Aise hadi maofisini kumechafuka ukiomba unyumba hunyimwi unauziwa haraka sana, unaambiwa tu nipe elfu 20 yangu kabisa, dada mzuri, mrembo, mstaarabu lakini hana uelekeo kabisa.
Mfano jana nikakutana na vidada viwili vinajidaigi vilokole sana pale ofisini, nilikutana nao kituo cha basi, nikavistua "warembo hamjambo"
Nikawatania nilikua nawasubiri ninyi twende hotelini, vikacheka na vikaniuliza una hela?
nikauliza hela iyo kwan sh.ngap kikajibu kimoja elfu30, nikauliza kwann elfu30?
kikajibu si tupo wawili?
kingine kikadakia utatuweza wote nikacheka sana 🤓,
nikaingia navyo chobingo nikavinunulia soda na popcorn nikawambia nitawapigia cm kuna mahali nawahi kidogo, nikasepa zangu mbele pasipojulikana....
for sure business ya ngono imeshamiri na kustawi pakubwa sana na inaonekana kuwa na faida na hivyo wawekezaji na wateja wanaongezeka, na "kadiri unavyo panua ndivyo unavyopata raha au sio?"