Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Wateja ni kama victims tu. Huwezi kuwashutumu victims halafu ukamuacha suplier. Mfano madawa ya kulevya ni wauzaji ndio wanasakwa na kufungwa vifungo virefu wale watumiaji wanachukuliwa kama victims tu huwezi kusikia mtumiaji wa drugs kafikishwa mahakamani sana sana kama wameathirika sana watapelekwa rehabs tu. Point yako haina mashiko wa kupigwa vita ni msambazaji/muuzaji sio muathirika
 
But sometimes ukidakwa unakula Malaya ikathibitika basi unaonekana umeshiriki biashara haramu kwa hio kuna viadhabu vidogo vya kukutia jambajamba usirudie tena
 
Nimepita sehem nikaitwa Kaka twende tukatombane jamani utalipa guest 2000 mimi utanipa 3000.
Mimi: Sina hela dada asante!
Yeye: Kwani wewe una sh ngapi ongea usiogope.
Hapa ndipo tulipofikia wakuu.
Wengi wa hivyo ukitaja bei pungufu wanakubali ila mwisho wa siku mkiingia gesti anakubadilikia either uongeze pesa ndipo achojoe au achukue pesa yako uliyomwambia unayo bila kumfanya kitu.
 
Wengi wa hivyo ukitaja bei pungufu wanakubali ila mwisho wa siku mkiingia gesti anakubadilikia either uongeze pesa ndipo achojoe au achukue pesa yako uliyomwambia unayo bila kumfanya kitu.
Kwa Mimi nampa hiyo hela tena namuongezea na nyingine alafu namwambia nenda tutaonana.

Waoga kinoma hao utaona anavyojiumauma.

Kuna mmoja nilinunua BIDHAA yake, sasa nimefika nae LODGE anaanz kunipa masharti nisimtomase, nisimshike shike sasa mie kugonga bila kuchezea ANALOGS zile siwezi.. nkkafos akagoma akasema kama vip nimuache aondoke. (MUDA huo kashachukua hela yake maana tunalipa PREPAID).

Basi mie sikuongea sana nikafungua mlango nikamwambia nenda (Hapo sijapiga hata Bao moja na tulikubaliana BAO 3). Akawa anajivutavuta mara oohh njoo bas tuendelee mie nimemkazia macho nimemwambia toka nje.

Yeye mwenyewe akaona huyu mtu asije akanitafuta kinyemela akanifanyizia. Alinipa show ila mie mood ilikuw ishakata nikapiga moja tu nikamwabia nausingiz ww nenda kaendelee na Marketing. Akanawa akairudisha BIDHAA SOKONI.
 
Aise hadi maofisini kumechafuka ukiomba unyumba hunyimwi unauziwa haraka sana, unaambiwa tu nipe elfu 20 yangu kabisa, dada mzuri, mrembo, mstaarabu lakini hana uelekeo kabisa.

Mfano jana nikakutana na vidada viwili vinajidaigi vilokole sana pale ofisini, nilikutana nao kituo cha basi, nikavistua "warembo hamjambo"
Nikawatania nilikua nawasubiri ninyi twende hotelini, vikacheka na vikaniuliza una hela?

nikauliza hela iyo kwan sh.ngap kikajibu kimoja elfu30, nikauliza kwann elfu30?
kikajibu si tupo wawili?
kingine kikadakia utatuweza wote nikacheka sana 🤓,

nikaingia navyo chobingo nikavinunulia soda na popcorn nikawambia nitawapigia cm kuna mahali nawahi kidogo, nikasepa zangu mbele pasipojulikana....

for sure business ya ngono imeshamiri na kustawi pakubwa sana na inaonekana kuwa na faida na hivyo wawekezaji na wateja wanaongezeka, na "kadiri unavyo panua ndivyo unavyopata raha au sio?"
 
Hivi ushawahi kula Malaya alafu Malaya akakupenda from nowhere wakati yeye anafanya biashara? Nilikua sijui km Malaya eti nao wanapenda
 
Nipe namba bas .. mimi MLOKOLE mwenzao..
 
Hivi ushawahi kula Malaya alafu Malaya akakupenda from nowhere wakati yeye anafanya biashara? Nilikua sijui km Malaya eti nao wanapenda
Ishawahi na hakuna watu wanajua kukariri SURA kama MALAYA.

Kuna mmoja nilimla 5yrs huko way back nahis ndio alikuwa anaanza anza hiyo mishe... alinipenda bhana and badluck nilikesha nae.

Tukaw tunachat etc.. mie nikaw nipo busy na ishu zangu nikafutaga namba (Sirudiagi kupiga MALAYA).

Basi juz kati kabla ya TNT kufungwa nilienda kulewa na washkaj, ghafla naona mtu kanikazia Macho sana.. kumbe ni yule Mdada aisee nimemuona kabadirika kajipiga Matattoo kama mia.

Akanifata na akanitajia jina langu halisi.. akanikumbusha na namba yangu alikuwa nayo. Nilichoka.
 
Malaya wanapenda kumbe nilikua sijui duuuh Mimi nilikua najua ukishamgonga ndio issue imeishia pale Mzee kumbe wana-feelings kitu wanakosa ni huwezi kumridhisha hata umfanyeje

Malaya anakutafuta kwenye simu mteja wake ukamle umlipe hata kwa Bei ya ofa
 
Wanafeelings sana, na kama hauna hela anakupa bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…