenda wapi baba yangu,” anasema mwanamke huyo.

Mwananyamala ‘Kwa Wahaya’

Mkazi wa Mwananyamala, Ramadhani Juma anasema eneo la Mwananyama maarufu kama “Kwa Wahaya” ni la muda mrefu na lilianza miaka ya 1980 walipohamia hapo kutoka Kisutu.

Anasema wanawake hao hawakuanza biashara hiyo hivi karibuni, bali walianza zamani kwa kuwafurahisha wanajeshi wa jeshi la kikoloni wakati huo.

“Hawa wanawake walihamia hapa miaka ya 1980 wakitokea mjini karibu na soko la Kisutu, hawa walikuwa pale kwa ajili ya kuwafurahisha wanajeshi wa kikoloni, siku zilivyozidi kwenda walihamia maeneo mengine,” alisema Ramadhani.

Alisema hadi eneo hilo linaanzishwa ni kwa sababu wapangaji walikuwa wanasumbua kulipa kodi, lakini kwa hawa makahaba, mwenye nyumba anakuwa na uhakika wa kulipwa bila usumbufu. “Wapangaji hawa hawasumbui katika suala la kodi, kama ni kwa mwezi au miezi sita uhakika wa kulipa upo tofauti na wengine inapofika wakati wa kulipa wanasumbua,” alisema.

“Binafsi namfahamu rafiki yangu alikuwa na nyumba ya kawaida yenye vyumba vitano, kutokana na kusumbuliwa na wapangaji aliamua kugeuza vyumba vidogo vidogo na kuwapangisha makahaba hao.

“Hii biashara ilianza kwa nyumba moja, kadri siku zilivyozidi kwenda watu wengine walinunua nyumba na kuzifanya hivyo, lengo ni kuachana na usumbufu wa kodi, kwani hawa wana uhakika wa kulipa,” alisema.

Juma alibainisha kuwa wanaofanya biashara hiyo wamekuwa wakipanga vyumba hivyo na umri unapokwenda wamekuwa wanawapangisha watu wengine.

Chanzo: Mwananchi
Ohoo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3]Nowdays nimeacha hizo mbishe mzee..nimeokoka.

Ila truth be told..malaya wote niliopita nao wana papuchi mnato kinoma..sijui wanazibanaje.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116]

"[emoji3][emoji3]Nowdays nimeacha hizo mbishe mzee..nimeokoka"
 
Hee mkuu kwanza mimi siyo me, nna mbususu pili sina mtoto hata wa kusingiziwa na je wapi niliporopoka hadi unishushie mpovu huo wa omo ? Kusema unaenda walipotoka wenzio ni kuropoka? We nyau vipi wewe
Mm!!mm! thawa banaa! miie nyau bana si umeamua hivo!! Mm!mm!! wa kunipiga makofi, mateke humu ni wewe tu!! hkn mwingine thatha ntafanyaje! moyo huu! yamenikuta... mie na Mbususu damudamu yaani huwaga sitii neno labda pia sikujua aisee!! loool

ya usingizi wangu tena na hako kajicho kako mwee!! umenijulia kweli!! nakumbukaga mbali mpaka nalia ila hujui tu! wa kunigalagaza ni wewe tu baby financial.... fanya utakavo najiachia mwaa!! hkn mwingine haki ya naniii.... nafuta kauli ndo ujue mbusus ina nguvu!
 
Back
Top Bottom