Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Kule BIASHARA ipo tena INALIPA zaidi kutokana na DEMAND kuwa Kubwa kuliko SUPPLY.

Watu weusi hasa TANZANIA ktk baadhi ya MAKABILA ukichunguza vzr ni WAFANYABIASHARA wazuri sana wa Hii Biashara., sijamaanisha Wahaya ndio wataalam hapana.
sijamaanisha Wahaya ndio wataalam hapana.

We jamaa akili yako haina akili. Hahahahahaaa !!!!
 
TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.

Ndio ukweli,

Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.

Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji

Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.

Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.

Sijapigia hesabu CASINO's.

Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.



Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.

Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.

Hiyo yote ni Biashara.

Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.

>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.

Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..

>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.

Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..

>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY

Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:

1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)

Sasa nihitimishe.

Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.

Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.

NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
Wanafanya biashara huku wakipata raha na kukata viu. What a coincidence buddy...
 
Kwa lugha ya kibiashara inaitwa price elasticity of demand, demand ikiwa kubwa kuliko supply price zinapanda, supply ikiwa kubwa kuliko demand, price zinashuka!. Arabuni kuna upungufu wa wanawake kwasababu watu wanaoa hadi wake 4, hivyo wale dada zetu wanaopeleka bidhaa Dubai, inalipa sana!. Wafanyabiasha wengi wa boutique wanaokwenda Uturuki, China na Singapore, wanapanda Emirates, wanapita Dubai kufanya part time for 2-Weeks, wanapata mtaji wa kutosha!.
P
Wanapata mitaji kwa maumivu
 
Eeh yaan kwenye wanawake 100, wanawake 89 ni wadangaji? Mbna mnatukosea heshima kiasi hiki?tuheshimuni jamani sisi ndo bibi,mama, wake,dada na wadogo zenu[emoji120][emoji120][emoji120]
Mtoa mada ni mtoto wa msimbe, hivyo anaongea alichokiona kwao
 
Biashara hufanywa na muuzaji na mnunuzi.

Mnunuzi hawazi kuwa mfanyabiashara. Biashara hufanywa na muuzaji bila ya kujali mnunuzi.

Kuna wanunuzi wapo lakin hawapati ainafulani ya biashara, kwa nini uwaweke kwenye kundi la wafanyabiashara.
 
Back
Top Bottom