Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.

Ndio ukweli,

Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.

Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji

Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.

Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.

Sijapigia hesabu CASINO's.

Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.



Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.

Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.

Hiyo yote ni Biashara.

Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.

>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.

Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..

>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.

Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..

>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY

Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:

1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)

Sasa nihitimishe.

Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.

Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.

NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
Samahani mkuu, hivi wateja wengi au tuseme wanunuzi wa hii biashara ni akina nani? It begins with you, hawa wapuuzi wangekua hawana soko wasingefanya hiyo biashara, ukiona biashara imeshamiri jua demand ni kubwa au kwa lugha nyingine wanunuzi ni wa uhakika
 
Kuanzia LEO mpk J.PIL ndio siku NZURI za BIASHARA.

Tuungane nami kutembelea MASOKO HURIA.. hapo jioni/Usiku.
 
Samahani mkuu, hivi wateja wengi au tuseme wanunuzi wa hii biashara ni akina nani? It begins with you, hawa wapuuzi wangekua ahawana soko wasingefanya hiyo biashara, ukiona b9ashara imeshamiri jua demand ni kubwa au kwa lugha nyingine wanunuzi ni wa uhakika
Wanunuzi wapo nikiwemo mimi pia ni MNUNUZI yaan MWANAUME yeyote Ni MNUNUZI.. either kwa kujua au kutojua.

Same kwa wanawake wengi ni WAUZAJI ila hawajui kama WANAUZA.

do u gerrit?

Demand ni ndogo ndio maana unaweza pishana na Wanawake 20 wamejipanga msururu wakiuza biashara zao na wakikulazimisha uwaungishe hata kwa BUKU.
 
Nimemuuliza aje na TAKWIMU zinazopinga TAKWIMU zangu. Yaani athibitishe kuwa 89% sio WAFANYABIASHARA.
Unaposema 89% ni zaidi ya robo tatu ya wanawake Tanzania, ni sawa na kusema wanawake wote Tanzania wanajiuza isipokua watoto wadogo maana hiyo percent ndogo iliyobaki 11% ni watoto wa kike, hapa unatukosea heshima sana, sikatai kuna wanawake wanajiuza lakini haijumuishi wanawake wote Tanzania
 
Unaposema 89% ni zaidi ya robo tatu ya wanawake Tanzania, ni sawa na kusema wanawake wote Tanzania wanajiuza isipokua watoto wadogo maana hiyo percent ndogo iliyobaki 11% ni watoto wa kike, hapa unatukosea heshima sana, sikatai kuna wanawake wanajiuza lakini haijumuishi wanawake wote Tanzania
Sasa (labda) sina hakika.. maybe.. ww upo ktk hilo kundi la 11%..
 
Wanunuzi wapo nikiwemo mimi pia ni MNUNUZI yaan MWANAUME yeyote Ni MNUNUZI.. either kwa kujua au kutojua.

Same kwa wanawake wengi ni WAUZAJI ila hawajui kama WANAUZA.

do u gerrit?

Demand ni ndogo ndio maana unaweza pishana na Wanawake 20 wamejipanga msururu wakiuza biashara zao na wakikulazimisha uwaungishe hata kwa BUKU.
I don't gerrit! Unaposema wanajiuza unaweza kuwa spesific kidogo

On the same note, wanaume wa kizazi hiki ni irreaponsible seeds, haiwezekani unafunga safari kutoka nyumbani kwako unaenda baa kununua mbususu, halafu ukirudi kwako unajiita kichwa cha familia
 
Back
Top Bottom