Unacheka? Famasihara nini wamejificha humo siku kikibuma wanajua wapi kwa kuhemea, wengine wana maduka ya mapazia ya Bei ghali Ila kuna biashara zingine nyuma ya camera wanafanya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipe andiko la biblia linalosema Yesu alizaliwa na kahaba ..... Usilete Qur'an ,Biashara ya zamani kuliko zote, hata kwenye biblia ipo hiyo.
Tena walioandika biblia wamuhusisha mpaka uzao wa Yesu kuwa ni wa kahaba aitwae Tamari.
Wazungu hao ni watu washenzi sana.
Maana Malaya anakusaka km dhahabu au almasi yaan kidogo tu kakucheck ukimuuliza nini eti anataka uende ukamgonge umlipeWanafeelings sana, na kama hauna hela anakupa bure.
We Bibi emu rudi shule ukasome hivi huko shule kwenu Canada ndio mlifundishwa huu ujinga nauliza ndio mlisomea ujinga huu, wapi kwenye biblia walipoandika Tamari alikua kahaba? Sema Mimi ligi za udini sizipendi sababu damu yangu ni mixer nimechangwa Mkiristu Nusu Mwislamu Nusu chotara la kidiniTena walioandika biblia wamuhusisha mpaka uzao wa Yesu kuwa ni wa kahaba aitwae Tamari.
Ni marketing strategy... mbinu za mauzo na ukiambiwa unapendwa usiamini sanaaa... anakujaza uvimbe kichwa. (Cha juu na cha chini). Ili ukamuungishe bidhaa yake iliyododa sokoni.Maana Malaya anakusaka km dhahabu au almasi yaan kidogo tu kakucheck ukimuuliza nini eti anataka uende ukamgonge umlipe
Ndio nasemaje huyo alikua ananisaka km vile imekuaje nilipita nae Mara moja show ile ilipoisha akasema irudiwe yeye mwenyewe aliniambia hii show nataka irudiwe nitakutafuta, Mara ya kwanza akanichombeza nikamwambia bure akakubari nikasema duuuh Malaya anatoa bure? Bure mbaya Mimi sipendi bure yaan nilipie hata ya maji Ila sio kukamua bureNi marketing strategy... mbinu za mauzo na ukiambiwa unapendwa usiamini sanaaa... anakujaza uvimbe kichwa. (Cha juu na cha chini). Ili ukamuungishe bidhaa yake iliyododa sokoni.
Sikuandika unavyosema usinitie maneno yako kinywani mwangu, kanisome tena.Nipe andiko la biblia linalosema Yesu alizaliwa na kahaba ..... Usilete Qur'an ,
Huwa sikisii.We Bibi emu rudi shule ukasome hivi huko shule kwenu Canada ndio mlifundishwa huu ujinga nauliza ndio mlisomea ujinga huu, wapi kwenye biblia walipoandika Tamari alikua kahaba? Sema Mimi ligi za udini sizipendi sababu damu yangu ni mixer nimechangwa Mkiristu Nusu Mwislamu Nusu chotara la kidini
Wewe pia mfanyabiashara pia tena mjasiriamali kabisa na hulipi Kodi unapewa km ilivyoBiashara ya ngono inafanywa na wanawake wengi zaidi
Mama yako alokuzaa ni mwanamke
Kwahiyo amekuwa akifanya biashara ya ngono zaidi
,🤣🤣🤣Imepenyaaa
Basi ungesema hivyo Ila aligongwa haswa na akazaa mapacha, we ushawahi kugongwa km alivyogongwa Tamari?kajifanya kahaba
Basi ungesema hivyo Ila aligongwa haswa na akazaa mapacha, we ushawahi kugongwa km alivyogongwa Tamari?
FaizaSiyo 12 umekosea, miaka 6.
Cosigned. Pamoja na hoja ya OP. Marriage is glorified prostitution. Whatever route it takes the end justifies the name, sex in exchange for resources.Naunga mkono hoja, ni kweli kabisa, huduma hiyo ndio the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.
The fortunate ones wao bidhaa zao zimenunuliwa kwa bei ya jumla na mteja mmoja, hivyo kuitwa jina la heshima "wife", the unfortunate ones inawabidi kuuza rejareja kwa wateja tofauti tofauti.
Ndio maana tulishauri Opinion: Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The Oldest Profession?!", na Ikiwezekana, to Legalize Marijuana!
P.
Jizo hoja za mashoga na wasagaji.Cosigned. Pamoja na hoja ya OP. Marriage is glorified prostitution. Whatever route it takes the end justifies the name, sex in exchange for resources.
Kwani unataka kusemaje? Habari ya Lutu ulishaisoma? Mwanzo 19:30-38 na hawa pia je! Walikua ni makahaba au wameandikwa kwamba walikua ni Malaya? Tena 'Lutu' aliwagonga watoto wake wote wawili kwa awamu awali ya yote alianza kumgonga mtoto wake mkubwa akamgonga haswa akamaliza kumtia Mimba akaja mdogo nae siku inayofuata pia akamgonga vile vile nae akashika Mimba, wote wawili wakazaa watoto kutokana na Mbegu za Baba yao baada ya kuwatia MimbaKwani malaya wote si ndivyo wanavyojifanya ma kahaba?
Kama hajajifanya kahaba atapata wateja?
Sijuwi unataka kusema nini?
Hapo Tamari kafanya zaidi ya ukahaba, ne oesa kadai, tena kwa mkwewe. Halafu huyo huyo ndiye bibia imemuweka kizazi cha Yesu.
Hapo mimi kama Muislam sikubaliani nayo kabisa biblia. Kitabu gani cha Mungu kitahalalisha zaidi ya ukahaba namna hiyo? Fikiri.
Mbona husemi nikitabu gani hili neno limetoka?.Huwa sikisii.
Tena siyo kahaba tu, kajifanya kahaba ili makusudi alalwe na mkwewe, jisomee:
14 Basi akavua nguo za ujane wake, akajivika utaji, akajifunika uso, akakaa mlangoni pa Enaimu, karibu na njia ya kuendea Timna. Maana aliona ya kwamba Shela amekuwa mtu mzima, wala hakuozwa awe mkewe.
15 Yuda alipomwona alimdhania kuwa ni kahaba, maana amejifunika uso.
16 Akamgeukia kando ya njia, akasema, Niruhusu niingie kwako. Maana hakujua ya kuwa ni mkwewe. Akamwuliza, Utanipa nini, ukiingia kwangu?
17 Akasema, Nitakuletea mwana-mbuzi wa kundini. Naye akamwuliza, Je! Utanipa rehani hata utakapomleta?
18 Akasema, Nikupe rehani gani? Akamjibu, Pete yako ya muhuri, na kamba yake, na fimbo yako iliyo mkononi mwako. Basi akampa, akaingia kwake, naye akapata mimba.
Biblia inamtambua kuwa Yesu ni mwana wa Mungu,aliezaliwa kwa Maria kupata ujauzito kwa uwezo wa Roho mtakatifu.....Yusuph alikuwa ni Baba mlezi tuu wa Yesu ila Biological Father........Sikuandika unavyosema usinitie maneno yako kinywani mwangu, kanisome tena.
Qur'an inamuheshimu sana Mama yake Yesu Bi Martam, Qur'an inasema huyo ni mwanamke bora katika wanawake wa ulimwenguni.
Qur'an in asura nzima kuhusu Bi Maryam, kitu ambacho hukipati kwenye biblia.
Qur'an inamuheshimu pia Yesu, kama inavyowaheshimu mitume wote wa Mwenyezi Mungu na haibaguwi baina yao.
Ukitaka kuelewa wapi Yesu kasingiziwa kizazi cha kahaba, kisome kisa cha Tamari kwenye agano la kale, halafu katazame uzao wa Yesu kama hujamkuta Tamari kuwa ni kizazi cha Yesu.
Usitake kubadilisha maneno yangu.
🤣 da! kwahiyo mfanyabiashara na mteja wake wakakutana tena sokoni kwa mara nyingine dah,Ishawahi na hakuna watu wanajua kukariri SURA kama MALAYA.
Kuna mmoja nilimla 5yrs huko way back nahis ndio alikuwa anaanza anza hiyo mishe... alinipenda bhana and badluck nilikesha nae.
Tukaw tunachat etc.. mie nikaw nipo busy na ishu zangu nikafutaga namba (Sirudiagi kupiga MALAYA).
Basi juz kati kabla ya TNT kufungwa nilienda kulewa na washkaj, ghafla naona mtu kanikazia Macho sana.. kumbe ni yule Mdada aisee nimemuona kabadirika kajipiga Matattoo kama mia.
Akanifata na akanitajia jina langu halisi.. akanikumbusha na namba yangu alikuwa nayo. Nilichoka.