Skid Row Boy
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 290
- 401
sijamaanisha Wahaya ndio wataalam hapana.Kule BIASHARA ipo tena INALIPA zaidi kutokana na DEMAND kuwa Kubwa kuliko SUPPLY.
Watu weusi hasa TANZANIA ktk baadhi ya MAKABILA ukichunguza vzr ni WAFANYABIASHARA wazuri sana wa Hii Biashara., sijamaanisha Wahaya ndio wataalam hapana.
Wanakuwaga watamuInasikitisha sana aisee hali ni mbaya sana tena skuiz hadi watoto wa miaka 15 wapo kwenye hiyo kazi
Wanajiendekeza tuKama ajira hakuna wafanye nn...?
Jaribu kutoa Suluhisho kuwasaidia hawa madada zetu
Wanafanya biashara huku wakipata raha na kukata viu. What a coincidence buddy...TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.
Ndio ukweli,
Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.
Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji
Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.
Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.
Sijapigia hesabu CASINO's.
Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.
Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.
Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.
Hiyo yote ni Biashara.
Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.
>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.
Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..
>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.
Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..
>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY
Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:
1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)
Sasa nihitimishe.
Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.
Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.
NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
NikopesheBiashara hufanywa na muuzaji na mnunuzi.
Kweli na wengine wanakosa watejaHii Biashara ipo tofauti kdg.
Wauzaji ni wengi kuliko WANUNUAJI.
Yaan supply na demand curve hazina uwiano. Supply imekuwa kubwa hivyo price ina deteriorate.....
Kumbe unasoma bibliaBiashara ya zamani kuliko zote, hata kwenye biblia ipo hiyo.
Tena walioandika biblia wamuhusisha mpaka uzao wa Yesu kuwa ni wa kahaba aitwae Tamari.
Wazungu hao ni watu washenzi sana.
Vikuku vya Kienyeji..Wanakuwaga watamu
Biashara ambayo anapata RAHA huku anauza BIDHAA...Wanafanya biashara huku wakipata raha na kukata viu. What a coincidence buddy...
FrnHatari sana
Na sahv asilimia kubwa ya wanawake wana fln
Ova
Tamaa zaoMshawahi kujiuliza kwann wanajiingiza kweny hizo biashara??
Mshawahi kujiuliza kwann hio biashara ina stawi sana??
Biashara ita stawi bila wateja??
Hivi wateja wa hio biashara ni akina nani, ni wanaume au wanawake?
Uki tafakari kwa upande mmoja lazima utaona shida iko upande huohuo.
We mwenyewe umeuza uchumiNi sahihi kabisa,hakuna mwanamke ambae sio Malaya wa kuuza akibanwa na shida ,huyo hayupo.
Ticha hicho ulichoandika ni kihaya au?Nipo dsm 5 years now I'm never fucking any bitch
Wanapata mitaji kwa maumivuKwa lugha ya kibiashara inaitwa price elasticity of demand, demand ikiwa kubwa kuliko supply price zinapanda, supply ikiwa kubwa kuliko demand, price zinashuka!. Arabuni kuna upungufu wa wanawake kwasababu watu wanaoa hadi wake 4, hivyo wale dada zetu wanaopeleka bidhaa Dubai, inalipa sana!. Wafanyabiasha wengi wa boutique wanaokwenda Uturuki, China na Singapore, wanapanda Emirates, wanapita Dubai kufanya part time for 2-Weeks, wanapata mtaji wa kutosha!.
P
Mtoa mada ni mtoto wa msimbe, hivyo anaongea alichokiona kwaoEeh yaan kwenye wanawake 100, wanawake 89 ni wadangaji? Mbna mnatukosea heshima kiasi hiki?tuheshimuni jamani sisi ndo bibi,mama, wake,dada na wadogo zenu[emoji120][emoji120][emoji120]
Biashara hufanywa na muuzaji na mnunuzi.
Wanaopata kwa maumivu ni wale wasiopenda ila maisha yanawalazimisha, lakini wale wanaoifanya willingly by choice kwa open heart, they enjoy it na hawapati maumivu yoyote zaidi ya kukolea na kukolea zaidi!.Wanapata mitaji kwa maumivu
Wana maji mengi na mnato sanaWanakuwaga watamu
Vijana wa Hovyo sana....Wana maji mengi na mnato sana